Mambo ya Walawi 18:22: Usilale na mwanaume mfano wa kulala na mwanamke; ni machukizo

Acha wajifurahishe katika dhambi lakini wajue wanajiwekea hasira ya Mungu kwa siku ya hukumu kama wasipotubu!! Habari hii ni amini na kweli!! Kila kunapokucha sikun ya kiyama inakaribia!
 
Tusiwaige wazungu, wazungu wamejichokea na kujikatia tamaa!! Uovu umewashinda maana wametanguliza akili zao badala ya kumtanguliza Mungu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…