Wewe unatarajia kuoa hivi karibuni!upo ktk kikao chako cha harusi,mmepanga bajeti ni 12m!Bwana harusi umeanza ahadi yako kwamba utatoa 3.5m!wanakamati wawili watatu nao wakatoa ahadi zao!Sasa unajua tena haya mambo ya marafiki kuleta watu pengine wasio rafiki zako ktk kikao wachangie kumbe mmoja wa marafiki zako kamleta X-boyfriend wa mchumba wako mtarajiwa.
Ikafika zamu ya x wa mtarajiwa wako huku nawe ukiwa unajua jamaa alikuwa anakula mzigo wako,jamaa kwa mbwembwe akauliza so far ahadi ya bw harusi na wanakamati wengine ni sh ngapi?ikaonekana jumla ni 5m!jamaa papo hapo akaahidi kutoa pesa yote iliyobakia yaani 7m yaani mara 2 ya pesa uliyoahidi wewe bwana harusi!kama hataki vile jamaa akatoa cheque book ya kampuni yake ambayo mchumba wako alikuwa akifanya kazi enzi ya mahusiano yake na jamaa hapo awali!Jamaa akaanguka saini akakukabidhi cheque ya 7m!
JE UTAIPOKEA?UTAMWAMBIA MCHUMBA WAKO KUWA X WAKE KATOA KIASI HICHO CHA PESA?AU UTAMTOA NDUKI JAMAA?
pressure ya nini mzee wakati jamaa labda ndiye aliyekufungulia makaratasi ya nailoni!
Mimi naipokea hiyo cheque na kuichana mbele yake! Pia natangaza hiki kikao ni kwa close friends tu!
Kwanza mimi hiyo biashara ya michango ya harusi siifagilii kabisa; nafanya small sherehe kulingana na uwezo wangu!
Dharau hizooo....zimeanza mapemaaa,,,wala hatoki hapo salama na kikao kitaishia hapo kwa hiyo siku,kama anania nzuri tu hata kama ana hela si atoe hata mil.1 BUT si kutoa mara2 ya jamaa utazani kaambiwa budget imegoma.....haki ya Mungu nakupoteza duniani angeenda kumtolea kwenye kikao cha sendoff huko si kwenye harusi p...limbs...!!$
Hapo ndiyo utajua faida za bikira.
just accept it coz u better let the past in past
mjombo!kwani past haiwezi fufuliwa?huoni hapo inafufuliwa kupitia wewe mwenyewe?yatatokea mambo mengi huko mbele utajuta kwanini ulikubali mchango wake!
husninyo!kirahisi hivyo?hivi kupita ni nini?hauoni jamaa kwa kufanya hivyo anaunganisha the past with the present to the future?
Wewe unatarajia kuoa hivi karibuni!upo ktk kikao chako cha harusi,mmepanga bajeti ni 12m!Bwana harusi umeanza ahadi yako kwamba utatoa 3.5m!wanakamati wawili watatu nao wakatoa ahadi zao!Sasa unajua tena haya mambo ya marafiki kuleta watu pengine wasio rafiki zako ktk kikao wachangie kumbe mmoja wa marafiki zako kamleta X-boyfriend wa mchumba wako mtarajiwa.
Ikafika zamu ya x wa mtarajiwa wako huku nawe ukiwa unajua jamaa alikuwa anakula mzigo wako,jamaa kwa mbwembwe akauliza so far ahadi ya bw harusi na wanakamati wengine ni sh ngapi?ikaonekana jumla ni 5m!jamaa papo hapo akaahidi kutoa pesa yote iliyobakia yaani 7m yaani mara 2 ya pesa uliyoahidi wewe bwana harusi!kama hataki vile jamaa akatoa cheque book ya kampuni yake ambayo mchumba wako alikuwa akifanya kazi enzi ya mahusiano yake na jamaa hapo awali!Jamaa akaanguka saini akakukabidhi cheque ya 7m!
JE UTAIPOKEA?UTAMWAMBIA MCHUMBA WAKO KUWA X WAKE KATOA KIASI HICHO CHA PESA?AU UTAMTOA NDUKI JAMAA?
mc, huo ni wasiwasi tu na kama anatengeneza future ujue anaweza tengeneza kwa njia yoyote ukiacha hiyo.
he! wao si walishamalizana? unapokea cheque kwa moyo mkunjufu, hela unakula na mke unaondoka nae akiwaona anabaki kuongea tu niliwachangia basi
na uzuri wa hivi viungo nyeti mkishaachana basi baada ya muda hukumbuki hata size yake.:lol: wachilia mbali utamu wake.
husninyo!atengeneze kwa namna nyingine bana lakini sio kwa mgongo wa bw harusi!halafu mwenzio sweetlady nilimuuliza swali ngoja nikuulize nawe pia
x wa mmeo mtarajiwa kaahidi kumnunulia suti ya harusi na honeymoon atagharamia yeye full!utakubali?
hehehe! Kwanza nimefurahi ulivyosema mwenzangu swtlady. Sina raha cjamuona leo.
B2T: hivi inamaana ukaribu bado upo au inakuwaje hadi anapata chance kuhuzulia vikao na kuahidi? Nijibu kwanza.
mazingira the same kama ya hapo juu!tena ang'ang'ania lazima mtarajiwa wako avae hiyo suti yake!