geophysics
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 904
- 167
Imani juu ya jambo ndiyo msingi hata yule mama aliyevuja damu miaka kumi na mbili Imani ilimsukuma kuwa ukishika vazi la Bwana Yesu basi utapona na kweli alifanya hivyo,je hapo ungekuwa wewe si ungemcheka kwa kuchagua kushika vazi na si Imani juu ya uponjaji,Sifa na Utukufu ni kwa Mungu tu kwa huduma anayoifanya huyu babuJaman mbavu sina mimi, yaani watu wameshakata tamaa ya maisha hivi unakubali uponyaji kwa mizizi huku mkiwa mmesubiliana hadi watu mamia! si angeamuru wapone kwa Neno tu sasa hadi wanakufa!
Upupu mwingine bana!:hand::hand::hand:
Habari Za wandugu wa JF,
Nimeamini kuwa kilichosemwa na BIBLIA hakitabadilika hata kama ni kwanini.
1.WATU HAWA WANAMACHO LAKINI HAWAONI, WANAMASIKIO LAKINI HAWASIKII.
2. WENGI WATAKUJA KWA JINA LA MUNGU.
Tusibabaishwe na mganga wa Loliondo ukweli hakuna Mungu wa namna hiyo yeye angetumia tu jina la Mganga wa kienyeji sio Mungu unajua ni kwanini?
a. Dawa ya Mungu hainaga masharti, hata ukipewa sio masharti kama ya Loliondo eti hakuna mtu mwingine kukupa dawa hiyo ukanywa zaidi ya yeye peke yake swali: Watumishi wa Mungu Loliondo ni yeye peke yake? kama wengine wapo kwanini wasisaidiane? si kumpa tu mtu maji anakunywa??
b. Kwanini mti huo kama umefunuliwa na Mungu ukitumiwa na wengine usiponye?? Maana yake Mungu ameanza lini kutufundisha ubinafsi na uchoyo?
Nikomee hapa nitarudi! View attachment 24640
Jaman mbavu sina mimi, yaani watu wameshakata tamaa ya maisha hivi unakubali uponyaji kwa mizizi huku mkiwa mmesubiliana hadi watu mamia! si angeamuru wapone kwa Neno tu sasa hadi wanakufa!
Upupu mwingine bana!:hand::hand::hand:
Jaman mbavu sina mimi, yaani watu wameshakata tamaa ya maisha hivi unakubali uponyaji kwa mizizi huku mkiwa mmesubiliana hadi watu mamia! si angeamuru wapone kwa Neno tu sasa hadi wanakufa!
Upupu mwingine bana!:hand::hand::hand:
Jaman mbavu sina mimi, yaani watu wameshakata tamaa ya maisha hivi unakubali uponyaji kwa mizizi huku mkiwa mmesubiliana hadi watu mamia! si angeamuru wapone kwa Neno tu sasa hadi wanakufa!
Upupu mwingine bana!:hand::hand::hand:
Habari Za wandugu wa JF,
Nimeamini kuwa kilichosemwa na BIBLIA hakitabadilika hata kama ni kwanini.
1.WATU HAWA WANAMACHO LAKINI HAWAONI, WANAMASIKIO LAKINI HAWASIKII.
2. WENGI WATAKUJA KWA JINA LA MUNGU.
Tusibabaishwe na mganga wa Loliondo ukweli hakuna Mungu wa namna hiyo yeye angetumia tu jina la Mganga wa kienyeji sio Mungu unajua ni kwanini?
a. Dawa ya Mungu hainaga masharti, hata ukipewa sio masharti kama ya Loliondo eti hakuna mtu mwingine kukupa dawa hiyo ukanywa zaidi ya yeye peke yake swali: Watumishi wa Mungu Loliondo ni yeye peke yake? kama wengine wapo kwanini wasisaidiane? si kumpa tu mtu maji anakunywa??
b. Kwanini mti huo kama umefunuliwa na Mungu ukitumiwa na wengine usiponye?? Maana yake Mungu ameanza lini kutufundisha ubinafsi na uchoyo?
Nikomee hapa nitarudi! View attachment 24640
mungu,mganga wa kienyeji au shetani mwenyewe.
we vipi bwana kwani kule izraeli Yesu mwenywe aliekuwepo watu wote walipona? umeshasoma mstari kuwa wakati Yesu yupo duniani watu hawakufa tena? Mambo ya Mungu yana mipangom yake thabiti na wewe usitake kuingilia, km babu yupo kimungu well na iwe hivyo km otherwise poa, mbona wattalam wetu hawajaweza kungoa hayp magonjwa? so let him be usijidai kuelewa sana ya Mbinguni wajati akili yako bado finyu tena sana tu! relativity yako ni minute haiingii ktk hali ya karne hii ya 21
pointiNon of the above! hii ni Desi tu inachezeshwa, mzee anakula chake, wenye magari wanakula chao etc etc.
Kuna baadhi ya mambo Mungu huweka masharti kwa watu wake hilo halina ubishi
yupo ADAM aliambiwa asilie tunda la kati kati hata yule mke wa Rutu alipoambiwa asigeuke nyuma atakuwa kichuguuu wote hawa walipovunja masharti wote tunafahamu kilichotokea!!!
Au kwa vile wale walilkuwa ni watu weupe ila masharti aliyopewa huyu Mzee unaanza kuhoji?Mbona huoji kwanini Adam alikatazwa kula tunda lakati kati?
Any name can be good but the message delivered!this is broken news
Hongera kwa kupanuka kiakili!Hii issue ya babu wa monduli inachanganya kiukweli. Kwa sababu hakuna ajuae hii huduma imetoka kwa mungu,mganga wa kienyeji au shetani mwenyewe.
Why.Babu anasema alioteshwa akiwa amelala usiku akaonywesha mti ambao utasaidia kuwatibia watu.halafu akaambiwa itabidi watu wakufuate huku huku ndio utawapa dawa ya maji ambayo imechanganywa na kipande cha mti huo,na huo mti mtu mwingine akitaka kwenda kuutumia hautafanya kazi.
Hapa ndio suala hili linaponishangaza. Mungu ni mwema sana kwa nini kama ak=mekuja kuwaponya watu wake asiachie mti huu yeyote atkeutumia apone? mpaka uende kwa babu tu ndie awe na umiliki nao,hapa kidogo pana utyata