YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Amalizie story [emoji23][emoji23][emoji23]
Mpana wewe [emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amalizie story [emoji23][emoji23][emoji23]
Na tunda alikulaaaSi tukaishia kucheka akaniambia wee chaumbea njoo ukae nikakaa yeye akanipokea kusimama, Mikese kuna abiria akashuka wa siti nyingine akakaa, sijui waliongea nini na konda nashangaa konda ananiambia sister hamia siti ya uku mpishe huyu akae sijui walimshawishi nini mpaka akakubali, nikamgomea konda sirudi nyuma [emoji23][emoji23]
Konda akasema dada utakosa mume wa kukuoa wewe! Ghafla yule bwana si akaja eti njoo yuko serious as if me mkewe, nikamwambia sitaki akasema toka kwenye siti yangu nikae, na mimi nilivyo jeuri nikanyanyuka nikaenda ile siti iliyokuwa wazi nikakaa akamwambia yule abiria aliyemtoa ile siti eti njoo ukae jamaa yangu! Akanifata nilipokaa akakaa nikajinyamazia zangu kimya!
Akaniambia kwanini ulikuwa unasoma msg zangu?! Nikanyamaza akaniambia, unajifanya mstaarabu kumbe mpenda chabo sasa twende ukamalizie kutushikia tochi ilibidi tu nicheke [emoji23][emoji23]
Jamaa ni mtu wa utani mwingi ikabidi niwe mpole niendelee kucheka na jamaa ana vituko na story za uongo! Alikuja kuniteka alivyoleta story za siasa ndio nazipenda basi tukajadili mpaka safari ikawa fupi.
Nikaja kugundua jamaa ni mfanyabiashara maeneo ya nyanda za juu kusini na alinisaidia sana kunifundisha biashara ila ilichukua muda sababu sikuwa na ilo wazo before! Mpaka leo amekuwa mtu wangu wa karibu sana!
Mmmmhh si useme tu ndio alikukula kimasihara na ndio baba watoto sasa hivi[emoji23][emoji23][emoji23]
Na tunda alikulaaa
[emoji16][emoji16][emoji16] pole mdogo wangu naona hawa wazinzi wa rikiboy wamekukalia kooni[emoji28] Tunda lipi nyie wafuasi wa Rikiboy
[emoji16][emoji16][emoji16] pole mdogo wangu naona hawa wazinzi wa rikiboy wamekukalia kooni
Sio lazima huwa Sipendi tuKwani kila atakaekuomba no au kukutongoza lazima umkubalie bibie?,ukiwa kama mwanamke kutongozwa ni lazima ila ni utashi wako kuamua kukubali ama kukataa
Kweli kabisa, wakati mwingine watoa huduma ni kero kwa abiriaMabasi yenye muziki, mhudumu /konda au dereva wasifungulie mziki sauti kubwa mno kana kwamba humo ndani ni Bar. Wazingatie kwamba kila abiria ana mambo yake kichwani yaliyomfanya asafiri na sio kuja kusikiliza muziki kwenye gari lao.
Ila No 1,3,4,8 na 9 nimezipenda sana. Hongera mkuu.
Usha dinywaSi tukaishia kucheka akaniambia wee chaumbea njoo ukae nikakaa yeye akanipokea kusimama, Mikese kuna abiria akashuka wa siti nyingine akakaa, sijui waliongea nini na konda nashangaa konda ananiambia sister hamia siti ya uku mpishe huyu akae sijui walimshawishi nini mpaka akakubali, nikamgomea konda sirudi nyuma [emoji23][emoji23]
Konda akasema dada utakosa mume wa kukuoa wewe! Ghafla yule bwana si akaja eti njoo yuko serious as if me mkewe, nikamwambia sitaki akasema toka kwenye siti yangu nikae, na mimi nilivyo jeuri nikanyanyuka nikaenda ile siti iliyokuwa wazi nikakaa akamwambia yule abiria aliyemtoa ile siti eti njoo ukae jamaa yangu! Akanifata nilipokaa akakaa nikajinyamazia zangu kimya!
Akaniambia kwanini ulikuwa unasoma msg zangu?! Nikanyamaza akaniambia, unajifanya mstaarabu kumbe mpenda chabo sasa twende ukamalizie kutushikia tochi ilibidi tu nicheke [emoji23][emoji23]
Jamaa ni mtu wa utani mwingi ikabidi niwe mpole niendelee kucheka na jamaa ana vituko na story za uongo! Alikuja kuniteka alivyoleta story za siasa ndio nazipenda basi tukajadili mpaka safari ikawa fupi.
Nikaja kugundua jamaa ni mfanyabiashara maeneo ya nyanda za juu kusini na alinisaidia sana kunifundisha biashara ila ilichukua muda sababu sikuwa na ilo wazo before! Mpaka leo amekuwa mtu wangu wa karibu sana!
Duh!Ndio maana huwa napenda nikisafiri na basi yaani safari inapoanza tu mi nishagida pombe kitambo. Hapo simsumbui mtu mwanzo mpaka mwisho wa safari. Nishawahi kulala kabisa kwenye siti za nyuma kuanzia Manyoni hadi Mbezi.
Usha dinywa
Hapana, macho yako ndiyo yanayokusutaDah! Wapi nimesema nimeliwa mbona mnalazimisha mambo? [emoji28]
Hapana, macho yako ndiyo yanayokusuta
Kwenye safari ndefu hizi ambazo zinawalazimu abiria wale njiani, ni vizuri madereva wanapofika sehemu ya kupata chakula wawape abiria muda wa kutosha kula kuepusha kuingia kwenye gari na vyakula.
Hakuna kitu kinanikera kama gari inasima mle unasikia, abiria dakika 10 kula!! Dakika 10 unakula nini? Ndio mwishowe kila mmoja kuingia na chakula chake kwenye basi. Huu sio ustaarabu kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Siku iyo niko Moro msamvu mida ya saa 4 usiku Nasubiri usafiri wa kwenda Dar ikaingia New Force ya kutoka Sumbawanga ilijaa ila nikapanda ivyoivyo, sasa nikawa nimesimama.
Sasa karibu na kwenye siti niliosimama kulikuwa na mkaka anachati na mke wake, mke wake akawa anamwambia mumewe umeme nyumbani kwao umekatika, basi mwanaume akamjibu, kwahiyo leo tunatom**na kwenye giza?!! Nikashindwa kuvumilia nikacheka yule kaka akanigeukia tukaaangaliana wote tukaanza kucheka teena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwingine anakuwa amekusalimia ila kwa sauti ya chini, ye anawaza amesalimia kwa saut hujasikia. Mi nikisalimia Mara moja hujaitika sirudiag so utawaza tu najisikia sikusalimiaHii ni kero sana, kuna dada alikaa bila kunisalimia badae ananiomba simu eti ampigie mwenyeji wake.
Basi, tuliosoma Cuba kwa balozi Polepole tumeshafahamu hata hicho kipengele ambacho haujakisimulia!Si tukaishia kucheka akaniambia wee chaumbea njoo ukae nikakaa yeye akanipokea kusimama, Mikese kuna abiria akashuka wa siti nyingine akakaa, sijui waliongea nini na konda nashangaa konda ananiambia sister hamia siti ya uku mpishe huyu akae sijui walimshawishi nini mpaka akakubali, nikamgomea konda sirudi nyuma [emoji23][emoji23]
Konda akasema dada utakosa mume wa kukuoa wewe! Ghafla yule bwana si akaja eti njoo yuko serious as if me mkewe, nikamwambia sitaki akasema toka kwenye siti yangu nikae, na mimi nilivyo jeuri nikanyanyuka nikaenda ile siti iliyokuwa wazi nikakaa akamwambia yule abiria aliyemtoa ile siti eti njoo ukae jamaa yangu! Akanifata nilipokaa akakaa nikajinyamazia zangu kimya!
Akaniambia kwanini ulikuwa unasoma msg zangu?! Nikanyamaza akaniambia, unajifanya mstaarabu kumbe mpenda chabo sasa twende ukamalizie kutushikia tochi ilibidi tu nicheke [emoji23][emoji23]
Jamaa ni mtu wa utani mwingi ikabidi niwe mpole niendelee kucheka na jamaa ana vituko na story za uongo! Alikuja kuniteka alivyoleta story za siasa ndio nazipenda basi tukajadili mpaka safari ikawa fupi.
Nikaja kugundua jamaa ni mfanyabiashara maeneo ya nyanda za juu kusini na alinisaidia sana kunifundisha biashara ila ilichukua muda sababu sikuwa na ilo wazo before! Mpaka leo amekuwa mtu wangu wa karibu sana!
Kwani ulikuwa hujui mkuuMkuu umevumbua code..
Ndio mwanzo wa mamende. Basi zuri limejaa mamendeKwenye safari ndefu hizi ambazo zinawalazimu abiria wale njiani, ni vizuri madereva wanapofika sehemu ya kupata chakula wawape abiria muda wa kutosha kula kuepusha kuingia kwenye gari na vyakula.
Hakuna kitu kinanikera kama gari inasima mle unasikia, abiria dakika 10 kula!! Dakika 10 unakula nini? Ndio mwishowe kila mmoja kuingia na chakula chake kwenye basi. Huu sio ustaarabu kabisa.