Mambo ya kuzingatia uwapo safarini

Ila iwapo hutaki kero,nunua Ndinga,kaa kwenye Mchuma wako kwa kujiachia,hutakerwa,hutamkera yeyote🀸🀸🀸🀸
 
Ila iwapo hutaki kero,nunua Ndinga,kaa kwenye Mchuma wako kwa kujiachia,hutakerwa,hutamkera yeyote🀸🀸🀸🀸
Tunaobgelea nini ufanye
Superb advice
 
Binafsi

Nabeba maji, Juice, Gums
Dawa za kuzuia kuharisha, Paracematol
Cakes au cookies
Wipes/ Sanitizer

Huwa nikishasalimia watu nalala hadi gari lisimame
Mwanaume una beba makorokoro yote kisa nini tena safari tenyewe ya Dar- Moro?
 
Unqnif*ra
Dogo una nyege mshindo et? Hao mabasha zako hawakukandi vizuri...
Umenifata pm unanilazimisha mambo yako ya kishoga nimekukataa saiz unaeleta makasiriko humu....

nilishakataa kwamba siwezi kula huo mnyeo wako bado unalazimisha...
Sasa Jichanganye uone moto mtoto wa malaya
 
Hakuna kitu napenda safarini kama Mwanamke kusinzia na kuniegemea Mimi

Wallah nitampet pet safari nzima, hata kushuka kwenda kula sintashuka..nitamkula yeye

Wabillah Tawfiq
 
🀣🀣 Mkuu mpaka leo unasafiri kwa shida tu
 
Kuna wadada wenzangu wananuka sana nywele zao aisee. Umesuka nywele umekaa nazo mwezi mzima na kitu bila kutia maji kwa kichwa unategemea abiria mwenzako atakuwa katika hali gani?
Hivi kwann kuna kuwa na wadada wa hivi?! Me hii huwa nakutana nayo sana kwenye daladala, unakutana na mdada ananuka jasho la kichwa balaa yaani harufu ambayo ni kali kuvumilia.

Mara nyingi huwa ni kipindi cha jua kali. Au mvua imnyeshee halafu jua liwake muda huo huo.
 
Huwa nambeba mama yako ili nimle vizuri
Hahaaaaaa, yaani Dar-Moro tu bro Makolokolo yote. Sasa ungekuwa Dar kwenda Kongo au South Africa kwa basi au unatoka Mtwara kwenda Tanga kwa miguu ukafanye kazi ya manamba kwenye shamba la mkonge je? Jikaze mwanaume usiwe kama mtoto wa kike. Utaolewa, kasafari kadogo mwanaume unabeba hadi Begi zima la Chu.....i na Boxer za kubadili njianu. 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Nani huyo anabeba chupi safarini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…