Mambo yanayochangia mume kutembea na hausigeli

kwa hiyo hizo zote ni kazi za mke?
 
Uroho tu wa PAPUCHI, mengine ni geresha tu

It is very unfortunate that there is nothing new. Yote someni historia toka kale kwenye vitabu vya dini. Suala la mapenzi (kuzini) ni kama rushwa, lipo na litakuwepo mpaka mwisho wa dahari. Mwanaume is a social being, anatamani aguse popote inapomjia kufanya hivyo. Kikubwa ni kupatikana kwa nafasi ya kufanya hivyo, maana utamu hauishi na wala hautazuilika. Mitandao iendelee kuielimisha jamii umuhimu wa kuwa na aibu ili kuulinda utu, ingawa it's so private.
 
unejoune..... ujobhile amasyu gha mahala fijo malafyale
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hiyo lugha hapo sijaielewa, ulikua unanipa ujumbe gani?

 
Mie nikiolewa sihiaji beki 3, nitakomaa mwenyewe
Sie humu ZNZ tumefunzwa kuhudumia waume zetu
 
haupo sahihi kabisa kwamaneno yako.mapenzi ni hisia,binti wakzi kanikarimu vzr,kesho kaandaa chakula safiii,mala kafua nguo zangu za ndani kaanika...ni image nani najenga kichwani?anafanya vitu vya kunivutia wakati mke wangu anafanya vindembwe....hapo lazima ile kwako
 
Ni upunguani na upumbavu tu unaweza kumfanya mwanaume kutembea na Beki tatu!!! hakuna justification yoyote ile
 
kukosa staha na heshima ndani ya ndoa ndio matokeo yake. mke atekeleze mambo yanayo takiwa kwa mmewe na mme naye atimize wajibu wake kwa mkewe. Zaidi tuwe na hofu ya Mungu na tuheshimu ndoa zetu
 
kuna nabii moja bongo nimemsahau jina lake amegeuza hg wake kua mke mdogo ,anasema kazi ya hg ni kumsadia mama mwenye nyumba kumtunza mwanaume,so inabid asaidie kazi zote na za chumban pia
 
ihakikisha anamjua mungu,ukiwa na god fearing attitude hutatembea na housigelli kamwe.......nyie wadada oleweni na watu walioenda seminary:smile-big: hutojutia ndoa yako,ni wasaidizi wa wake zao hatakubali umfanyie kazi zote,na jukumu letu kuwafunda watoto hasa wa kiume kufanya some of house chores ili na wao wakawe waume wazuri kwa wake zao...........
 

kwani lengo la kuoa mwanamke ni nini? je ni kumgegeda tu wife? kama ni kugegedana mbona hamna sababu ya kuoa basi ,mana milupo kibao mtaani,mke lazima aweze kutoa huduma kama hizo ili kutunza familia na sio hg.kazi ya hg ni kusaidia tu anaweza kuondoka siku yoyote
 
ina maana kabla ya kuoa si alikuwa single???kazi zote kufua na kupika alikuwa anazifanya,iweje aoe then ndio amepata punda wa kumfanyia,afadhali iwe punda 50:50 lol yaani unakuta mtu kajiaachiiiiiiiiaaaaaaaaa,wanawake ni viumbe kama nyinyi hawana moyo wa chuma eboh!
 

aaah ndio mana kuna division of labor! bibie apige kazi za ndani mheshimiwa anapiga za nje
 

na wewe lengo la kumleta housegal ni nini?kufanya hizo kazi za nyumbani au kumgegeda?mbona hukumshirikisha mkeo kuwa part ya contract ni wewe kumgegeda?
 
na wewe lengo la kumleta housegal ni nini?kufanya hizo kazi za nyumbani au kumgegeda?mbona hukumshirikisha mkeo kuwa part ya contract ni wewe kumgegeda?

mwanamke akiolewa anaambiwa amepata nyumba,nyumba ni pamoja na mwanaume,sasa hg si anakusaidia kazi za nyumbani bana,haitaji contract wakat kazi za nyumbani zinajulikana
 
mie MziziMkavu hayo mengine sina shida nayo ila hilo la kumuacha hg na mume uendapo safari ndo imenishtua kidogo,unataka kusema kwamba nikipata safari namrudisha hg kwao hadi nirudi au namuweka husband kwenye begi naondoka nae?au ulimaanisha nini.................
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…