Mambo ya kuzingatia unaponunua tairi za gari

Mambo ya kuzingatia unaponunua tairi za gari

mimi ningeomba iwe STICKY ili tuweze kuiaccess vizuri na kusaidiana zaidi kupena shule

kuna expiry ya matairi, zoning (kwamba yapo ya nchi za baridi, au jangwa nk) - vyote hivi wengi wetu hatuna shule kabisa ya kutambua hivyo tunaisia kununua poor quality tires

I hope mods wata do the needful
 
wana jf naomba shule juu ya gear N na matumizi yake kwenye Auto pale ninapo downhill 100>mph arafu nipo kwenye gear N nataka nirudi gear D. je inawezeka?
 
wana jf naomba shule juu ya gear N na matumizi yake kwenye Auto pale ninapo downhill 100>mph arafu nipo kwenye gear N nataka nirudi gear D. je inawezeka?

Neutral essentially disconnects the engine from the drive wheels using your transmission. So if you needed to push your vehicle or have it towed its beneficial to put the vehicle in neutral.
Its also used in the tunnel style automatic car washes. Additionally if you ever loss your breaks or your vehicle accelerates uncontrollably you can shift into neutral and still maintain use of power steering and other systems as you come to a stop, typically you can shift from drive to neutral without coming to a stop first.
 
Neutral essentially disconnects the engine from the drive wheels using your transmission. So if you needed to push your vehicle or have it towed its beneficial to put the vehicle in neutral.
Its also used in the tunnel style automatic car washes. Additionally if you ever loss your breaks or your vehicle accelerates uncontrollably you can shift into neutral and still maintain use of power steering and other systems as you come to a stop, typically you can shift from drive to neutral without coming to a stop first.

unafanya biashara ya matairi??jina lako linahusiana na BFGoodrich???
 
hayo uyasemayo yote i-system ya gearbox inaregulate....wewe kanyaga tu sensor zinaamua,hakuna overdrive or whatever....BTW nani kakwambia kila gari ina ACCELERATOR CABLE??

Kwa mf. Land rover wana system Yao wanaita, terrain response, gearbox inaamua yenyewe kutokana Na eneo tairi zinavyo struggle kupata traction, nafkiri Kuna mafundi wetu Bado hawayajui haya. Mercedes Benz wana system Yao wanaita drive by wire, brake by wire, hizi zote hazina cable NI electronic pulse zinatumwa kutokana Na sensor zilivyosense pressure ya mguu wako
 
wana jf naomba shule juu ya gear N na matumizi yake kwenye Auto pale ninapo downhill 100>mph arafu nipo kwenye gear N nataka nirudi gear D. je inawezeka?

Inawezekana, lakini usizoee, Kuna siku utaengage n af ghafla utahitaji power ili ukwepe kikwazo, ukisahau kuweka d, ua finished
 
I-intelligent ya kisasa / automated as in VVTi sio specific system kwa gari ndio maana nikakwambia unazunguka tu vyovyote utakavyokanyaga gari yenyewe inaregulate kupitia hizo sensor unazotaja hapo so kama kuna muinuko / mteremko chochote kila itajirekebisha. Gari nyingine hazina OVERDRIVE na wewe kusema OVERDRIVE ni gear ya juu ya nne ndio nimesikia kwako ndio maana nikakwambia ninajua gari zina gear sita bila overdrive sasa hio yako ya overdrive ndio gear kubwa nilikuwa sijui kuhusu accelerator cable wewe ndio uliitaja na mimi nikakwamia sio kila gari ina accelerator cable na its true mimi sio mtaalam wa magari ila najua vichache vya juujuu coz napenda sana magari.

Teh teh teh! Hivi wewe si ndio ulisema modern car zina engage gia kulingana unavyopress accelerator? (Rejea Post yako # 38). Baada ya hiyo kauli yako ndiyo Mimi nikaku-crash kupress accelerator pekee haitoshi kuamua gia shifting. Mbona sasa unakengeuka na hausimamii msimamo wako wa awali kwamba pressing accelerator is the only means of sending signal for gear shifting? Imekuwaje mbona unaanza ku-recognize hizo sensors? Where is your i-system uliyokuwa unaitaja?

Unasema pia kwamba ndio unaskia toka kwangu kuwa Overdrive ni highest gear! Naomba usome Overdrive (mechanics) - Wikipedia, the free encyclopedia uone kwamba mimi situngi tu maneno toka kichwani kwangu. Soma hiyo page yote hadi mwisho (especially section ya usage) ndio utaelewa ninachozungumza.

Kuhusu VVTi haina uhusuano wowote na Transmission system. Hii ni aina tu ya Intake System iliyoanzishwa na Toyota ku-vary timing of valves ili kupata better performance na fuel economy.

CC: kaangwa, etc.
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh! Hivi wewe si ndio ulisema modern car zina engage gia kulingana unavyopress accelerator? (Rejea Post yako # 38). Baada ya hiyo kauli yako ndiyo Mimi nikaku-crash kupress accelerator pekee haitoshi kuamua gia shifting. Mbona sasa unakengeuka na hausimamii msimamo wako wa awali kwamba pressing accelerator is the only means of sending signal for gear shifting? Imekuwaje mbona unaanza ku-recognize hizo sensors? Where is your i-system uliyokuwa unaitaja?

Unasema pia kwamba ndio unaskia toka kwangu kuwa Overdrive ni highest gear! Naomba usome Overdrive (mechanics) - Wikipedia, the free encyclopedia uone kwamba mimi situngi tu maneno toka kichwani kwangu. Soma hiyo page yote hadi mwisho (especially section ya usage) ndio utaelewa ninachozungumza.

Kuhusu VVTi haina uhusuano wowote na Transmission system. Hii ni aina tu ya Intake System iliyoanzishwa na Toyota ku-vary timing of valves ili kupata better performance na fuel economy.

CC: kaangwa, etc.

nimekwambia hivi i nimemaanisha intelligent system ndio zina coontrol kila kitu na zinatumia sensors,sasa kama overdrive ni high gear kwa gari ambazo hazina overdrive je inakuwaje?tena umesema gear ya nne na zenye gear sita inakuwaje?hayo ndio maswali yangu kwako coz kuna gari hazina overdrive....kuhusu vvti sijasema ni transmission nimerefer hio i kwamba inasimama as intelligent....
 
Kwa mf. Land rover wana system Yao wanaita, terrain response, gearbox inaamua yenyewe kutokana Na eneo tairi zinavyo struggle kupata traction, nafkiri Kuna mafundi wetu Bado hawayajui haya. Mercedes Benz wana system Yao wanaita drive by wire, brake by wire, hizi zote hazina cable NI electronic pulse zinatumwa kutokana Na sensor zilivyosense pressure ya mguu wako

mueleze Chacha Kisiri ndio miongoni mwa hao mafundi/wataalam wetu......
 
Nimekwambia hivi i nimemaanisha intelligent system ndio zina coontrol kila kitu na zinatumia sensors,sasa kama overdrive ni high gear kwa gari ambazo hazina overdrive je inakuwaje? Tena umesema gear ya nne na zenye gear sita inakuwaje?hayo ndio maswali yangu kwako coz kuna gari hazina overdrive. Kuhusu VVTi sijasema ni transmission nimerefer hio i kwamba inasimama as intelligent.

Ok. Basi tutajie jina la hiyo Intelligent System inayo control gear engagement in automatic transmission. Kusema tu Intelligent System unabaki kuwa too Vargue. Be specific which Intelligent System? Maana gari kama ulivyo Mwili wa Binadamu una Mifumo (Systems) mingi. Mfano mmojawapo wa Intelligent System ni huo ulioutaja wa VVTi System - Variable Valve Timing Intelligence System.

Kuhusu Overdrive button narudia tena kukwambia ni option ya manufacturer ku-design gari iwe nayo au lah!Kama gari haina Overdrive button maana yake ni kwamba huwezi ku-enjoy attributes wanayopata watu wenye magari yenye hiyo button hii ikiwa ni pamoja na:-
  1. Dereva kutokuwa na uwezo wa ku-command gari isiingie kwenye Overdrive gear (ambayo kimsingi ni higher gear kama nilivyokueleza hapo awali na hata kwenye desa la Wikipedia Encyclopidia lilivyokuelezea hapo juu kama umesoma vizuri)
  2. Huwezi pia kuikomand gari ibadili gia from low gear to higher gear haraka haraka ili ku-save mafuta. Kwa mfano unapoweka Overdrive On maana yake unaifanya gari ibadili gia kwa haraka haraka and within the speed range of 50 Km/hr to 70 Km/ hr tayari unakuwa umemaliza gia zote

Kama gari ina Six Gears, the principle applied are the same but inategemea manufacturer alivyodesign Gari husika. Mfano Manufacturer anaweza ku-design Six Gear Cars na akaweka Overdrive button ambayo ukiiweka OFF inaweza either ikakuzuia kuingia into the Sixth Gear only and at the same time inakuchelewesha kuingia kwenye the rest of Gears when cruising, or ikakuzuia kuingia Sixth and Fith Gear and at the same time inakuchelewesha kuingia kwenye the rest of Gears when cruising. So it is the the matter of design but all in all the function and the meaning of OVERDRIVE remain the same.
 
Kwa mf. Land rover wana system Yao wanaita, Terrain response, gearbox inaamua yenyewe kutokana Na eneo tairi zinavyo struggle kupata traction, nafkiri Kuna mafundi wetu Bado hawayajui haya. Mercedes Benz wana system Yao wanaita Drive by wire, Brake by wire, hizi zote hazina cable ni electronic pulse zinatumwa kutokana Na sensor zilivyosense pressure ya mguu wako


Mueleze Chacha Kisiri ndio miongoni mwa hao mafundi/wataalam wetu

Hakuna kipya hapa nisichokifahamu ndugu zangu. Terrain Management System ni mfumo maalum kwa ajili ya ku-adjust engine torque, road traction na all wheel drive system ili kukabiliana na mazingira magumu ya Barabara (Mfano mazingira ya matope, barafu, mchanga, changarawe, nk).

Aidha, Drive by Wire, Brake by Wire, Throttle by wire, Steer by wire, etc hizi ni tecknolojia za hali ya juu sana ya utengenezaji wa magari ambazo zina-attemp ku-withdraw mechanical means for controlling and maneuvering the cars. Mfano kwenye Brake by Wire system ni mfumo ulioletwa ili ku-elliminate the need of having hydralic fluid, power buster, master cylinder, fluid line, brake cable na vitu vingine vinavyoambatana na hydraulic na air brake system.

However, hiyo mifumo yote ambayo kwa pamoja inaitwa 'Control by Wire' inapata challenge katika dunia ya sasa ya ushindani kwa sababu ya utengenezaji wake kuwa wa gharama hivyo kupelekea Bei ya Gari kuwa juu sana. Pia kuna challenge wanasanyansi wanakabiliana nayo ya jinsi ya ku-install safety trouble mode ili kuokoa uhai wa abiria inapotokea system zimefeli na Gari lipo barabarani kwa mwendo wa kasi.
 
Ok. Basi tutajie jina la hiyo Intelligent System inayo control gear engagement in automatic transmission. Kusema tu Intelligent System unabaki kuwa too Vargue. Be specific which Intelligent System? Maana gari kama ulivyo Mwili wa Binadamu una Mifumo (Systems) mingi. Mfano mmojawapo wa Intelligent System ni huo ulioutaja wa VVTi System - Variable Valve Timing Intelligence System.

Kuhusu Overdrive button narudia tena kukwambia ni option ya manufacturer ku-design gari iwe nayo au lah!Kama gari haina Overdrive button maana yake ni kwamba huwezi ku-enjoy attributes wanayopata watu wenye magari yenye hiyo button hii ikiwa ni pamoja na:-
  1. Dereva kutokuwa na uwezo wa ku-command gari isiingie kwenye Overdrive gear (ambayo kimsingi ni higher gear kama nilivyokueleza hapo awali na hata kwenye desa la Wikipedia Encyclopidia lilivyokuelezea hapo juu kama umesoma vizuri)
  2. Huwezi pia kuikomand gari ibadili gia from low gear to higher gear haraka haraka ili ku-save mafuta. Kwa mfano unapoweka Overdrive On maana yake unaifanya gari ibadili gia kwa haraka haraka and within the speed range of 50 Km/hr to 70 Km/ hr tayari unakuwa umemaliza gia zote

Kama gari ina Six Gears, the principle applied are the same but inategemea manufacturer alivyodesign Gari husika. Mfano Manufacturer anaweza ku-design Six Gear Cars na akaweka Overdrive button ambayo ukiiweka OFF inaweza either ikakuzuia kuingia into the Sixth Gear only and at the same time inakuchelewesha kuingia kwenye the rest of Gears when cruising, or ikakuzuia kuingia Sixth and Fith Gear and at the same time inakuchelewesha kuingia kwenye the rest of Gears when cruising. So it is the the matter of design but all in all the function and the meaning of OVERDRIVE remain the same.

mtaalamu unaongea vitu vingi ambavyo mstari mmoja unatosha kuelezea,wewe kama mtaalamu unatakiwa uelewe lugha rahisi...kwani tulianzia wapi??
1.ulisema overdrive ni gear ya juu kwa maelezo yako ni gear ya nne...NIKAJIBU SIO KWELI KUNA GARI ZINA GEAR SITA NA HAZINA OVERDRIVE...thats a fact....haihitaji uwe na phd ya magari.
2.ulisema something i dont remember ukataja accelerator cable....NIKAJIBU NANI KAKWAMBIA KILA GARI INA ACCELERATOR CABLE???..its a fact sio gari zote zina accelerator cable
3.i-nikasema intelligent system....ukakurupuka ukaenda huko kudesa unatafuta i-system ya gearbox,goosh!nikakwambia i-i meant intelligent system as in VVTi...ukakurupuka tena vvti haina uhusiano na transmission[simple lugha huelewi,nikakufafanulia i-intelligennt as used in vvti....sasa umekurupuka tena unahitaji i-system ya gearbox....intelligent ni system modern yoyote ndio zinazowekwa kwenye vitu vya kisasa

sasa umekuja na jipya eti gari zenye OVERDRIVE zinaadvantage over zisizokuwa nazo!!!basi hawa waliotengeneza hizi bmw,audi bila overdrive hawajitambui na hizo mark2,vits zenye overdrive ziko na advantage over bmws...i doubt that
 
mtaalamu unaongea vitu vingi ambavyo mstari mmoja unatosha kuelezea,wewe kama mtaalamu unatakiwa uelewe lugha rahisi...kwani tulianzia wapi??
1.ulisema overdrive ni gear ya juu kwa maelezo yako ni gear ya nne...NIKAJIBU SIO KWELI KUNA GARI ZINA GEAR SITA NA HAZINA OVERDRIVE...thats a fact....haihitaji uwe na phd ya magari.
2.ulisema something i dont remember ukataja accelerator cable....NIKAJIBU NANI KAKWAMBIA KILA GARI INA ACCELERATOR CABLE???..its a fact sio gari zote zina accelerator cable
3.i-nikasema intelligent system....ukakurupuka ukaenda huko kudesa unatafuta i-system ya gearbox,goosh!nikakwambia i-i meant intelligent system as in VVTi...ukakurupuka tena vvti haina uhusiano na transmission[simple lugha huelewi,nikakufafanulia i-intelligennt as used in vvti....sasa umekurupuka tena unahitaji i-system ya gearbox....intelligent ni system modern yoyote ndio zinazowekwa kwenye vitu vya kisasa

sasa umekuja na jipya eti gari zenye OVERDRIVE zinaadvantage over zisizokuwa nazo!!!basi hawa waliotengeneza hizi bmw,audi bila overdrive hawajitambui na hizo mark2,vits zenye overdrive ziko na advantage over bmws...i doubt that

Chacha Kisiri anakuelewesha vizuri tu.
Sema umeamua kutokubalina nae japo yuko sahihi and proffessional
 
Last edited by a moderator:
Chacha Kisiri anakuelewesha vizuri tu.
Sema umeamua kutokubalina nae japo yuko sahihi and proffessional

sawa kwamba overdrive ni gear ya nne ya juu kabisa....na gari zote zina accelerator cable....sio kila mtu yuko kama wewe kukubali tu kisa mtu anaongea maneno mengi na kusema yeye ni mtaalamu....tuna wataalam wengi na sometimes wanakuwa wrong....
 
Mkuu Goodrich,
Soon nita-conclude huyu mwenzetu amesha kengeuka. Na sifa ya mtu aliyekengeuka ni kuwa mmbishi na hakutaka kukubali kufikia kwenye muafaka. Anarudia maswali yale yale niliyokwisha mtolea ufafanuzi.
 
Last edited by a moderator:
Sawa kwamba overdrive ni gear ya nne ya juu kabisa na gari zote zina accelerator cable Sio kila mtu yuko kama wewe kukubali tu kisa mtu anaongea maneno mengi na kusema yeye ni mtaalamu. Tuna wataalam wengi na sometimes wanakuwa wrong.

Swala la kwamba OVERDRIVE ni higher gear naendelea kulisimamia lakini usipotoeshe kwa Mimi kutolea mfano wa Four Gearbox System. The meaning remain the same even for Six Gearbox System, Eight Gearbox System, etc. Swali kwamba Gari lako ni Six Gearbox na haina OVERDRIVE naomba usiendelee kuniuliza. Nimelijibu na nimechoka kulijibu kwa sasa.

Naomba pia unionyeshe niliposema kwamba kila gari ni lazima iwe na accelerator cable??

Finally kama unatambua kuwa tuna watalaamu wengi ambao sometimes wanakuwa wrong naomba utambue pia kuwa tuna watu ambao siyo wataalamu sometimes na wenyewe wanakuwa wrong pia.
 
Swala la kwamba OVERDRIVE ni higher gear naendelea kulisimamia lakini usipotoeshe kwa Mimi kutolea mfano wa Four Gearbox System. The meaning remain the same even for Six Gearbox System, Eight Gearbox System, etc. Swali kwamba Gari lako ni Six Gearbox na haina OVERDRIVE naomba usiendelee kuniuliza. Nimelijibu na nimechoka kulijibu kwa sasa.

Naomba pia unionyeshe niliposema kwamba kila gari ni lazima iwe na accelerator cable??

Finally kama unatambua kuwa tuna watalaamu wengi ambao sometimes wanakuwa wrong naomba utambue pia kuwa tuna watu ambao siyo wataalamu sometimes na wenyewe wanakuwa wrong pia.

BTW hili halikuwa jibu kwako....naamini nilimjibu Goodrich
 
Back
Top Bottom