Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
uchoyo kwa hg?
Unako elekea unataka usimthamini hg kwani nae hana mihemko kama wewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uchoyo kwa hg?
Mambo mengine huwezi kuzia ila unaweza kupunguza
1. Kwanini uchukue beki tatu Bomba Mbayaaa! Kisu cha Hatari jishepu kama Agness Masogange afu utegemee Mumeo asisababishe! Aaaaaah wappi! Ukimkabidhi Fisi bucha hata kama kashiba kuonja sunna. Chuku dada pande la mtu, mweusi tiii, Nido saa kumi jioni. Hata Hubby akimuona tu ANAREPEL! automatically.
2. Ndumbaaaaaaa! Mabeki tatu wengi sanaa wanatumia kiringe kuchukua waume za watu, akipika lazima atie black science kidogo. Utatupiwa virago hivi hivi unajiona. Au kila siku ugomvi hauishi mumeo, kitu cha Nuksi hicho ushatupiwa na beki tatu.
3.Mavazi unayomruhusu beki 3 wako. Yaani unamuachia kabisaa beki 3 apige tight, mara pensi, mara mini, inaonesha umesahau seein is believing! Hubby akiona ule mpaja umenona nona lazima abelieve there is more in there! Apige sketi za marindaaaa na tshirt.
4. Mazoea na mumeo! Yaani unaruhusu kabisa wakae wapige story, eti hela ya matumizi amuombe mumeo we mama upo tu, Alaaaaaaaaa! Humo humo kunako mazoea anachakachuaamo!
All in all kikulacho ki nguoni mwako! Na asilimia kubwa sanaa ya wanaume ni n.y.o.k.o (Take it as a compliment) vibayaaa mno, wako rijali kweli kweli! So kumfuga beki tatu bombaaa kakuzidi, afu unamruhusu apige vicataloge, afu ukete maza house gangstar mwenzio full kujicream, udi na nini lazima Mapinduzi bubu yatokee!
Nae pi mwanamke atii, she got same needs as you the wifey!!!!!!!!!!!
All im sayin is dont patronise with the enemy! You better give her prior notice that jst incase you sense she is double crossin you somebody will surely get shot! And it aint your dear husband!
Ndo maana mimi kwenye uchumba mwanamke lazima ajue nataka haya kunyolewa ndevu, kwapa, uumeni, kufuliwa kila kitu, kuogeshwa, kulishwa, kunyeshwa, kutandikiwa kitanda, kuvuliwa, kubebwa na mwanamke akishindwa haya basi huyo hata sifa za kuolewa na mimi tunaachana natafuta mwingine vivyo hivyo upembuzi yakinifu unaendelea lazima ayajua haya mapema.
mihemko yake ndo aimalizie kwa baba mwenye nyumba?Unako elekea unataka usimthamini hg kwani nae hana mihemko kama wewe?
ngoja basi akuje atujuzeKing'asti ndo mwenye maana sahihi!
mimi kufuga mwisho kuku wa kienyeji tu, hivi nao unaweza wafuga kwa zero grazing?Mi ni mwindaji na mla matunda na mizizi bora ya wewe mwenzangu mfugaji na mkulima umepiga hatua
mume anashindwa kujifulia nguo zake za ndani mpaka beki 3 amfulie?
mke akisafiri au akiwa anaumwa ndo ampe beki 3?
siyo lazima mimi nimfulie mume nguo zake za ndani.... kwamba mwenyewe hawezi?
kabla hajaoa alikuwa anavaa chafu au alikuwa anafuliwa na mama/dadake?
kama alikuwa anajifulia sasa anashindwa nini kufua akiwa ameoa?
nitamfulia kimapenzi tu, naye pia anaweza kunifulia maana hata mimi hayo mapenzi nayataka
hapo nimejiuliza tu na wala sijasema watu wafanye hayo......mhhhhhhhh haya bhana. usiwadanganye wenzio wakawa na mtazamo kama wako kwa sababu yaweza waletea shida kwenye ndoa zao
mimi kufuga mwisho kuku wa kienyeji tu, hivi nao unaweza wafuga kwa zero grazing?
he he hee! asante
oh!mi ni mwindaji kilicho mbele yangu ni halali yangu umeona @FP
kazi kweli na nyumba utapanga yenye wapangaji wabaya?na ndugu wazuri waliokuzidi utapiga marufuku kwako?majirani?wafanyakazi wenzie? Mume asiyeheshimu ndoa yake aendee tu, tabu yote ya nini?mume halindwi hivyo,maadui ni hao waume zetu na tamaa zao mahousegirl hawana kosa mimi hata ikinitokea nikiamua kudeal na mtu basi ni huyo mume na si housegirl.Mambo mengine huwezi kuzia ila unaweza kupunguza
1. Kwanini uchukue beki tatu Bomba Mbayaaa! Kisu cha Hatari jishepu kama Agness Masogange afu utegemee Mumeo asisababishe! Aaaaaah wappi! Ukimkabidhi Fisi bucha hata kama kashiba kuonja sunna. Chuku dada pande la mtu, mweusi tiii, Nido saa kumi jioni. Hata Hubby akimuona tu ANAREPEL! automatically.
2. Ndumbaaaaaaa! Mabeki tatu wengi sanaa wanatumia kiringe kuchukua waume za watu, akipika lazima atie black science kidogo. Utatupiwa virago hivi hivi unajiona. Au kila siku ugomvi hauishi mumeo, kitu cha Nuksi hicho ushatupiwa na beki tatu.
3.Mavazi unayomruhusu beki 3 wako. Yaani unamuachia kabisaa beki 3 apige tight, mara pensi, mara mini, inaonesha umesahau seein is believing! Hubby akiona ule mpaja umenona nona lazima abelieve there is more in there! Apige sketi za marindaaaa na tshirt.
4. Mazoea na mumeo! Yaani unaruhusu kabisa wakae wapige story, eti hela ya matumizi amuombe mumeo we mama upo tu, Alaaaaaaaaa! Humo humo kunako mazoea anachakachuaamo!
All in all kikulacho ki nguoni mwako! Na asilimia kubwa sanaa ya wanaume ni n.y.o.k.o (Take it as a compliment) vibayaaa mno, wako rijali kweli kweli! So kumfuga beki tatu bombaaa kakuzidi, afu unamruhusu apige vicataloge, afu ukete maza house gangstar mwenzio full kujicream, udi na nini lazima Mapinduzi bubu yatokee!
Nae pi mwanamke atii, she got same needs as you the wifey!!!!!!!!!!!
All im sayin is dont patronise with the enemy! You better give her prior notice that jst incase you sense she is double crossin you somebody will surely get shot! And it aint your dear husband!
Chimbuko la yote ni TAMAA wala tusiandike sana.
oh!
angalia msituni huko kuna chatu........
shauri yako
all the bestkama naweza kukwepa matone ya mvua na silowi basi msituni ni zaidi ni ishu ndogo