Mambo ya kwa Babu LOLIONDO

Hivi unadhibitasheje Ushirikina?

Na

Nikitaka kujua kuwa Mtikila sio mshirikina ... ninafanyaje?
 
Mimi namwona mchungaji mtikila kama kichaa mwenye confidence na maneno yake,mtanisamehe kwa mtazamo wangu.
 
WanaJF niko safarini kwenda loliondo kwa babu. Kwa mshituko mkubwa napokea dondoo za gazeti la nipashe la kesho kupitia itv ya kuwa babu amesitisha huduma kwa muda. Kwa wenye undani wa hii maneno mnisaidie maana presha inapanda na inashukaaaa.
 

Amekosa dili mjini anamuonea babu wivu yaani alitaka yeye ndo aoteshwe! Kwanza ana waumini wangapi na ni kanisa gani analolisalisha au ndo na yeye mstaafu teh teh teh! Wamwache babu apige kazi aliyo agizwa watu wapone:lol:
 

Jana kuna mtu katoka huko ..foleni ndefu

...tiba inaendelea...imesitishwa lini?
 
tiba inaendelea kama kawa na itaendelea daima
 
tumeshamzoea uyo kwa kuropoka kwake kila jambo analidakia yeye
 

Watu bwana!! Ingekuwa mnafuata Bibilia katika kila jambo mnalotenda, Dunia ingekuwa nzuri sana. Tatizo lenu mnachagua wapi mfuate maandiko na wapi msifuate.
 

Haya ndio matatizo ya kusoma Bibilia kama Kasuku!!
 
mnh Kumbe ni Mtikila yule bwana hana maaana kakosa muelekeo hvo mchukulie ka alivo
 
we bwana unasoma habari za NIPASHE?gazeti lenyewe lunaitwa nipashe hvo ni umbea mtupu
 
Ushindwe katika jina la Yesu. Usirudie tena kumwita mtumishi yeyote wa Mungu kwa ni kichaa. Usije pata laana. Tubu kwa matamshi yako. Kama hukubaliani naye sema hivyo tu sio kuhukumu. Nakuombea Mungu wa Yesu akusamehe.

Kama kweli kapewa na Mungu aliye hai kwa nini iwe lazima watu waende Loliondo? Kwa nini asitoke kuponya watu? Wasio na nauli za kufika huko Mungu hawataki wapone? Huyo Mungu anataka matajiri ndio wapone na maskini wafe. Hebu tujiulize.




Mimi namwona mchungaji mtikila kama kichaa mwenye confidence na maneno yake,mtanisamehe kwa mtazamo wangu.
 
MTIKILA NI KATI YA WATU MAKINI NILIOWAHI KUWATAMBUA....take his words

By JULIUS BWAHAMA- Daily newspaper, 20th March 2011

He said the government should concentrate on the improvement of health services instead of helping the herbalist.

''Government officials are flocking Loliondo to get the medicine because they have chronic diseases. There have been suggestions to improve the road leading to that place while our hospitals are in deplorable conditions. Instead of supplying medicines to hospitals officials are rushing to Loliondo,'' said Mtikila.

"The influx of government officials in Loliondo is a clear testimony that we are being governed by people who are chronically sick,'' said the DP chairman.
 
Hivi wakuu Serikali imetoa tamko lolote kuhusu dawa ya Babu?
Manake hata kama Serikali haijishughulishi na mambo ya Imani, hii ishu ya Babu imeshakuwa ya kitaifa sasa.
Ni vyema Serikali ikaingilia kati na kufuatilia kujiridhisha kuwa dawa inaponya kweli au la,, wanaoipinga dawa ya Babu wasipuuzwe mpaka pale Serikali itakapotoa Tamko kuwa dawa ni dawa kweli..
 
Sina uhakika na mjadala huu binafsi nilisikia na kuangalia tbc nikaona anakili kuwa kuna watu wanapona
 
Hata mimi nimeisikia hizo habari lakini siziamini. Babu yupo na ataendelea kuwepo.
 
tehetehe usihofu kamanda wewe nenda kapate kikombe cha UZIMA
 
Mi alinichekesha kipindi kile alivyoumbuliwa na Rostam, Alidakia mada hivi hivi akajifanya kumponda Rostam Aziz kumbe alishawahi kwenda kumuomba hela, Rostam alivyo mshenzi akamsainisha Petty cash voucher, siku ya siku mzee mzima akaitoa Petty cash voucher hadharani, wacha mtikila aanze kujikanyaga mara ooh..alinikopesha nijenge kanisa..ooh..alifoji saini yangu..maneno kibaooo. Toka kipindi hicho mm namuona ni kichaa tu a.k.a Staff Mental.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…