Kabati linachongeshwa lenye milango na vitasa. Vitasa nikaongea na fundi akasema vina funguo mbili mbili tu. Kumbe kila fungua ya tatu kanigea kwa masharti kwamba nisitoe siri wa wanayofanyaga na housegirl mchana wazee wakiwa jobHukumbuki zile meza za matairi.. watoto mkizidi utundu inanunuliwa, muda ukiisha na tv inaingizwa chumbani kwao [emoji23]
JVCUmesahau deki za majeneza [emoji23][emoji23].. au hukuwahi tumia zile rewind
Unapress zile buttons mbili unarekodi nyimbo ya 2Proud kwenye kaseti ya maza ya kwayaNimetumia yaani [emoji23][emoji23]
nimekimbuka zile cassette za redio
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulianza umafia wa deals zamani ..hongera πKabati linachongeshwa lenye milango na vitasa. Vitasa nikaongea na fundi akasema vina funguo mbili mbili tu. Kumbe kila fungua ya tatu kanigea kwa masharti kwamba nisitoe siri wa wanayofanyaga na housegirl mchana wazee wakiwa job
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah we mzee unitakii mema kabisa ww πππ
Noma sana1.Mwanamke akitongozwa na mwanamume lazima kodi ya nyumba inaisha papo hapo
2.Mwanamke akitongozwa na mwamume anahisi njaa muda huo huo
3.Mwanamke akitongozwa na mwanamume simu yake inaishiwa voucher muda huo huo
4.Mwanamke akitolewa out na mwanamume lazima ale chips kuku
5.Mwanamume na Mwanamke wakimaliza kut*mban* lazima Mwanamke aombe nauli,utafikiri kuna kazi ya maana aliifanya
6.Mwanamume kumuogopa mama mkwe kuliko kitu chochote
NB:nimeandika mambo hayo hapo juu kwa hisani ya Zero Iq!
Sent using Jamii Forums mobile app
π€£π€£......Duh hii nimetoka kuifanya muda mchache uliopitaHalafu ukikuta na kwa jirani umekatika unaachia tabasamu pana na unajisemea 'umekatika kote'.
πππππ
π π π π π ππ€£π€£......Duh hii nimetoka kuifanya muda mchache uliopita
Duuhπππ
Smart911 Sikuhizi Kuna watu wasiponitag au kuniquote sijisikii kabisa yani naona kama something is missing! Imeshakua kama sheria hivi [emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaone kwanza... stop being sarcastic...
π
Msiba uji, ngoma togwa, hitima mchele kwa sie wazaramo