starlightz
Member
- Nov 2, 2021
- 44
- 116
Nimekupata mkuu1. Usishiriki mipango yako na mtu yeyote
2. Usizungumze kuhusu taarifa za ndani za maisha yako
3. Usizungumze kamwe kuhusu matatizo ya familia yako
4. Usizungumze kamwe jinsi ulivyo shujaa
5. Kamwe usitangaze jinsi ulivyoelimika
6. Usizungumze kuhusu akaunti yako ya benki na salio
7. Usilete mambo yasiyomazuri ambayo umesikia huko
8. Taarifa na mambo ya mpenzi wako
9. Udhaifu wako
10. Vipaji vyako
Ikiwa habari hii imeweza kuongeza 1% ya thamani kwa maisha yako:
- Tafadhali ieneze
50 /50 hiyo sasaUmenena vyema mno, ila kuna wakati unakuwa na shida unahitaji msaada kutoka kwa watu inakubidi uzungumze tuu
Ni sumu kali sana hii,na wengi wanajiua kwa kuwa wasiri sana na matatzo within ,afya ya akili pia itakua mgogoro1. Usishiriki mipango yako na mtu yeyote
2. Usizungumze kuhusu taarifa za ndani za maisha yako
3. Usizungumze kamwe kuhusu matatizo ya familia yako
4. Usizungumze kamwe jinsi ulivyo shujaa
5. Kamwe usitangaze jinsi ulivyoelimika
6. Usizungumze kuhusu akaunti yako ya benki na salio
7. Usilete mambo yasiyomazuri ambayo umesikia huko
8. Taarifa na mambo ya mpenzi wako
9. Udhaifu wako
10. Vipaji vyako
Ikiwa habari hii imeweza kuongeza 1% ya thamani kwa maisha yako:
- Tafadhali ieneze
Bujibuji 😍Usiruhusu mtu azijue nguvu zako za kiroho na vyanzo vyake
Nakupinga mambo matatu tu ndio yasiwekwe hadharani1. Usishiriki mipango yako na mtu yeyote.
2. Usizungumze kuhusu taarifa za ndani za maisha yako.
3. Usizungumze kamwe kuhusu matatizo ya familia yako.
4. Usizungumze kamwe jinsi ulivyo shujaa.
5. Kamwe usitangaze jinsi ulivyoelimika.
6. Usizungumze kuhusu akaunti yako ya benki na salio.
7. Usilete mambo yasiyomazuri ambayo umesikia huko.
8. Taarifa na mambo ya mpenzi wako.
9. Udhaifu wako.
10. Vipaji vyako.
Ikiwa habari hii imeweza kuongeza 1% ya thamani kwa maisha yako:
- Tafadhali ieneze
Umenena!1. Usishiriki mipango yako na mtu yeyote.
2. Usizungumze kuhusu taarifa za ndani za maisha yako.
3. Usizungumze kamwe kuhusu matatizo ya familia yako.
4. Usizungumze kamwe jinsi ulivyo shujaa.
5. Kamwe usitangaze jinsi ulivyoelimika.
6. Usizungumze kuhusu akaunti yako ya benki na salio.
7. Usilete mambo yasiyomazuri ambayo umesikia huko.
8. Taarifa na mambo ya mpenzi wako.
9. Udhaifu wako.
10. Vipaji vyako.
Ikiwa habari hii imeweza kuongeza 1% ya thamani kwa maisha yako:
- Tafadhali ieneze
Vipi jamaa hakujii Tena ?Anamaanisha acha kuwa muwazi wa mambo yako yanayokuletea faida .
Hujaambiwa usiseme mambo yako kwa kwa mtu atakayekusaidia nope ila sema kwa mtu ambaye ndio unamuona atakusaidia .
Ficha vitu vyako kwa majirani, kijiweni na sehemu ambazo zitazima nyota yako
Kitamboo mwezi wa nneVipi jamaa hakujii Tena ?