Mambo ya mazoea ambayo yakageuka kuwa kama sheria

Mambo ya mazoea ambayo yakageuka kuwa kama sheria

Hukumbuki zile meza za matairi.. watoto mkizidi utundu inanunuliwa, muda ukiisha na tv inaingizwa chumbani kwao [emoji23]
Kabati linachongeshwa lenye milango na vitasa. Vitasa nikaongea na fundi akasema vina funguo mbili mbili tu. Kumbe kila fungua ya tatu kanigea kwa masharti kwamba nisitoe siri wa wanayofanyaga na housegirl mchana wazee wakiwa job

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabati linachongeshwa lenye milango na vitasa. Vitasa nikaongea na fundi akasema vina funguo mbili mbili tu. Kumbe kila fungua ya tatu kanigea kwa masharti kwamba nisitoe siri wa wanayofanyaga na housegirl mchana wazee wakiwa job

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulianza umafia wa deals zamani ..hongera 😂
 
Noma
1.Mwanamke akitongozwa na mwanamume lazima kodi ya nyumba inaisha papo hapo

2.Mwanamke akitongozwa na mwamume anahisi njaa muda huo huo

3.Mwanamke akitongozwa na mwanamume simu yake inaishiwa voucher muda huo huo

4.Mwanamke akitolewa out na mwanamume lazima ale chips kuku

5.Mwanamume na Mwanamke wakimaliza kut*mban* lazima Mwanamke aombe nauli,utafikiri kuna kazi ya maana aliifanya

6.Mwanamume kumuogopa mama mkwe kuliko kitu chochote

NB:nimeandika mambo hayo hapo juu kwa hisani ya Zero Iq!

Sent using Jamii Forums mobile app
Noma sana
 
Kunywa bia au soda huku ukiangalia kiasi ilichopungua
Kuangalia karatasi ngapi zimebaki ktk documents ndefu.
 
Tunaongezea kidogo..
Nguo ikichakaa inageuzwa dekio.
Chupa ya chai ikivunjika inakuwa chupa ya chumvi.
 
Back
Top Bottom