Avatar Myg
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 675
- 118
unaangalia chombo gani cha habari wewe? Jana kwenye TBC kuna mama amekiri ametoka kwa babu siku kadhaa amekunywa dawa ya kisukari amepona hanywi tena dawa na anakula vyakula tofauti ameenda kupima sijui wamemwambia iko sita mi sielewi mambo ya kisayansi, na kwa sasa anakula chakula chochote kile na amepona ana nguvu kabisa, anadai alipelekwa pale akiwa na hali mbaya sana.
Habari Za wandugu wa JF,
Nimeamini kuwa kilichosemwa na BIBLIA hakitabadilika hata kama ni kwanini.
1.WATU HAWA WANAMACHO LAKINI HAWAONI, WANAMASIKIO LAKINI HAWASIKII.
2. WENGI WATAKUJA KWA JINA LA MUNGU.
Tusibabaishwe na mganga wa Loliondo ukweli hakuna Mungu wa namna hiyo yeye angetumia tu jina la Mganga wa kienyeji sio Mungu unajua ni kwanini?
a. Dawa ya Mungu hainaga masharti, hata ukipewa sio masharti kama ya Loliondo eti hakuna mtu mwingine kukupa dawa hiyo ukanywa zaidi ya yeye peke yake swali: Watumishi wa Mungu Loliondo ni yeye peke yake? kama wengine wapo kwanini wasisaidiane? si kumpa tu mtu maji anakunywa??
b. Kwanini mti huo kama umefunuliwa na Mungu ukitumiwa na wengine usiponye?? Maana yake Mungu ameanza lini kutufundisha ubinafsi na uchoyo?
Nikomee hapa nitarudi! View attachment 24640
Habari Za wandugu wa JF,
Nimeamini kuwa kilichosemwa na BIBLIA hakitabadilika hata kama ni kwanini.
1.WATU HAWA WANAMACHO LAKINI HAWAONI, WANAMASIKIO LAKINI HAWASIKII.
2. WENGI WATAKUJA KWA JINA LA MUNGU.
Tusibabaishwe na mganga wa Loliondo ukweli hakuna Mungu wa namna hiyo yeye angetumia tu jina la Mganga wa kienyeji sio Mungu unajua ni kwanini?
a. Dawa ya Mungu hainaga masharti, hata ukipewa sio masharti kama ya Loliondo eti hakuna mtu mwingine kukupa dawa hiyo ukanywa zaidi ya yeye peke yake swali: Watumishi wa Mungu Loliondo ni yeye peke yake? kama wengine wapo kwanini wasisaidiane? si kumpa tu mtu maji anakunywa??
b. Kwanini mti huo kama umefunuliwa na Mungu ukitumiwa na wengine usiponye?? Maana yake Mungu ameanza lini kutufundisha ubinafsi na uchoyo?
Nikomee hapa nitarudi! View attachment 24640
Inaonekana hujui maana ya headlines na sifa zake! how you can people read it! hehe jisomee magazeti na usikilize vichwa vya habari vya magazeti
wema hawadumu!
Alimaanisha breaking shuzi, maana lilimbana sasa ameshatoa ushuzi wake basi mwacheni, ukiona kwenye kamusi kuna neno mapunguani basi ujue wapo kweli, ndio maana hilo neno lipo.
Huyu na yule wa mwembechai anayegawa majini ni sawa.Habari Za wandugu wa JF,
Nimeamini kuwa kilichosemwa na BIBLIA hakitabadilika hata kama ni kwanini.
1.WATU HAWA WANAMACHO LAKINI HAWAONI, WANAMASIKIO LAKINI HAWASIKII.
2. WENGI WATAKUJA KWA JINA LA MUNGU.
Tusibabaishwe na mganga wa Loliondo ukweli hakuna Mungu wa namna hiyo yeye angetumia tu jina la Mganga wa kienyeji sio Mungu unajua ni kwanini?
a. Dawa ya Mungu hainaga masharti, hata ukipewa sio masharti kama ya Loliondo eti hakuna mtu mwingine kukupa dawa hiyo ukanywa zaidi ya yeye peke yake swali: Watumishi wa Mungu Loliondo ni yeye peke yake? kama wengine wapo kwanini wasisaidiane? si kumpa tu mtu maji anakunywa??
b. Kwanini mti huo kama umefunuliwa na Mungu ukitumiwa na wengine usiponye?? Maana yake Mungu ameanza lini kutufundisha ubinafsi na uchoyo?
Nikomee hapa nitarudi! View attachment 24640
Habari Za wandugu wa JF,
Nimeamini kuwa kilichosemwa na BIBLIA hakitabadilika hata kama ni kwanini.
1.WATU HAWA WANAMACHO LAKINI HAWAONI, WANAMASIKIO LAKINI HAWASIKII.
2. WENGI WATAKUJA KWA JINA LA MUNGU.
Tusibabaishwe na mganga wa Loliondo ukweli hakuna Mungu wa namna hiyo yeye angetumia tu jina la Mganga wa kienyeji sio Mungu unajua ni kwanini?
a. Dawa ya Mungu hainaga masharti, hata ukipewa sio masharti kama ya Loliondo eti hakuna mtu mwingine kukupa dawa hiyo ukanywa zaidi ya yeye peke yake swali: Watumishi wa Mungu Loliondo ni yeye peke yake? kama wengine wapo kwanini wasisaidiane? si kumpa tu mtu maji anakunywa??
b. Kwanini mti huo kama umefunuliwa na Mungu ukitumiwa na wengine usiponye?? Maana yake Mungu ameanza lini kutufundisha ubinafsi na uchoyo?
Nikomee hapa nitarudi! View attachment 24640
ukijaribu kutazama katika hali iliyosasa loliondo kwa babu utapata taswira ya mambo yafuatayo
1.watanzania wamekosa tumaini, kwani adui maradhi bado anawaandama
2. Hospitali zetu ni magumashi ndo maana hata vigogo wa serikali wamekimbilia Loliondo kupata kitu cha jero
3. ukiwa na shida mwenye nacho huzidi kukunyonya, babu alioteshwa kutoa tiba kwa jero, ila wengine wamechukulia advantage kupandisha bei ya nauli maradufu
4. watanzania side effect haina maana tunachohitaji dawa
5. hatuna serikali makini, kwani nionavyo mimi ingetakiwa ifanye uchunguzi wa dawa hiyo ndiyo iruhusu kuendelea kutolewa kwa wanaohitaji, angalizo hivi kama ikithibitika ni sumu ni wangapi walikwisha kuitumia na ni wangapi watakuwa wameathirika
Kama wewe huoni waachie wanaoona!Hii ni Breaking News???
Halafu wewe ukianza kuzungumzia mambo ya dini YATAKUSHINDA.
Kama huamini kaa kimya waache wanaoamini waende shida yako nini hasa????
support this by valid documents!!!!sio unatuwekea urojo hapawatanzania tunapenda sana kuishi.. hatutaki kusacrifice maisha yetu.... kama ni kufa tutakufa tu........ hadi jana mzee kashajikusanyia bilion 1.3...... great business
Safi sana ili awaokoe wana wa Israel na walipita kabla ya maadui kufika! Sasa huyu ambaye mpaka watu wanazidiwa na kulazimika kuikimbia dunia wakisubiri fimbo yake peke yake hili linakaaje?Mbn Mussa alitumia fimbo...tena ilikuwa inafanya kazi kwake tuu!???
Think!!!....
Habari Za wandugu wa JF,
Nimeamini kuwa kilichosemwa na BIBLIA hakitabadilika hata kama ni kwanini.
1.WATU HAWA WANAMACHO LAKINI HAWAONI, WANAMASIKIO LAKINI HAWASIKII.
2. WENGI WATAKUJA KWA JINA LA MUNGU.
Tusibabaishwe na mganga wa Loliondo ukweli hakuna Mungu wa namna hiyo yeye angetumia tu jina la Mganga wa kienyeji sio Mungu unajua ni kwanini?
a. Dawa ya Mungu hainaga masharti, hata ukipewa sio masharti kama ya Loliondo eti hakuna mtu mwingine kukupa dawa hiyo ukanywa zaidi ya yeye peke yake swali: Watumishi wa Mungu Loliondo ni yeye peke yake? kama wengine wapo kwanini wasisaidiane? si kumpa tu mtu maji anakunywa??
b. Kwanini mti huo kama umefunuliwa na Mungu ukitumiwa na wengine usiponye?? Maana yake Mungu ameanza lini kutufundisha ubinafsi na uchoyo?
Nikomee hapa nitarudi! View attachment 24640
Wewe bwana hujui mahesabu?? ni wapi ambapo Mungu alitoa kipaji kwa mtu mmoja na akapata shida na kushindwa kuwahudumia wengine haraka iwezekanavyo?? Angalia mateso wanayopata wagonjwa wakati wanasubiria dawa na uwezekano wao kupata dawa haraka na Ujiulize Mungu gani asiyeweza kuongeza watendakazi wake?? Jana alisema itafikia hadi mwezi 1 kwa mtu kupata tiba kutokana na watu wa mabara mengine kuingia nchini zaidi! Swali watakufa wangapi kila siku?? mhuyo ni Mungu??Mbona hata ile fimbo ya ajabu Mungu alimpa Musa peke yake ina maana mungu alikuwa mchoyo kwa kufanya hivyo Na tujiulize tutajifunza nini kama kila mtu atapewa uwezo wa ajabu si tutaumizana wapendwa. Kama mtu una imani yako ni bora kumuuliza mungu kama kamtuma mtu huyo au la. Kwa kufanya hivyo unaweza kuibuka na kipaji kingine na ukaokoa watu kama hiyo dawa itakuwa ina makusudi mengine. Hapa cha msingi ni imani tu.:A S 13::A S 13: