Mambo ya kuzingatia uwapo safarini

Mambo ya kuzingatia uwapo safarini

Si tukaishia kucheka akaniambia wee chaumbea njoo ukae nikakaa yeye akanipokea kusimama, Mikese kuna abiria akashuka wa siti nyingine akakaa, sijui waliongea nini na konda nashangaa konda ananiambia sister hamia siti ya uku mpishe huyu akae sijui walimshawishi nini mpaka akakubali, nikamgomea konda sirudi nyuma [emoji23][emoji23]

Konda akasema dada utakosa mume wa kukuoa wewe! Ghafla yule bwana si akaja eti njoo yuko serious as if me mkewe, nikamwambia sitaki akasema toka kwenye siti yangu nikae, na mimi nilivyo jeuri nikanyanyuka nikaenda ile siti iliyokuwa wazi nikakaa akamwambia yule abiria aliyemtoa ile siti eti njoo ukae jamaa yangu! Akanifata nilipokaa akakaa nikajinyamazia zangu kimya!

Akaniambia kwanini ulikuwa unasoma msg zangu?! Nikanyamaza akaniambia, unajifanya mstaarabu kumbe mpenda chabo sasa twende ukamalizie kutushikia tochi ilibidi tu nicheke [emoji23][emoji23]

Jamaa ni mtu wa utani mwingi ikabidi niwe mpole niendelee kucheka na jamaa ana vituko na story za uongo! Alikuja kuniteka alivyoleta story za siasa ndio nazipenda basi tukajadili mpaka safari ikawa fupi.

Nikaja kugundua jamaa ni mfanyabiashara maeneo ya nyanda za juu kusini na alinisaidia sana kunifundisha biashara ila ilichukua muda sababu sikuwa na ilo wazo before! Mpaka leo amekuwa mtu wangu wa karibu sana!
Na tunda alikulaaa
 
Mabasi yenye muziki, mhudumu /konda au dereva wasifungulie mziki sauti kubwa mno kana kwamba humo ndani ni Bar. Wazingatie kwamba kila abiria ana mambo yake kichwani yaliyomfanya asafiri na sio kuja kusikiliza muziki kwenye gari lao.
Ila No 1,3,4,8 na 9 nimezipenda sana. Hongera mkuu.
Kweli kabisa, wakati mwingine watoa huduma ni kero kwa abiria
 
Si tukaishia kucheka akaniambia wee chaumbea njoo ukae nikakaa yeye akanipokea kusimama, Mikese kuna abiria akashuka wa siti nyingine akakaa, sijui waliongea nini na konda nashangaa konda ananiambia sister hamia siti ya uku mpishe huyu akae sijui walimshawishi nini mpaka akakubali, nikamgomea konda sirudi nyuma [emoji23][emoji23]

Konda akasema dada utakosa mume wa kukuoa wewe! Ghafla yule bwana si akaja eti njoo yuko serious as if me mkewe, nikamwambia sitaki akasema toka kwenye siti yangu nikae, na mimi nilivyo jeuri nikanyanyuka nikaenda ile siti iliyokuwa wazi nikakaa akamwambia yule abiria aliyemtoa ile siti eti njoo ukae jamaa yangu! Akanifata nilipokaa akakaa nikajinyamazia zangu kimya!

Akaniambia kwanini ulikuwa unasoma msg zangu?! Nikanyamaza akaniambia, unajifanya mstaarabu kumbe mpenda chabo sasa twende ukamalizie kutushikia tochi ilibidi tu nicheke [emoji23][emoji23]

Jamaa ni mtu wa utani mwingi ikabidi niwe mpole niendelee kucheka na jamaa ana vituko na story za uongo! Alikuja kuniteka alivyoleta story za siasa ndio nazipenda basi tukajadili mpaka safari ikawa fupi.

Nikaja kugundua jamaa ni mfanyabiashara maeneo ya nyanda za juu kusini na alinisaidia sana kunifundisha biashara ila ilichukua muda sababu sikuwa na ilo wazo before! Mpaka leo amekuwa mtu wangu wa karibu sana!
Usha dinywa
 
Ndio maana huwa napenda nikisafiri na basi yaani safari inapoanza tu mi nishagida pombe kitambo. Hapo simsumbui mtu mwanzo mpaka mwisho wa safari. Nishawahi kulala kabisa kwenye siti za nyuma kuanzia Manyoni hadi Mbezi.
Duh!
 
Kwenye safari ndefu hizi ambazo zinawalazimu abiria wale njiani, ni vizuri madereva wanapofika sehemu ya kupata chakula wawape abiria muda wa kutosha kula kuepusha kuingia kwenye gari na vyakula.

Hakuna kitu kinanikera kama gari inasima mle unasikia, abiria dakika 10 kula!! Dakika 10 unakula nini? Ndio mwishowe kila mmoja kuingia na chakula chake kwenye basi. Huu sio ustaarabu kabisa.

Ukipanda basi za ABC hakuna huo ujinga wa kuingia na chakula,mnashuka hotelini mnakula vizuri tu mnamaliza ndio basi linaindoka,dk 10 kwa chai,dk 30 kwa chakula cha mchana
 
Siku iyo niko Moro msamvu mida ya saa 4 usiku Nasubiri usafiri wa kwenda Dar ikaingia New Force ya kutoka Sumbawanga ilijaa ila nikapanda ivyoivyo, sasa nikawa nimesimama.

Sasa karibu na kwenye siti niliosimama kulikuwa na mkaka anachati na mke wake, mke wake akawa anamwambia mumewe umeme nyumbani kwao umekatika, basi mwanaume akamjibu, kwahiyo leo tunatom**na kwenye giza?!! Nikashindwa kuvumilia nikacheka yule kaka akanigeukia tukaaangaliana wote tukaanza kucheka teena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Hiyo namba tano kuna abiria(me) nilikaa Naye kwa siti arooo nilichokaa mana abiria yule alikuwa anasinzia karibia nusu ya safar kazi ilikuwa kuniegemea
 
Hii ni kero sana, kuna dada alikaa bila kunisalimia badae ananiomba simu eti ampigie mwenyeji wake.
Mwingine anakuwa amekusalimia ila kwa sauti ya chini, ye anawaza amesalimia kwa saut hujasikia. Mi nikisalimia Mara moja hujaitika sirudiag so utawaza tu najisikia sikusalimia
 
Si tukaishia kucheka akaniambia wee chaumbea njoo ukae nikakaa yeye akanipokea kusimama, Mikese kuna abiria akashuka wa siti nyingine akakaa, sijui waliongea nini na konda nashangaa konda ananiambia sister hamia siti ya uku mpishe huyu akae sijui walimshawishi nini mpaka akakubali, nikamgomea konda sirudi nyuma [emoji23][emoji23]

Konda akasema dada utakosa mume wa kukuoa wewe! Ghafla yule bwana si akaja eti njoo yuko serious as if me mkewe, nikamwambia sitaki akasema toka kwenye siti yangu nikae, na mimi nilivyo jeuri nikanyanyuka nikaenda ile siti iliyokuwa wazi nikakaa akamwambia yule abiria aliyemtoa ile siti eti njoo ukae jamaa yangu! Akanifata nilipokaa akakaa nikajinyamazia zangu kimya!

Akaniambia kwanini ulikuwa unasoma msg zangu?! Nikanyamaza akaniambia, unajifanya mstaarabu kumbe mpenda chabo sasa twende ukamalizie kutushikia tochi ilibidi tu nicheke [emoji23][emoji23]

Jamaa ni mtu wa utani mwingi ikabidi niwe mpole niendelee kucheka na jamaa ana vituko na story za uongo! Alikuja kuniteka alivyoleta story za siasa ndio nazipenda basi tukajadili mpaka safari ikawa fupi.

Nikaja kugundua jamaa ni mfanyabiashara maeneo ya nyanda za juu kusini na alinisaidia sana kunifundisha biashara ila ilichukua muda sababu sikuwa na ilo wazo before! Mpaka leo amekuwa mtu wangu wa karibu sana!
Basi, tuliosoma Cuba kwa balozi Polepole tumeshafahamu hata hicho kipengele ambacho haujakisimulia!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kwenye safari ndefu hizi ambazo zinawalazimu abiria wale njiani, ni vizuri madereva wanapofika sehemu ya kupata chakula wawape abiria muda wa kutosha kula kuepusha kuingia kwenye gari na vyakula.

Hakuna kitu kinanikera kama gari inasima mle unasikia, abiria dakika 10 kula!! Dakika 10 unakula nini? Ndio mwishowe kila mmoja kuingia na chakula chake kwenye basi. Huu sio ustaarabu kabisa.
Ndio mwanzo wa mamende. Basi zuri limejaa mamende
 
Back
Top Bottom