Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,949
Hahha nitaacha tu kulaSema ww tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahha nitaacha tu kulaSema ww tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Labda ukose meno ndio uache [emoji23][emoji23]
Hahaha nilikuwa vegetarian ujue naweza kurudi kwenye asili yangu ya mboga mboga .Labda ukose meno ndio uache [emoji23][emoji23]
Embu nioneshe hayo maajabu [emoji23]Hahaha nilikuwa vegetarian ujue naweza kurudi kwenye asili yangu ya mboga mboga .
Sent using Jamii Forums mobile app
Embu acha huu ujinga we mzee nyama mpaka mwisho ndio nini sasa 😂😂😂 anatokea mroho mmoja anachukua unabaki unalia tu.
😂😂😂 Ila hawa mama n'tilie wanachotufanyia sio poa kabisa nyama mbili alafu saiz ya mishikaki.
Sasa kama chai imepoa mkuuKuna huu ujnga wateja wa chai kwenye migahawa wapashiwe,usipo fanya hivyo ni km hujamhudumia kabisa
Hata km n ya moto huwa km lazima, chakuchekesha hata km n ya bard ile kuongeza tu kdg inampa farajaSasa kama chai imepoa mkuu
Hahaa mazoea mabayaHata km n ya moto huwa km lazima, chakuchekesha hata km n ya bard ile kuongeza tu kdg inampa faraja
Dah we mzee unitakii mema kabisa ww 😂😂😂Hapo utembee na muhudumu wa mama ntilie upate favour au uoe yule mtoto kaka 😂
Kuhusu umeme kukatika umenisema mimi kabisaaaaUmeme ukikatika mnaukimbilia dirishani kuangalia majiran mbona unawaka
Vyombo vya udongo vya wageni wakat hamjui wanakuja lin
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama umeweka Units 45 dakika mbili zilizoisha lazima ushtukeUnaanza waza mara ya mwisho luku iliwekwa lini....
Hahahaaaaa
Kumbe karibia kote hii tabia ipo nilidhani ni yangu tuMtaenda angalia luku au wale waliowapasi nguo nyingi au labda kuchemsha maji kwa heater wanaanza kuangaliana...
Hahahaaaa
Na usipopiga siku mkionana wanaanza "Aisee mbona haupigagi simu?", utasema wao hawana simu.Kuwapigia watu simu hata kama hauna cha kuwaambia ili uonekane unawajali sana
Baba mdogo wangu namsalimiaga Shikamoo pale tu atakapokuwepo na mkewe au watoto wake au ndugu wakubwa. Tofauti na hapo ni "Niaje?" Imeshakuwa kama utaratibu na ni dingi kinyamaBasi dadako ndio alitaka kucomplicate Mambo
Halafu kwa wanaume hizi shkamoo shkamoo naona sio nyingi,mnasalimiana kisela tu
Sent using Jamii Forums mobile app