Mambo ya kuzingatia wakati wa kununua kiwanja

Mambo ya kuzingatia wakati wa kununua kiwanja

ntuchake

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2024
Posts
408
Reaction score
1,549
Wakuu humu kuna watu wa aina mbalimbali ambao wana ujuzi wa mambo tofauti tofauti. Una yapi ya kumwambia kijana ambae anataka kununua kiwanja? Mambo gani azingatie ili asije akajuta huko mbeleni?
 
Wakuu humu kuna watu wa aina mbalimbali ambao wana ujuzi wa mambo tofauti tofauti. Una yapi ya kumwambia kijana ambae anataka kununua kiwanja? Mambo gani azingatie ili asije akajuta huko mbeleni?
Wewe sema unataka kununuwa kiwanja wapi na kina document gani ili ushauriwe, na je ni cha urithi?
 
Wakuu humu kuna watu wa aina mbalimbali ambao wana ujuzi wa mambo tofauti tofauti. Una yapi ya kumwambia kijana ambae anataka kununua kiwanja? Mambo gani azingatie ili asije akajuta huko mbeleni?
1. Hakikisha anayekuuzia ni mwenye mali. Nakazia tena hakikisha anayekuuzia ni mwenye mali. (habari ya Power of Attorney achana nayo).

2. Hakikisha mkataba wa mauziano umesainishwa na mwanasheria.

3. Ulizia historia ya hilo eneo kwa majirani(kama wapo).

Mengine wataongezea wachangiaji wengine.
 
1. Hakikisha anayekuuzia ni mwenye mali. Nakazia tena hakikisha anayekuuzia ni mwenye mali. (habari ya Power of Attorney achana nayo).

2. Hakikisha mkataba wa mauziano umesainishwa na mwanasheria.

3. Ulizia historia ya hilo eneo kwa majirani(kama wapo).

Mengine wataongezea wachangiaji wengine.
4. Nunua wakati wa kiangazi
5. Public road.
 
1. Hakikisha anayekuuzia ni mwenye mali. Nakazia tena hakikisha anayekuuzia ni mwenye mali. (habari ya Power of Attorney achana nayo).

2. Hakikisha mkataba wa mauziano umesainishwa na mwanasheria.

3. Ulizia historia ya hilo eneo kwa majirani(kama wapo).

Mengine wataongezea wachangiaji wengine.
Wewe huelewi vizuri unachokiandika, mtu atoke Marekani aje kuuza kiwanja chake Tanzania?

Power of Attorney watu wanakabidhiwa account za mabilioni kuziendesha ndio sembuse kiwanja?

Mkataba sehemu salama zaidi ni mahakamani kwa hakimu.
 
1. Hakikisha anayekuuzia ni mwenye mali. Nakazia tena hakikisha anayekuuzia ni mwenye mali. (habari ya Power of Attorney achana nayo).

2. Hakikisha mkataba wa mauziano umesainishwa na mwanasheria.

3. Ulizia historia ya hilo eneo kwa majirani(kama wapo).

Mengine wataongezea wachangiaji wengine.
Ubarikiwe sana mpasuji 👊
 
Back
Top Bottom