Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa ni fwaaalaaa 🤣🤣🤣Sie wenye wake na watoto tupo kusikiliza mikelele ya Cocomelon kwa siku 3 mfululizo.
Toka saa kumi nasikia za wheel on the bus goes round and round mpaka najikuta na mimi naiimba baada ya kunikera. Na huu ndio mwendo wa siku 3 zijazo.
Njoo hapa Juliana Mbezi Beach pisi kama zote nyingine ndo zinaingiaAisee hapa nawaza kiwanja kikali cha kwenda, mama deshi hayupo sasa pisi nitapata mbele ya safari
Mtoto yule mkubwa au mdogoNipo nimejilaza na kitandani na mtoto wangu namtazama simmalizi....namwombea mema huku nikisikiliza wimbo wa Harmonize...nitaubeba🎶🎶🎶🎵🎵
Mama naomba niwe mwanao wa kufikia na mmNipo nimejilaza na kitandani na mtoto wangu namtazama simmalizi....namwombea mema huku nikisikiliza wimbo wa Harmonize...nitaubeba[emoji445][emoji445][emoji445][emoji444][emoji444]
Ngoja nikuje nikupe massageMimi nimerudi kazini nusu saa iliyopita, mwili unauma uchovu hapa nikulala tu
Me mwenyewe naangalia game ya man hapa geto.Ikiisha nalalaSio poa hii wik end. Nipo mwenyewe home nasubiri game ya Man u nitizame ikiisha naibuka kiwanja kimoja kuna karaoke kuna happen sana sijui nitarudi sangap home.
😳🤣🤣🤣🤭KaribuMama naomba niwe mwanao wa kufikia na mm
MdogoMtoto yule mkubwa au mdogo