Duh.!
Tunako amini mambo ya ushoga na usagaji ndiko yameshamiri hatiwazidi kwa utajiri na kufaidi matunda ya nchi yao.
Huku kwetu tunako kemea kwa nguvu mambo haya. Wanachi wake wanaongoza kwa kutokua na furaha, umaskini na kutofaidi matunda ya nchi yao.
Si saport ushoga na usagaji ila ushoga na usagaji sio chanzo Cha umaskini wa nchi yetu.