Mambo ya Mapenzi ambayo nimejifunza late katika maisha ambayo kijana wa sasa unatakiwa ujifunze mapema

Mambo ya Mapenzi ambayo nimejifunza late katika maisha ambayo kijana wa sasa unatakiwa ujifunze mapema

Kwenye kumridhisha mwanamke kitandani nani ana S.I. UNIT!
 
Kijana yeyote yule Never date a single mother 😣,, hii ni muhimu sana.
 
Kijana yeyote yule Never date a single mother 😣,, hii ni muhimu sana.
Kwa ishu hii huwa na mlengo tofauti au mtazamo tofauti

Ni kweli asimilia kubwa ya masingle mother huwa wanazingua lkn haimaanishi wote wako hivyo

Kuna ambao wanajielewa kwakuwa wamepata second chance hivyo huwa makini na bora zaidi

Kwa mtazamo wangu kuwapa lawama wote kuwa hawajielewi naona tunawaonea
 
View attachment 3173020

Moja,mtongoze mwanamke lakini usimuonyeshe bila yeye huwezi pata mwanamke mwingine,kadri utakavyo zidi kumfuatilia sana basi tambua ndio jinsi atakavyo kaa mbali na wewe na kukusumbua sana

Mbili,hata umpe mwanamke wako hela nyingi kiasi gani,au uisugue mbususu kiasi gani au usimamie kucha kiasi gani haita mzuia yeye kukuacha,akiamua kukuacha atakuacha tu

Tatu,mjali mpenzi wako au mke wako lakini usijisahau nawe kujiwekea kipaumbele,jithamini nawe pia,usikose vitu vizur au mambo mazuri kwasababu ya kujinyima ili mwanamke wako afurahi

Nne,jitahidi kumridhisha mwanamke kitandani kwa kadri ya uwezo wako,lakini usiharibu afya yako ya uzazi kwa kutumia sijui mkongo na aina nyingine za viagra,mwisho wa siku ukawa mtegemezi wa mambo hayo

Tano,mhudumie mwanamke kwa mapenzi yako na kwa utashi wako,lakini kamwe usidhani kwa kufanya hivyo ndio sababu ya kutoachwa,jua tu kwamba hizo ni huduma tu na si agano au kinga ya kutoachwa,ili ukiachwa usipate msongo wa mawazo kuwa umemgharamia sana

Sita,mpende mwanamke unavyo mpenda lakini usipoteze uanaume wako,kuwa na msimamo,ukisema mbele tembea na iwe hivyo,na ukisema nyuma geuka na iwe hivyo,wanawake wanapenda kuongozwa na sio kuwa na mwanaume ambaye hajui nafasi yake

Saba,kumfuatilia sana mwanamke na kumchunguza ni dalili kwamba una udhaifu mkubwa juu yake au dhaifu kiasi kwamba hujiamini kama anaweza kuwa wako peke yako,hivyo unataka kumlinda kitu ambacho hauta kiweza kamwe

Nane,kuwa na mwanamke au mkeo lakini usimfanye yeye ndio kila kitu chako,kwa maana furaha yako isitegemee uwepo wake maishani mwako,ili siku akiondoka uweze kuendelea na maisha kama kawaida,katika ulimwengu wa mapenzi moyo umeficha mengi

Tisa,kama ambavyo maisha ni kupanda na kushuka,basi hata mapenzi nayo yapo hivyo,leo utalia na kesho utafurahi,mzungumko uko hivyo,kwahiyo wakati wa kufurahi furahi na wakati wa kulia we lia,maisha ndio yalivyo

Kumi,hakuna mjanja katika mapenzi,kwakuwa hujapata misukosuko sasa basi usiwaone wengine ni wajinga,trust me siku yako inakuja na utaelewa hiki ninachosema

Mwisho,Mapenzi hayana mwenyewe ndio maana kila mtu anaumizwa kwa namna moja au nyingine,iwe tajir au maskini wote wamewahi kuumizwa na wanaendelea kuumizwa

Natamani mwanangu wa kiume wa kwanza ayajuaye haya mapema,au Mungu anipe umri mrefu ili ifikie kipindi tuyazungumze haya man to man

Ni hayo tu!
Uzi mzuri,tuishi nao kwa akili,napigilia nyundo hapo kwenye namba 5 📌 ...
 
Kwa ishu hii huwa na mlengo tofauti au mtazamo tofauti

Ni kweli asimilia kubwa ya masingle mother huwa wanazingua lkn haimaanishi wote wako hivyo

Kuna ambao wanajielewa kwakuwa wamepata second chance hivyo huwa makini na bora zaidi

Kwa mtazamo wangu kuwapa lawama wote kuwa hawajielewi naona tunawaonea
Hao wanaoji elewa ni kama 5%, na kuwapata labda mapenzi ya Mwenyezi Mungu yaamue kutimia kwako 😎

Most of them hawajielewi hata kidogo.
 
Mkuu mbona haujasema vijana wajiepushe na single mama
Kwa maoni yangu hawa wanawake ni kweli wengi wao wapo na mambo ambayo sio mazuri,huwa wanakawaida ya kuwarudia wazazi wenzao,lkn sio wote ambao wako hivyo ni wachache sana ambao wamesalimika na tabia hiyo

Sasa hapa inahitajika akili kubwa sana kuweza kumgundua yule ambaye yupo tofauti na wengine,na inahitajika ukomavu wa kutosha kuweza kudili nao,kwa mvulana sishauri kudili na single mother,inahitaji mwanaume mkomavu na mwenye busara na hekima kumfanya single mother akae sawa
 
View attachment 3173020

Moja,mtongoze mwanamke lakini usimuonyeshe bila yeye huwezi pata mwanamke mwingine,kadri utakavyo zidi kumfuatilia sana basi tambua ndio jinsi atakavyo kaa mbali na wewe na kukusumbua sana

Mbili,hata umpe mwanamke wako hela nyingi kiasi gani,au uisugue mbususu kiasi gani au usimamie kucha kiasi gani haita mzuia yeye kukuacha,akiamua kukuacha atakuacha tu

Tatu,mjali mpenzi wako au mke wako lakini usijisahau nawe kujiwekea kipaumbele,jithamini nawe pia,usikose vitu vizur au mambo mazuri kwasababu ya kujinyima ili mwanamke wako afurahi

Nne,jitahidi kumridhisha mwanamke kitandani kwa kadri ya uwezo wako,lakini usiharibu afya yako ya uzazi kwa kutumia sijui mkongo na aina nyingine za viagra,mwisho wa siku ukawa mtegemezi wa mambo hayo

Tano,mhudumie mwanamke kwa mapenzi yako na kwa utashi wako,lakini kamwe usidhani kwa kufanya hivyo ndio sababu ya kutoachwa,jua tu kwamba hizo ni huduma tu na si agano au kinga ya kutoachwa,ili ukiachwa usipate msongo wa mawazo kuwa umemgharamia sana

Sita,mpende mwanamke unavyo mpenda lakini usipoteze uanaume wako,kuwa na msimamo,ukisema mbele tembea na iwe hivyo,na ukisema nyuma geuka na iwe hivyo,wanawake wanapenda kuongozwa na sio kuwa na mwanaume ambaye hajui nafasi yake

Saba,kumfuatilia sana mwanamke na kumchunguza ni dalili kwamba una udhaifu mkubwa juu yake au dhaifu kiasi kwamba hujiamini kama anaweza kuwa wako peke yako,hivyo unataka kumlinda kitu ambacho hauta kiweza kamwe

Nane,kuwa na mwanamke au mkeo lakini usimfanye yeye ndio kila kitu chako,kwa maana furaha yako isitegemee uwepo wake maishani mwako,ili siku akiondoka uweze kuendelea na maisha kama kawaida,katika ulimwengu wa mapenzi moyo umeficha mengi

Tisa,kama ambavyo maisha ni kupanda na kushuka,basi hata mapenzi nayo yapo hivyo,leo utalia na kesho utafurahi,mzungumko uko hivyo,kwahiyo wakati wa kufurahi furahi na wakati wa kulia we lia,maisha ndio yalivyo

Kumi,hakuna mjanja katika mapenzi,kwakuwa hujapata misukosuko sasa basi usiwaone wengine ni wajinga,trust me siku yako inakuja na utaelewa hiki ninachosema

Mwisho,Mapenzi hayana mwenyewe ndio maana kila mtu anaumizwa kwa namna moja au nyingine,iwe tajir au maskini wote wamewahi kuumizwa na wanaendelea kuumizwa

Natamani mwanangu wa kiume wa kwanza ayajuaye haya mapema,au Mungu anipe umri mrefu ili ifikie kipindi tuyazungumze haya man to man

Ni hayo tu!
✔️✔️✔️
 
View attachment 3173020

Moja,mtongoze mwanamke lakini usimuonyeshe bila yeye huwezi pata mwanamke mwingine,kadri utakavyo zidi kumfuatilia sana basi tambua ndio jinsi atakavyo kaa mbali na wewe na kukusumbua sana

Mbili,hata umpe mwanamke wako hela nyingi kiasi gani,au uisugue mbususu kiasi gani au usimamie kucha kiasi gani haita mzuia yeye kukuacha,akiamua kukuacha atakuacha tu

Tatu,mjali mpenzi wako au mke wako lakini usijisahau nawe kujiwekea kipaumbele,jithamini nawe pia,usikose vitu vizur au mambo mazuri kwasababu ya kujinyima ili mwanamke wako afurahi

Nne,jitahidi kumridhisha mwanamke kitandani kwa kadri ya uwezo wako,lakini usiharibu afya yako ya uzazi kwa kutumia sijui mkongo na aina nyingine za viagra,mwisho wa siku ukawa mtegemezi wa mambo hayo

Tano,mhudumie mwanamke kwa mapenzi yako na kwa utashi wako,lakini kamwe usidhani kwa kufanya hivyo ndio sababu ya kutoachwa,jua tu kwamba hizo ni huduma tu na si agano au kinga ya kutoachwa,ili ukiachwa usipate msongo wa mawazo kuwa umemgharamia sana

Sita,mpende mwanamke unavyo mpenda lakini usipoteze uanaume wako,kuwa na msimamo,ukisema mbele tembea na iwe hivyo,na ukisema nyuma geuka na iwe hivyo,wanawake wanapenda kuongozwa na sio kuwa na mwanaume ambaye hajui nafasi yake

Saba,kumfuatilia sana mwanamke na kumchunguza ni dalili kwamba una udhaifu mkubwa juu yake au dhaifu kiasi kwamba hujiamini kama anaweza kuwa wako peke yako,hivyo unataka kumlinda kitu ambacho hauta kiweza kamwe

Nane,kuwa na mwanamke au mkeo lakini usimfanye yeye ndio kila kitu chako,kwa maana furaha yako isitegemee uwepo wake maishani mwako,ili siku akiondoka uweze kuendelea na maisha kama kawaida,katika ulimwengu wa mapenzi moyo umeficha mengi

Tisa,kama ambavyo maisha ni kupanda na kushuka,basi hata mapenzi nayo yapo hivyo,leo utalia na kesho utafurahi,mzungumko uko hivyo,kwahiyo wakati wa kufurahi furahi na wakati wa kulia we lia,maisha ndio yalivyo

Kumi,hakuna mjanja katika mapenzi,kwakuwa hujapata misukosuko sasa basi usiwaone wengine ni wajinga,trust me siku yako inakuja na utaelewa hiki ninachosema

Mwisho,Mapenzi hayana mwenyewe ndio maana kila mtu anaumizwa kwa namna moja au nyingine,iwe tajir au maskini wote wamewahi kuumizwa na wanaendelea kuumizwa

Natamani mwanangu wa kiume wa kwanza ayajuaye haya mapema,au Mungu anipe umri mrefu ili ifikie kipindi tuyazungumze haya man to man

Ni hayo tu!
Yote hayo ni kwakuwa binadamu ni kiumbe mbinafsi sana
 
Hao wanaoji elewa ni kama 5%, na kuwapata labda mapenzi ya Mwenyezi Mungu yaamue kutimia kwako 😎

Most of them hawajielewi hata kidogo.
Nilioa single maza kienyeji nikakaa nae miaka kumi alikuwa ni mzuri pia alinifaa sana kwa miaka yote hiyo mpaka tulipoachana kanizalia watoto wawili imetosha..
So now naweza kwenda popote pale kupambana na maisha yangu nikiwa najua watoto wangu wapo mahala fulani..
Nimepata single maza mwingine nae ana mimba yangu so soon nakuwa na mtoto wa tatu.. nae akijisikia kwenda ni sawa tu
Nitatafuta single maza wa tatu tena..
Ni mwendo wa kuishi nao kienyeji tu maana walishaharibu tangu zamani inabidi wakubali kuishi kijanta na Janta la Bushi..
 
oooza anacheka tu hakuna namna bro yaani niione pisikali kabisa hii hapa na inaweza kunipa mbegu za watoto wazuri niiache kisa eti imezaa?? Haiwezekani
Kwanza huo usingle maza wake kwangu ndio fimbo ya kumnyongea na mimi nina watoto so sina hofu ya kunangwa na kusimangiwa nae kuhusu wanangu
Pili wa kwao hata wapige kelele vipi kuhusu binti yao nakuwa sisikilizi maana najua wanaelewa kanuni ya mchezo na hawana upper hand.
Maana wanajua wazi mtoto wao ana dosari so nafanya kumpa stara tu ili asije akararuka sehemu za siri kwa wahuni wa mtaani..
 
Back
Top Bottom