Mambo yanayochangia mume kutembea na hausigeli

mume anashindwa kujifulia nguo zake za ndani mpaka beki 3 amfulie?
mke akisafiri au akiwa anaumwa ndo ampe beki 3?
siyo lazima mimi nimfulie mume nguo zake za ndani.... kwamba mwenyewe hawezi?
kabla hajaoa alikuwa anavaa chafu au alikuwa anafuliwa na mama/dadake?
kama alikuwa anajifulia sasa anashindwa nini kufua akiwa ameoa?
nitamfulia kimapenzi tu, naye pia anaweza kunifulia maana hata mimi hayo mapenzi nayataka
 

Hata bibilia inakili waziwazi kuwa kijakazi atamsaidia mama mwenyenyumba pindi majukumu yanapo muelemea
 
Kaka tena tamaa za kijinga? Mwanaume mzima bila sababu za msingi anaanza kuufikiria uanamke wa hg?

Mke ni zaidi ya kufua na kukuwekea maji ya kuoga aisee...

HG anapo nona kuliko mama mwenye nyumba na anakuwa amejaa matishititi kuliko mama mwenye nyumba hili unalizungumziaje?
 
majukumu yanapomuelemea, siyo kila siku.....

Kwani hata baba mwenye nyumba anapozidiwa na kiu ya ngono na anataka kijakazi amsaidie pale tu mama mwenye nyumba kuna kosa gani hapo?
 
Kwani hata baba mwenye nyumba anapozidiwa na kiu ya ngono na anataka kijakazi amsaidie pale tu mama mwenye nyumba kuna kosa gani hapo?
kuna majukumu hayasaidiliki......
unaweza mtuma mtu akakusaidie kwenda toilet?
 
Mi huu ugonjwa haunihusu nawasaidia wale walio fungwa na kifungu cha uchoyo unakijua?.....
kifungu cha uchoyo nakijua rafiki.....
asante kwa kunisaidia maana mimi nimeshikwa sana na hicho kifungo. ngoja tusubiri kama jibu litatokea
 
Ikiwa mke hatimizi vizuri majukumu yake ya ndoa halafu asimuweke mume karibu yake, mambo ya msingi kwa mume akamwachia house girl kuna uwezekano mkubwa mume akatembea na house girl. sababu kubwa mwanaume anatawaliwa zaidi na tamaa kuliko kupenda, hivyo kama mume atataka halafu mke atoe visingizio visivyoeleweka tamaa ya mume inaweza kumalizikia kwa house girl.
 
HG anapo nona kuliko mama mwenye nyumba na anakuwa amejaa matishititi kuliko mama mwenye nyumba hili unalizungumziaje?
kwani kila mwanaume anapenda wanawake walionona?
uzuri wamama wenye nyumba tunajitahidi sana kwenda na style ambayo wababa wanapenda....
kama mume anapenda aliyenona, nami nitanona. kama anapenda mifupa basi nitakuwa mifupa....
sasa kama anapenda asiyenona na ukawa na hg aliyenona si unakuwa umepiga bingo?
 
Kila mmoja ajitume katika Majukumu yake wala hamta laumiana mpe mme mapenzi ya kutosha na mme ampe mke mapenzi ya kutosha. Kumbukeni chochote kisicho chema mkikifanya athari zitawakabili watoto wenu wapendwa.
mwanaume hakikisha familiya ina maitaji yote watakayo,isitoshe pamoja na kuwapa vitu vyote uwepo wako ni wakimsingi,mara moja kwa wiki mtoe out kama uwezo unaruhusu,hata mara moja kwa mwezi,si lazima muende sehemu za starehe mnaweza kutafuta sehemu tulivu mkakaa chini mkaongea au kucheza kama vile ndo mmekutana jana. Si lazima kila kitu kutumia ubabe.
Mwanamke nawe pia timiza wajibu wako,usitake kila kitu lazima uoneshe jeuri,mpe mme mapenzi,kuwa mtii na mnyenyekevu,yaani mbembeleze. afu jifunze jambo jipya kila mara(ubunifu)
 

Amini nakwambia FP wamama mlio wengi mkisha olewa basi kila kitu mnastaafu amini na kwambia
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahah!!!!!!!!!A woman of principles.Imagine unamkuta mumeo amepinda mgongo anafua chupi ya hausigeli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…