Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,641
- 6,694
Kizazi hiki kinakutana na changamoto nyingi lakini yafuatayo ni mambo machache yanayoharibu maisha ya vijana wengi hapa nchini
°Ulevi wa pombe
°Uvutaji sigara, bange na dawa za kulevya
°Ngono zembe na umalaya wa kumiliki wanawake wengi
°Kamari na betting
°Ushabiki wa mipira simba na yanga
°Video za ngono {×}
°Kupiga nyeto
° kampani mbaya za marafiki
°Kujifanya mjanja wa kujaribu kila aina ya starehe
°Ulevi wa pombe
°Uvutaji sigara, bange na dawa za kulevya
°Ngono zembe na umalaya wa kumiliki wanawake wengi
°Kamari na betting
°Ushabiki wa mipira simba na yanga
°Video za ngono {×}
°Kupiga nyeto
° kampani mbaya za marafiki
°Kujifanya mjanja wa kujaribu kila aina ya starehe