Ebo hivi unataka nisemeje ili uamini nimekutajia mpaka jina na sehemu anayoishi kazi gani alikuwa akifanya na kwa taarifa zaidi alikuwa na wake wawili.Ikiwa huna nafasi leo, kesho au siku nyingine pitia hapo Sekei uliza habari zake utaambiwa si vibaya ukiwa Tomaso.
Jamani mnaemlaumu Kubenea, nyie mlifanya uchunguzi na kugundua babu anahudumia watu wangapi kwa siku?
Badala ya kukanusha tu idadi ya watu aliyoitoa Kubenea basi na nyie semeni idadi halisi ambayo babu anahudumia kwa siku.
Wanaokwenda huko wanasema idadi ya watu ni kubwa mno na kwenye picha tunajionea misululu ya watu wanaosubiri kuhudumiwa.
Kabonde mbona umekua mkali hivyo ndugu yangu? unajua hii story inafurahisha sana ingekuwa nawahi kutoka kazii mbona ningekuja kushuhudia mie.
Mkuu unajua mitanzania imezoea kudanganywa kila siku,mkiambiwa mtajengewa viwanja vya ndege mnakubali,mtanunuliwa meli mnacheka,mtajengewa barabara za juu kwa juu ndio mnakenua meno hamtaki kuuliza viwanja vya ndege vya nini wakati ndege hatuna,watakauliza mnawabatiza majina ya hovyo mara mdini na takataka kibao.
Sina sababu za kumchuria binadamu mwenzangu especially marehemu ninachoeleza hapa ni hali halisi ya mambo yaliyotokea bila kutia chumvi.
Hivi haya maneno mnayoyasema ni kweli au mnatania?????? Ebu tupe ukweli wa haya mambo mi yamenitisha.
Ok nimekuelewa mkuu, naona wewe uliamua kutoa live na jina la marehemu tofauti na Ngongo ye aliamua kuficha.
Mkuu unajua mitanzania imezoea kudanganywa kila siku,mkiambiwa mtajengewa viwanja vya ndege mnakubali,mtanunuliwa meli mnacheka,mtajengewa barabara za juu kwa juu ndio mnakenua meno hamtaki kuuliza viwanja vya ndege vya nini wakati ndege hatuna,watakauliza mnawabatiza majina ya hovyo mara mdini na takataka kibao.
Sina sababu za kumchuria binadamu mwenzangu especially marehemu ninachoeleza hapa ni hali halisi ya mambo yaliyotokea bila kutia chumvi.
Kwa nyomi lile unafikiri watamtakia mema babu????????? yule mzee balaaa...halafu hata hawajibu..:bump2:
kuna babu anascan virusi vya ukimwi na anatibu magonjwa sugu. Ametoshwa na mungu.
Bora nife nikiwa nimesimama kuliko kufa napigania kikombe cha babu
Jibuni kwa hoja na evidence please kwamba babu yuko sahihi kama jinsi vigezo vya kibiblia vilivyo tolewa kwamba hayuko sahihi
waache wafe, kwani wasipokunywa ndo watapona?kaka watu wamekata tamaa ndio maana unaona hivyo chochote kile chenye matumaini kwao ni kimbilio