Puppy
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 2,995
- 2,513
Kabati linachongeshwa lenye milango na vitasa. Vitasa nikaongea na fundi akasema vina funguo mbili mbili tu. Kumbe kila fungua ya tatu kanigea kwa masharti kwamba nisitoe siri wa wanayofanyaga na housegirl mchana wazee wakiwa jobHukumbuki zile meza za matairi.. watoto mkizidi utundu inanunuliwa, muda ukiisha na tv inaingizwa chumbani kwao [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app