spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
π π π π π1.Mwanamke akitongozwa na mwanamume lazima kodi ya nyumba inaisha papo hapo
2.Mwanamke akitongozwa na mwamume anahisi njaa muda huo huo
3.Mwanamke akitongozwa na mwanamume simu yake inaishiwa voucher muda huo huo
4.Mwanamke akitolewa out na mwanamume lazima ale chips kuku
5.Mwanamume na Mwanamke wakimaliza kut*mban* lazima Mwanamke aombe nauli,utafikiri kuna kazi ya maana aliifanya
6.Mwanamume kumuogopa mama mkwe kuliko kitu chochote
NB:nimeandika mambo hayo hapo juu kwa hisani ya Zero Iq!
Sent using Jamii Forums mobile app
π π π π πKutoa earphone ili kupima unachoangalia wanakisikia au la
Hii muhimu sanaππKutoa earphone ili kupima unachoangalia wanakisikia au la
Halafu ukikuta na kwa jirani umekatika unaachia tabasamu pana na unajisemea 'umekatika kote'.Umeme ukikatika mnaukimbilia dirishani kuangalia majiran mbona unawaka
Vyombo vya udongo vya wageni wakat hamjui wanakuja lin
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ukute kwa jirani upo, huo mshtuko wake wa moyo unaoupata. Unaanza kuwaza kama kwako kuna shotHalafu ukikuta na kwa jirani umekatika unaachia tabasamu pana na unajisemea 'umekatika kote'.
πππππ
Ivi hii usaidia nini?Kwani nikikojoa lazima niteme mate nilipokojolea.?
π π π π πSasa ukute kwa jirani upo, huo mshtuko wake wa moyo unaoupata. Unaanza kuwaza kama kwako kuna shot
mie huyoKuna kale katabia nyama inaliwa mwisho kabisa.
Dah.. hii ya umeme kweli kabisa.Umeme ukikatika mnaukimbilia dirishani kuangalia majiran mbona unawaka
Vyombo vya udongo vya wageni wakat hamjui wanakuja lin
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππ mm huu utaratibu ulishakufa naanza na nyama saiz.mie huyo
Mkuu ulishawahi kufanya kazi ambayo pesa yake ulishakula tayari? Yaani unahisi kama unafanya kazi bure.ππππ mm huu utaratibu ulishakufa naanza na nyama saiz.
πππHii muhimu sanaππ
Hahaha ni muhimu mkuuπ π π π π
Hii naifanya sana aiseee.....
Sio tu watanzania bali watanzania wa hali hiyoπ π π π π
Kweli watnzania tunafahmiana vyema
Yaani mimi nikila wali mchana au ugali usiku naona kama tumbo haliko sawa kabisa.
Unaanza waza mara ya mwisho luku iliwekwa lini....Sasa ukute kwa jirani upo, huo mshtuko wake wa moyo unaoupata. Unaanza kuwaza kama kwako kuna shot
πππ hapo familia nzima mnaanza kujadilianaUnaanza waza mara ya mwisho luku iliwekwa lini....
Hahahaaaaa