Mambo yanayochangia kuharibu maisha ya vijana wengi

Mambo yanayochangia kuharibu maisha ya vijana wengi

Kifurukutu

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
4,641
Reaction score
6,694
Kizazi hiki kinakutana na changamoto nyingi lakini yafuatayo ni mambo machache yanayoharibu maisha ya vijana wengi hapa nchini

°Ulevi wa pombe
°Uvutaji sigara, bange na dawa za kulevya
°Ngono zembe na umalaya wa kumiliki wanawake wengi
°Kamari na betting
°Ushabiki wa mipira simba na yanga
°Video za ngono {×}
°Kupiga nyeto
° kampani mbaya za marafiki
°Kujifanya mjanja wa kujaribu kila aina ya starehe
 
Kizazi hiki kinakutana na changamoto nyingi lakini yafuatayo ni mambo machache yanayoharibu maisha ya vijana wengi hapa nchini

°Ulevi wa pombe
°Uvutaji sigara, bange na dawa za kulevya
°Ngono zembe na umalaya wa kumiliki wanawake wengi
°Kamari na betting
°Ushabiki wa mipira simba na yanga
°Video za ngono {×}
°Kupiga nyeto
° kampani mbaya za marafiki
°Kujifanya mjanja wa kujaribu kila aina ya starehe
Kiongozi Kifurukutu Betting na nyeto ni kitu kingine kabisa, vitoe kwa hii list ya kuharibu vijana
 
Kizazi hiki kinakutana na changamoto nyingi lakini yafuatayo ni mambo machache yanayoharibu maisha ya vijana wengi hapa nchini

°Ulevi wa pombe
°Uvutaji sigara, bange na dawa za kulevya
°Ngono zembe na umalaya wa kumiliki wanawake wengi
°Kamari na betting
°Ushabiki wa mipira simba na yanga
°Video za ngono {×}
°Kupiga nyeto
° kampani mbaya za marafiki
°Kujifanya mjanja wa kujaribu kila aina ya starehe
Vyote hivo sifanyi na sijafanikiwa….
Maisha ni fumbo mkuuu…
 
Unataka kijana awe na uzoefu gani katika maisha asipofaya 50% ya hivyo hapo?
Hapo labda bangi, sigara, dawa za kulevya, kuhonga kizembe, ngono zembe na pombe kupitiliza...the rest wacha vijana wa experience
 
matatizo yenyewe mnayaacha mnaandika visivyo oya utajir ni sir sana wachache tunaujua njoo pm niku connect kwa mtaalamu jogoo anakula punje 60 unakuwa tajir miaka 60
 
matatizo yenyewe mnayaacha mnaandika visivyo oya utajir ni sir sana wachache tunaujua njoo pm niku connect kwa mtaalamu jogoo anakula punje 60 unakuwa tajir miaka 60
Miaka 60 kila mtu angekimbilia huko
 
Hizi unazosikia connection zimevuja because of watching x ndio maana mr blue kabayser alisema mimi ni mr blue japo simaindi kucheki picha za blue
 
Kizazi hiki kinakutana na changamoto nyingi lakini yafuatayo ni mambo machache yanayoharibu maisha ya vijana wengi hapa nchini

°Ulevi wa pombe
°Uvutaji sigara, bange na dawa za kulevya
°Ngono zembe na umalaya wa kumiliki wanawake wengi
°Kamari na betting
°Ushabiki wa mipira simba na yanga
°Video za ngono {×}
°Kupiga nyeto
° kampani mbaya za marafiki
°Kujifanya mjanja wa kujaribu kila aina ya starehe
kampani mbaya za marafiki
 
Back
Top Bottom