Samahani kwa maswali mengi lakini hata hio cent account siifahamuUs cent. Maana yake Natumia cent acc.
Alafu kuhusu kutoa ni hivi,
Kwa siku nimejiwekea kupata 2$. Lakini huwa napata mpaka 5$. Kinachozidi nitakua nakitoa pale nikiwa nahitaji hela.
Pia nina vyanzo vingine vya mapato ndio maana sina wasiwasi mkuu.
Hii biashara inahitaji malengo ya muda mrefu ili ifanikiwe. Hapo ndo utaipenda na hutapata hasara kamwe
NAfkiri hii Video itakua yenye msaada Juu hii biashara "ikieleze ukweli juu hii biashara"
Wape ukweli, ma ignorant yenye tamaa yako mengi. Wanadanganywa na mamentor wao eti ata benki haitaki wajue biashara ya forex! Yaani vichekesho! Benki kweli ina time ya kudanganya mtu hasijifunze forex? [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mentor hufanya hizi biashar ili kutengeneza kipato cha ziada mbali na trading’ bishaea ingekuanrahisi ivo kama ma mentor feki wanavyowatia watu moyo wao wangeshakua ma billionea
Mentor hufanya hizi biashar ili kutengeneza kipato cha ziada mbali na trading’ bishaea ingekuanrahisi ivo kama ma mentor feki wanavyowatia watu moyo wao wangeshakua ma billionea
Unashauriwa kutumia broker umpenda name so usipotoshetarget kubwa ya walimu wa forex wengi ni hela za mafunzo.. na wanajipachika ubroker au wanamdalalia broker atakaewapa commission ili wapige hela za watu wanaojiunga forex..
ukiona mwalimu anakulazimisha awe broker wako au akuchagulie broker ujue anakupiga
Bila huyo jamaa nisingejua kuwa kuna kitu kinaitwa forex.
Forex inataka mtu mwenye malengo ya kukuza mtaji.
Ndio maana wanasema haipo kwaajili ya wasio na kazi.
Maana yake ni kwamba, usianze forex kwa lengo la kukidhi mahitaji yako, utafeli.
Kwa upande wangu nimejiwekea malengo ya kupata japo dollar 2 tu kwa siku kwa muda wa miezi 6. Baada ya hapo nimepanga kupata japo dollar 4 tu kwa siku kwa muda wa miezi 6.
Angalia mchanganuo hapa chini.
2018 June = $2
2018 DEC = $4
2019 June = $8
2019 dec = 16
.
.
.
.
2027 DEC = $1048576 kwa siku.
Mtaji wangu ni $200. Natumia cent acc ambayo lot naweka 0.10.
Hata trade ingeenda kinyume na mimi, acc haiwezi kuungua.
Nina malengo ya kutajirika miaka 10 ijayo kama nitakua hai. Hivyo ndivyo forex inataka
jamani kuna kitu sjaelewa je naweza ku BUY tu bila kununua na kupata faida na kuitoa au ni lazima ununue na uuze ili uweze pata faida.
Definitely true.Mkuu hata ungefuta maelezo ya mwanzo ukaacha paragraph ya mwisho imebeba ujumbe mzito
To be honesty ktk wote walio ongelea biashara ya forex huyu jamaa wa hii mada kaeleza ukweli halisi wa hii kitu.Ndio maana nasema ontario amekomboa wengi!!
Kwani kuna sehem mtu alisema hii ni biashara ya kupata utajiri haraka haraka??Hii sio biashara ya utajiri wa haraka na odds za kufanikiwa sio kubwa hivyo labda kama wewe ni broker au financial institution kama alivyosema jamaa.
.
Hii inaonesha hujaelewa basic concept ya hii biashara
Hii biashara unanunua pesa kwa bei ndogo ukitumaini kuwa bei yake itapanda .Bei ikipanda unauza ...Tofauti ya bei ya kununulia na ya kuuzia ndio faida