Jaribu kuangalia maeneo yafuatayo;Kuna gari dogo Toyota altezza linatafuna mafuta like hell nini inaweza kua tatizo.
Inategemea na specification za gari yako.kama ni same rim size ukubwa unaozungumzia ni profile??mimi gari yangu ilikuwa originally low profile[225/50/16]....kwa sababu ilikuwa inagusa sana chini kwenye matuta na mashimo nikabadili to higher profile i.e 215/60/16...kwa maelezo yako hapo juu nitasave mafuta na naweza kuona nakwenda 120kph kumbe ni 125kph??correct??
Kuna gari dogo Toyota altezza linatafuna mafuta like hell nini inaweza kua tatizo.
Jaribu kuangalia maeneo yafuatayo;
1. Air cleaner ikichakaa husababisha ulaji mkubwa wa mafuta kwa kuwa kunakuwa na resistance ktk kuvuta hewa. ie hewa na mafuta huvutwa pamoja.
2. Plugs ie Kama kuna plug haichomi mafuta hupotea. angalia plugs kuanzia kwenye distributor
3. Silence position. Unapokuwa hujagusa xrator gari imepaki silence rpm inatakiwa kuwa chini ya 1.
4. Engine service ni muhimu kufanya ingine isiwe nzito kutokana na friction.
5. Mengineyo ni uchakavu wa engine n.k.
Pamoja na ushauri wa Goodrich inaonekana hiyo haikuwa reconditioned vizuri kabla ya kuuzwa Afrika maana miezi sita tu ya matumizi ni michache. Vitu vingine vya kuangali ni fuel lines kama hazina leakages. Cheki tenki lako la mafuta, kama linaunyevu nyevu inamaana linavujisha. Mfuni wa tenki pia ni muhimu kuungalia, inawezekana haufungi vizuri hivyo mafuta kupotea kwa njia ya evaporation. Aidha, charcoal canister nayo ni muhimu kuingalia, inawekekanza inavujisha mvuke wa mafuta.
Aidha, kama inatoa moshi mweusi basi Fuel Injectors ni za kuangalia inawezekana zimechoka, Throttle position sensors na Oxygen sensor pia ni za kuangalia.
nimekupata ila nimependa swali la mdau mmoja hapo juu...kwamba kwenye fuel consumption tairi dogo na kubwa ni sawa since at 120kph both will cover 120km in one hour......
ninachokijua gari yenye alloy wheels inakula mafuta kuliko yenye rims za kawaida since alloy wheels ni nzito
Inategemea na specification za gari yako.
Inawezekana hy matairi uliyoweka sasa ndio yanaendana na hesabu za muundaji.
Hapo nitakuuliza swali moja.
Gari inahesabu vipi km ie umbali ?
do u know where we started???nitakujibu nikijua kwamba u know/dont know where we started
Thanks !
Je, umekagua tairi za gari yako kuhakiki ulinganifu ?
Thanks kwa kuchangia maujuzi !
Mbona topic ime cover kila kituPoint ya msingi sn....ni wapi ktk tairi za gudride waweza soma shelf life, manufactured date yake na useful life yake?
TCleverly umeshindwa kujibu hili swali.
Ungeweza ungekuwa amepata majibu ya maswali yako khs diameter ya tairi na speedometer.
Tupo pamoja mpaka kieleweke.
Uwe pia unacheki tire pressure mara kwa mara angalau kila wiki mara moja. Watu wengi wanajisahau kucheki upepo, mtu unakuta anatembea na gari zaidi ya mwezi hajawai kupima upepo kisa eti hajapata pancha!Hili ni muhumu hasa kwa wale wanaotumia tubeless kwa sababu tairi hizo zinatabia ya kujiongeza na zingine kujipunguza upepo zinapokuwa kwenye movement.Unaweza kukuta tairi za mbele moja lina 40 PSI, lingine 37 PSI na za nyuma moja 42 PSI na lingine 44 PSI wakati iniatially hukuzipima hivyo. So in that circumstance huwezi kuwa na proper wheel balance na alignment. Even tire wearing zitatofautina.
Kingine cha muhimu ni kukumbuka kuzifanyia rotation tairi zako kila unapoenda fanya services. Tairi zilizokuwa mbele inatakiwa next service ziwekwe nyumba na next of next service zinarudi mbele lakini pia kwa kubadilisha upande zilipokuwepo. Iliyokuwa upande wa kulia inaenda kushoto na iliyokuwa kushoto inaenda kulia. The same applied to rear wheel tire. Ukifanya yote haya itasaidia ku-extend life period ya matairi yako na kizuri zaidi yote yataisha kwa pamoja kwa sababu yote yatakuwa yanapata dhoruba zote za gari.
Hebu fafanua juu ya ABSKwa mf. Land rover wana system Yao wanaita, terrain response, gearbox inaamua yenyewe kutokana Na eneo tairi zinavyo struggle kupata traction, nafkiri Kuna mafundi wetu Bado hawayajui haya. Mercedes Benz wana system Yao wanaita drive by wire, brake by wire, hizi zote hazina cable NI electronic pulse zinatumwa kutokana Na sensor zilivyosense pressure ya mguu wako
Bro sijui kama unatambua na kuelewa hata kile wewe mwenyewe unachokiandika. Unasema "nani kakwambia kila gari ina accelerator cable?" Kuwa na accelerator cable is just a mechanical means of sending a signal to the throttle body on what extent you want throttle plate to open. So kwa technolojia ya sasa unaweza ukawa na electronic accelerator pedal kwa kuweka variable resistance element kwenye accelerator pedal as an alternative to accelerator cable. Lakini kutokuwepo kwa accelerator cable haina maana throttle position sensor ni irrelevant in determination of gear shifting in automatic gearbox. Throttle position sensor itaendelea kuwepo even if you are using electronic accelerator pedal au mechanical accelerator pedal.
Aidha, Manifold Absolute Pressure (MAP) sensor nayo itaendelea kuwepo na Wheel Sensors zitaendelea kuwepo. Sensor zote hizi kwa pamoja ndizo zinaamua gari iingiea gia ipi na kwa wakati gani.
By the way, Mimi ni specialist wa magari, hiyo i-system unayoitaja ndiyo naiskia toka kwako unless labda kama utakuwa ume misspelling. Nimerejea kwenye vitabu vyangu vya shule labda huenda nimeisahau hiyo system na nimewapiga simu watalaamu wa magari na hadi walimu wangu wa automobile engineering pale NIT hakuna anaeifahamu hiyo unayoiita i-system. Nimejaribu hata ku-google but no such system in automobile technology so far.
Nakukumbusha tena, siyo kila gari ina Overdrive button. Na niliyoyaeleza hapo awali ndiyo matumizi sahihi ya hiyo button kwenye magari yenye nayo. So usiseme tu hakuna cha overdrive or whatever kwa sababu tu mtengenezaji wa gari lako hakuweka hiyo option kwenye gari lako.
sawa kwamba overdrive ni gear ya nne ya juu kabisa....na gari zote zina accelerator cable....sio kila mtu yuko kama wewe kukubali tu kisa mtu anaongea maneno mengi na kusema yeye ni mtaalamu....tuna wataalam wengi na sometimes wanakuwa wrong....