Mambo yalikuwa ni magumu sana kwa Iran awamu ya Trump. Walibanwa kisawasawa, wanaombea Kamala aendelee kuwapa ulaji baada ya Biden

Mambo yalikuwa ni magumu sana kwa Iran awamu ya Trump. Walibanwa kisawasawa, wanaombea Kamala aendelee kuwapa ulaji baada ya Biden

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Iran ilikuwa dhaifu na imefilisika awamu ya Trump, Iran imekuwa tajiri na yenye jeuri ya pesa za kufadhili vikundi vya kigaidi awamu ya Biden.

Trump aliiwawekea vikwazo vikali mno Iran ili wasiuze mafuta, Mkakati huu uliwafanya Iran wawe wamenyongonyea kiuchumi, Hawakuwa na nguvu wa la jeuri waliyo nayo sasa.

Siku ya kwanza Biden anapoingia ofisini 2021 aliondoa hivyo vikwazo, Iran imekuwa tajiri sana, Imeweza kunenepesha hazina ya kufadhili vikundi vya kigaidi, Jeuri ya pesa imeweza kuanzisha yaliyoanza October 7, Pesa zipo za kutosha.

Iran inauza mapipa zaidi ya milioni 1 na nusu kwa China kila siku, achilia mbali wateja wengine kama Syria, Uae, n.k.

Biden alienda mbali zaidi kuwapa Iran Dola bilioni 6 (Shilingi trilioni 16) iwe pesa ya kuwakomboa wamarekani wanne waliotekwa Iran, Ni dau nono la kukomboa mtu alietekwa kuwahi tokea, Hii ni pesa iliyoweza kuongeza uimara wa vikundi vya Hamas, Hezbullah, n.k.
 
Iran ilikuwa dhaifu na imefilisika awamu ya Trump, Iran imekuwa tajiri na yenye jeuri ya pesa za kufadhili vikundi vya kigaidi awamu ya Biden

Trump aliiwawekea vikwazo vikali mno Iran ili wasiuze mafuta, Mkakati huu uliwafanya Iran wawe wamenyongonyea kiuchumi, Hawakuwa na nguvu wa la jeuri waliyo nayo sasa.

Siku ya kwanza Biden anapoingia ofisini 2021 aliondoa hivyo vikwazo, Iran imekuwa tajiri sana, Imeweza kunenepesha hazina ya kufadhili vikundi vya kigaidi, Jeuri ya pesa imeweza kuanzisha yaliyoanza October 7, Pesa zipo za kutosha.

Iran inauza mapipa zaidi ya milioni 1 na nusu kwa China kila siku, achilia mbali wateja wengine kama Syria, Uae, n.k.

Biden alienda mbali zaidi kuwapa Iran Dola bilioni 6 (Shilingi trilioni 16) iwe pesa ya kuwakomboa wamarekani wanne waliotekwa Iran, Iran walipewa raia wao bure kabisa, Hii ni pesa iliyoweza kuongeza uimara wa vikundi vya Hamas, Hezbullah, n.k.
Hiyo pesa unajua ni ya WA Iran ambayo US alikuwa ameishikilia???
Ni SAWA na hela za RUSSIA ambazo amezishikilia

Pili Biden ni mtu wa vitendo kuliko maneno
 
Hiyo pesa unajua ni ya WA Iran ambayo US alikuwa ameishikilia???
Ni SAWA na hela za RUSSIA ambazo amezishikilia

Pili Biden ni mtu wa vitendo kuliko maneno
Ni pesa ya Iran iliyopatikana kwa kuuza Heroin, kuuza kimagendo mafuta yaliyowekewa vizuizi, n.k.

lengo ni kuwapa adhabu ya kiuchumi wasipate pesa za kufadhili ugaidi kama ilivyo sasa.

Kipindi cha Trump hazikutolewa, Biden karudi kawapa wairan shilingi trilioni 16 ili kuokoa watu wanne (Trilioni 4.x kwa kichwa)
 
Iran ilikuwa dhaifu na imefilisika awamu ya Trump, Iran imekuwa tajiri na yenye jeuri ya pesa za kufadhili vikundi vya kigaidi awamu ya Biden.

Trump aliiwawekea vikwazo vikali mno Iran ili wasiuze mafuta, Mkakati huu uliwafanya Iran wawe wamenyongonyea kiuchumi, Hawakuwa na nguvu wa la jeuri waliyo nayo sasa.

Siku ya kwanza Biden anapoingia ofisini 2021 aliondoa hivyo vikwazo, Iran imekuwa tajiri sana, Imeweza kunenepesha hazina ya kufadhili vikundi vya kigaidi, Jeuri ya pesa imeweza kuanzisha yaliyoanza October 7, Pesa zipo za kutosha.

Iran inauza mapipa zaidi ya milioni 1 na nusu kwa China kila siku, achilia mbali wateja wengine kama Syria, Uae, n.k.

Biden alienda mbali zaidi kuwapa Iran Dola bilioni 6 (Shilingi trilioni 16) iwe pesa ya kuwakomboa wamarekani wanne waliotekwa Iran, Ni dau nono la kukomboa mtu alietekwa kuwahi tokea, Hii ni pesa iliyoweza kuongeza uimara wa vikundi vya Hamas, Hezbullah, n.k.
Kwa hiyo Biden alivioondoa
 
Ni pesa ya Iran iliyopatikana kwa kuuza Heroin, kuuza kimagendo mafuta yaliyowekewa vizuizi, n.k.

lengo ni kuwapa adhabu ya kiuchumi wasipate pesa za kufadhili ugaidi kama ilivyo sasa.

Kipindi cha Trump hazikutolewa, Biden karudi kawapa wairan shilingi trilioni 16 ili kuokoa watu wanne (Trilioni 4.x kwa kichwa)
yaan wewe kwenye mizania ya siasa za kimataifa bado sana hujafikia level ya kuandika kitu hapa hili jukwaa...You must undertake four years of rigorous academic pursuit in International Relations, dedicating yourself entirely to the scholarly realm without engaging in forum postings.
 
Iran ilikuwa dhaifu na imefilisika awamu ya Trump, Iran imekuwa tajiri na yenye jeuri ya pesa za kufadhili vikundi vya kigaidi awamu ya Biden.

Trump aliiwawekea vikwazo vikali mno Iran ili wasiuze mafuta, Mkakati huu uliwafanya Iran wawe wamenyongonyea kiuchumi, Hawakuwa na nguvu wa la jeuri waliyo nayo sasa.

Siku ya kwanza Biden anapoingia ofisini 2021 aliondoa hivyo vikwazo, Iran imekuwa tajiri sana, Imeweza kunenepesha hazina ya kufadhili vikundi vya kigaidi, Jeuri ya pesa imeweza kuanzisha yaliyoanza October 7, Pesa zipo za kutosha.

Iran inauza mapipa zaidi ya milioni 1 na nusu kwa China kila siku, achilia mbali wateja wengine kama Syria, Uae, n.k.

Biden alienda mbali zaidi kuwapa Iran Dola bilioni 6 (Shilingi trilioni 16) iwe pesa ya kuwakomboa wamarekani wanne waliotekwa Iran, Ni dau nono la kukomboa mtu alietekwa kuwahi tokea, Hii ni pesa iliyoweza kuongeza uimara wa vikundi vya Hamas, Hezbullah, n.k.
Uelewa wako kwenye siasa za kimataifa ni mdogo mno, unajiandikia kama upo kijiweni unasukumia kashata kwa gahawa!
 
Back
Top Bottom