Mambo ya kuzingatia uwapo safarini

Mambo ya kuzingatia kwenye safari ya beach

Kwenye gari machura kama wote
Nauli ya bodaboda endapo utaachwa
Kua na umoja mwenzenu akipigwa mnakua masojaa
Dereva asilewe sifa mkajikuta mpo chini
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Kisaikorojia hii imetuathiri sana wanaume( sijui kuus wanawake). Unakuta mtu umekaa siti 1 na mwanamke basi ujasiri na asilimia za kumpata vinatake place!
 
Kudoz man. Umeturepresent vizuri [emoji109]
 
Kuvua viatu,huku ulikua una mwaka hujafua sox
 
Hiv kwann ukilala huku umekaa unanesa nesa kichwa...

Juz aibu sana nilisinzia kustuka nipo begani kwa dada wa watu usingizi noma kwny bus
 
[emoji23][emoji23][emoji119]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Eeeh yani ukae siti moja na msukuma anatoka huko machimboni anaenda likizo woiiiii utajuta.
 
Mishandling kama hii inatakiwa ikate siti mbili kwakweli
 
Binafsi

Nabeba maji, Juice, Gums
Dawa za kuzuia kuharisha, Paracematol
Cakes au cookies
Wipes/ Sanitizer

Huwa nikishasalimia watu nalala hadi gari lisimame
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mara zote nikinyoosha zile seat za kulala(sleeping coach) abiria wa seat ya nyuma lazima anikataze, Hadi najiuliza sasa hawa wachina ilikuaje hizi seat kuziweka option ya kuzilaza ilhali ukiilaza unakatazwa? Kiukweli inanikera sana
 
Mara zote nikinyoosha zile seat za kulala(sleeping coach) abiria wa seat ya nyuma lazima anikataze, Hadi najiuliza sasa hawa wachina ilikuaje hizi seat kuziweka option ya kuzilaza ilhali ukiilaza unakatazwa? Kiukweli inanikera sana
Kulaza siti ni kwa wastani, usiwe mshamba mshamba kama wasukuma bhana. Unalaza siti kiasi kwamba mtu wa siti ya nyuma yako anashindwa hata kutoka kwenye siti yake?

Huo ni ushamba na unatakiwa ujue hilo.
 
Kulaza siti ni kwa wastani, usiwe mshamba mshamba kama wasukuma bhana. Unalaza siti kiasi kwamba mtu wa siti ya nyuma yako anashindwa hata kutoka kwenye siti yake?

Huo ni ushamba na unatakiwa ujue hilo.
Mkuu hata hiyo wastanj unayosema jamaa wanazingua kiasi kwamba inanibidi nisilaze kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…