Mambo yakuzingatia unapotafuta forex mentor (mwalimu wa forex)

Hii sio biashara ya waswahili aisee...
Kama Lugha ya Malkia haipandi vizuri na Elimu yako ya kuunga unga au umeishia darasa la saba, hii kitu kutoboza inaweza kuwa ni bahati nasibu.
Mkuu ata graduates wa vyuo vikuu vyetu wanabwabwaja kwenye kingereza. Wengine wana masters na PhD, lakini kiingereza matatizo.
 
Mkuu ata graduates wa vyuo vikuu vyetu wanabwabwaja kwenye kingereza. Wengine wana masters na PhD, lakini kiingereza matatizo.
Mkuu,kiingereza si factor pekee ya kukufanya uwe Fx trader au kuwa best trader! Binafsi issue hii ya forex trading nimeanza kusoma na kuvutiwa nayo way back kwenye mitandao mingine (siyo JF) wakati huo target yangu ilikuwa ni kujifunza namna salama ya ku invest kwenye stock exchange market,huko ndiko nilikokutana na hii kitu ya Fx! Mimi pia wazo langu la kwanza lilikuwa kwamba hii ni biashara nyingine kwa just a choosen few! Especially wale ma First world Soros and Trumps!! Wale wenye uwezo wa kubadili lugha kuwa namba! Lakini taratibu mentality hiyo imeondoka kwangu!suala la lugha si barrier itakayo mzuia mtu yeyote ku trade forex! Mchina asiyejua kiingereza anapiga hela za kutosha tu huko,huku mwingereza mwenye phd akipoteza!! Hii issue iko very complex,mimi si trader,ila napenda kujua what's In! Najifunza kwa bidii zote niweze kuijua vyema,nawasoma wenzangu na kuwauliza maswali pia,nasoma vitabu,nafanya demo, najitahidi kuelewa mazingira yote yanayoizunguka hii biashara kabla ya kujiingiza huko! Kwa sababu pia si lazima niifanye!! Ila napenda tu niijue vizuri! Thanks for ONTARIO ameni inspire alot!
 
wanamsemo wao wanasema" wekeza mtaji ule ambao utakuwa comfortable kuupoteza" na wanasema 95% wanapoteza au kuliwa kwenye forex na 5% ndio wanashinda.
Hii ndio kitu watu hawataki kuelewa na hao mentor hawapo tayari kuwaeleza ukweli wanafunzi wao.

Forex is nothing else but pure kind of Gambling mwenye kubisha na abishe tu lakini siku akija liwa asimtafute mchawi.
 
Umejiongelea wewe binafsi jinsi unavyofanya jitihada kujifunza, ni vizuri kiingereza kwako si tatizo ili kuelewa forex na inspiration ya Ontario.

Nachofahamu mimi ni kuwa ili kufanikisha katika kuelewa forex kwa watanzania, kiingereza ni must!

Sasa itakuwaje kwa wale wasiyo jua kiingereza vizuri, je wataweza jifunza forex?
 
Hivi kizungu km hakipandi unaweza fanya hii biashara kweli
Watu wanfanya biashara ya importation toka ulaya china drs la 7 bila hicho bila hicho kizungu na wametajirika USIOGOPE JARIBU NA HAKIKA UTAKIJUA KIZUNGU CHA FOREX VIZURI TU
 
ndugu zangu uwongo mbaya biashara hii in my experience lazima ujue kiingereza walau cha kusoma na kuandika maana hapo ndo utaweza wasiliana na mabroker katika kupata msaada mbalimbali either maswala ya withdraw na deposit pia "Elimu ya forex sio elimu yakujifunza week au siku kdhaa utegemee ndo utengeneza pesa milele nijambo amabalo utaendelea kujifunza kila siku maana soko lenyewe lina badilika PIa io elimu mtakayo jifunza "kwenye seminar haitoshi izo elimu zipo kwaajili yakukufumbua tu" Mwenye masikio naasikie
 
Nakubaliana na wewe mkuu , ila tunaogopa kumkatisha tamaa mtu bora mpe tahadhali na kumtia moyo , wengi wa watanzania SIO kwamba hawajui kabisa english wengi hawana Confidence tu kuwa wanaelewa , kwa uzoefu wangu huyo unayemuona hapa hajui kbs english ebu kutana nae china au dubai(au kwa simu za nje ya nchi) anavyowasiliana na suppliers wake ndio utajua kuwa watanzania wengi wanajua english vzr tu ila hawana uzoefu wa kutosha lakini kusikia na kuelewa na kujibu (hasa wajasriamali) hawana shida kabisa, mwanzo atapata shida kdg lkn utashangaa baadae lisiwe tatizo kwake kabisa, kama ilivyo taaluma zingine kila taaluma ina lugha yake kujifunza nilazima na ni kwa kila mtu bila kujali elimu
 
CONGRATULATION ! ! !
 
Ontario alisema anaandika kitabu cha kiswahili kwa ajili yao!! na wenda atakua amekimaliza!!

Kuto kujua english haimaanishi hutajua forex.
Kama ataandika kitabu atakuwa mtu wa kwanza kufanya hivyo.
 

Yes! if you treat trading as a gambling and not business.
 
Ontario is the hero when it comes to Forex kiukweli jamaa ni Shujaa
That's your opinion. With due respect, a person may be a hero to you but not to all! And thats my opinion too, you are free to disagree!
 
Forex ni betting
Unaweza ku expand kidogo hiyo taarifa ya kwamba "Forex ni betting." Na maana maelezo zaidi maana umetuweka katika dilemma kielewa una maanisha nini exactly.
Define na toa example kuhusu betting na forex ni nini ili tuelimike zaidi mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…