Mambo ya kwa Babu LOLIONDO

Dawa za kutibu malaria mfano quinine zinatengenezwa na nini? Au kwa kuwa nyeupe? Mwehu wewe mdharau chako!
 

Pole mkuu, umejigonga kwenye ukuta is it?? pole kaa tu chini sikilizia maumivu ujumbe umefika mengine utayaongea na hayakusaidia kitu! Pole
 
Jump jump ok??...... okeeeeeeeeeeee
 
Ka search kwenye google kwa kuandika Sour sop halafu ukisha soma utafungua akili zaidi!
 
kama watu wanaamini inaponya na ushuhuda upo let them use it,kwan kuna shida gani tusijaribu kudiscourage watu,ndg yangu hujaumwa? au hujauguliwa acha mungu afanye maajabu yake...
 
kama watu wanaamini inaponya na ushuhuda upo let them use it,kwan kuna shida gani tusijaribu kudiscourage watu,ndg yangu hujaumwa? au hujauguliwa acha mungu afanye maajabu yake...

Utapata jibu siku moja!
 
Jaman mbavu sina mimi, yaani watu wameshakata tamaa ya maisha hivi unakubali uponyaji kwa mizizi huku mkiwa mmesubiliana hadi watu mamia! si angeamuru wapone kwa Neno tu sasa hadi wanakufa!
Upupu mwingine bana!:hand::hand::hand:

Kama ni kuhurumia watu unacheka nini sasa!!!!?
 
Jirani yangu Mama yake mzazi amepona alikuwa anasumbuliwa sana na sukari! hv sasa ni mzima wa Afya!!
 
Sijasikia mtu yeyote aliyeripotiwa kua kafariki wakati yupo kwenye foleni ya kunywa dawa.Pia hata kama yupo haitakua sahihi kusema kua sio mungu kwani hata waliokua wanatoka misri pamoja na musa mwenyewe hawakufika ktk ile nchi ya ahadi (kaanani) ambayo mungu aliwaandalia.
 
Katika UKOO wenu, wewe ndio sio MBISHI, na unaongoza kwa upole Loooooooohhhhh!
 
Mwache akabadilishe nepi kwani bado anajua @kizuri ni cha mzungu. Amesahau hata quinine ni mizizi.
 
Mfano uliotoa haufanani. Unalinganisha safari na wagonjwa Loliondo? Kama hujasikia idadi ya walifariki nunua redio au TV kama huna uwe unaenda kusikiliza kwa jirani au kumuuliza anakuelewesha!
 

Wewe ni Ma*t*ko kweli, go to hell wala usirudi kwa jukwaa!! F*ck you!!!!
 
Waweza kuwapaka hao jamaa but iko siku utajuwa ni kwanininsi ki kila mtu awezi kuwa dr au kuendesha gari!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…