Afrika Furaha
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 329
- 10
Wengine wamebakwa,wengine wamebambikiwa kesi...............
Kuna jamaa kalewa sana wamem-do
wengine wamekuwa wababa na wamama bila kutarajia...
Mi mamsapu wangu kalala rumande kesi leo dah
wengine wamekuwa wababa na wamama bila kutarajia...
pauline jina lako tamu sana. Sio kuwa sijawahi kulisikia, ila hilo jina linanikuna sana hata nikilitamka. Natamani nioe mwanamke wa jina hilo
jabal l akhdhar???
nilijua lazima nilham rashed ajibu . . . . Lakin nimesema ukweli, kuliko kuficha
nijibu nini sasa?? Au nimefanya kosa kuchangia na mie??? Basi i'm so sorry... Mi spendi kuudhi mtu..
:A S 109:Noooo! Nooooo! Nooooo! Plse NILHAM RASHED, nakuomba usinisuse my dia. Nipo chini ya miguu yako (ila sikuchungulii). Sijamaanisha unaniudhi, nilimaanisha utani tu, pengine lugha yangu hujaielewa. Ungesikia sauti ungejua nakutania. AM SORRY KWA KUKUFANYA UJISIKIE KUKWAZIKA. AM REAL SORRY. I LOVE YOU
jAbAl-
Mi mamsapu wangu kalala rumande kesi leo dah
HHAAAAAAAA WEWE???? HEE HEE KAZI IPO TAYARI KUSHAKUCHA,,, :A S 109: 😛ray2:
:A S 109: