Mambo yanayochangia mume kutembea na hausigeli

A woman of principles
 
Hahahahahah!!!!!!!!!A woman of principles.Imagine unamkuta mumeo amepinda mgongo anafua chupi ya hausigeli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ha haaaa, ntaenda kumchukulia na zangu ingawa nina uhakika zore zitakuwa safi lakini arudie tu kuzifua, lol!
 

hapo kwa red, wako baadhi ya wanaume hizo ndio hobi zao ati!
 
hapo kwa red, wako baadhi ya wanaume hizo ndio hobi zao ati!
umeona eeeh!
watu tunashindwa kuelewa interest za wengine.....
Mungu alipoumba watu wenye maumbo/rangi/kimo/nk.nk...... hakuwa mjinga....
alijua kila mtu anakubalika
kama wewe hupendi wembamba kuna ambao wanawazimikia
kama wewe hupendi wanene, wana watu wao
kama hupendi weupe kuna watu hawalali kwa ajili yao....
kama hupendi warefu kuna ambao hawasikii wala kuambiwa kuhusu wao.
ndo maana aliyeandika beauty is in the eye of beholder alikuwa na akili sana, na hicho ndo ambacho tunakiexperience
 
great!
close your eyes........
ukihisi umeguswa basi ujue Roho Mtakatifu anakushukia.....
uanze kunena kwa lugha, sawa?
cc. Asprin
Nimefumba macho...nimehisi kuguswa..
Tatizo ni kwamba sidhani kama Roho Mtakatifu anaweza kunigusa 'palipoguswa'

Weird.....right?
Come this way!
 
Nimefumba macho...nimehisi kuguswa..
Tatizo ni kwamba sidhani kama Roho Mtakatifu anaweza kunigusa 'palipoguswa'

Weird.....right?
Come this way!
usihofu.....
Roho Mtakatifu anaweza kukugusa sehemu yoyote...... endelea na mapambio na kunena......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…