Mambo yanayochangia mume kutembea na hausigeli

Mambo yanayochangia mume kutembea na hausigeli

Kutembea na hg ni tamaa tu ya mwili. Je wale wanaotembea na kila hg anayeletwa nyumbani kwake wote wanakuwa na mvuto sawa? Au anakuwa anapenda kuloweka rungu kila anapoona shimo!! Mashimo mengine yana ncha kali ataacha kichwa cha rungu ndiyo apate akili.
 
Mambo mengine huwezi kuzia ila unaweza kupunguza

1. Kwanini uchukue beki tatu Bomba Mbayaaa! Kisu cha Hatari jishepu kama Agness Masogange afu utegemee Mumeo asisababishe! Aaaaaah wappi! Ukimkabidhi Fisi bucha hata kama kashiba kuonja sunna. Chuku dada pande la mtu, mweusi tiii, Nido saa kumi jioni. Hata Hubby akimuona tu ANAREPEL! automatically.

2. Ndumbaaaaaaa! Mabeki tatu wengi sanaa wanatumia kiringe kuchukua waume za watu, akipika lazima atie black science kidogo. Utatupiwa virago hivi hivi unajiona. Au kila siku ugomvi hauishi mumeo, kitu cha Nuksi hicho ushatupiwa na beki tatu.

3.Mavazi unayomruhusu beki 3 wako. Yaani unamuachia kabisaa beki 3 apige tight, mara pensi, mara mini, inaonesha umesahau seein is believing! Hubby akiona ule mpaja umenona nona lazima abelieve there is more in there! Apige sketi za marindaaaa na tshirt.

4. Mazoea na mumeo! Yaani unaruhusu kabisa wakae wapige story, eti hela ya matumizi amuombe mumeo we mama upo tu, Alaaaaaaaaa! Humo humo kunako mazoea anachakachuaamo!


All in all kikulacho ki nguoni mwako! Na asilimia kubwa sanaa ya wanaume ni n.y.o.k.o (Take it as a compliment) vibayaaa mno, wako rijali kweli kweli! So kumfuga beki tatu bombaaa kakuzidi, afu unamruhusu apige vicataloge, afu ukete maza house gangstar mwenzio full kujicream, udi na nini lazima Mapinduzi bubu yatokee!

Nae pi mwanamke atii, she got same needs as you the wifey!!!!!!!!!!!

All im sayin is dont patronise with the enemy! You better give her prior notice that jst incase you sense she is double crossin you somebody will surely get shot! And it aint your dear husband!

hilo nalo neno
 
Ndo maana mimi kwenye uchumba mwanamke lazima ajue nataka haya kunyolewa ndevu, kwapa, uumeni, kufuliwa kila kitu, kuogeshwa, kulishwa, kunyeshwa, kutandikiwa kitanda, kuvuliwa, kubebwa na mwanamke akishindwa haya basi huyo hata sifa za kuolewa na mimi tunaachana natafuta mwingine vivyo hivyo upembuzi yakinifu unaendelea lazima ayajua haya mapema.

he he hee! asante
 
mume anashindwa kujifulia nguo zake za ndani mpaka beki 3 amfulie?
mke akisafiri au akiwa anaumwa ndo ampe beki 3?
siyo lazima mimi nimfulie mume nguo zake za ndani.... kwamba mwenyewe hawezi?
kabla hajaoa alikuwa anavaa chafu au alikuwa anafuliwa na mama/dadake?
kama alikuwa anajifulia sasa anashindwa nini kufua akiwa ameoa?
nitamfulia kimapenzi tu, naye pia anaweza kunifulia maana hata mimi hayo mapenzi nayataka

mhhhhhhhh haya bhana. usiwadanganye wenzio wakawa na mtazamo kama wako kwa sababu yaweza waletea shida kwenye ndoa zao
 
Hapo hamna mume hapo, ndoa na heshimiwe na watu wote. hasa wenyendoa wenyewe. pia housegirl ni kama member wa familia, wanafamilia lazima mumlinde na kumuheshimu na ma housegirl wengi tulionao ni wadogo wanahitaji maelekezo na kulelewa sio kugeuzwa vimada.Mara zote kosa ni la baba na tamaa zake. hata akitegwa na housegirl yeye anatakiwa kuitetea ndoa yake na kuwa imara.
Mume anayeamua kutembea nje ya ndoa haijalishi ni house girl, mpangaji mwenzie, jirani au secretary wake. ni mzigo na laana kwa jamii. hajitambui, hajali watoto wala mkewe ni mbinafsi anajali tamaa zake tu. Anahitaji Neema ya Mungu imkomboe.
 
mhhhhhhhh haya bhana. usiwadanganye wenzio wakawa na mtazamo kama wako kwa sababu yaweza waletea shida kwenye ndoa zao
hapo nimejiuliza tu na wala sijasema watu wafanye hayo......
unajua wadada tumetofautiana sana....
kuna ambao toka wakiwa wapenzi.... zile siku za kutoroka na kwenda kulala kwa mpenzi akiwa huko anamfanyia mkaka kila kitu. kumwogesha/kumfulia/kutandika kitanda/kumlisha........ ref post namba 92 ya Fidel80..... na ukute huyo kaka kaamua kukuoa kwa sababu tu anajua utamfanyia kila kitu, ukibadilika ukishakuwa ndani majeshi yatahamia kwa hg ambaye anafanya hizo kazi......
kuna watu kama mimi, nafanya kitu kwa mapenzi, kuwa nimependa kukufanyia hiki. kama kitu sipendi kufanya nakuambia tangu enzi za urafiki...... hapo hata sijui kuwa unanichunguza kunifanya mke au la. nakuwa real. kama unataka kuwa mke wake basi usitegemee nitabadilika. huyu anakuwa keshazoea maisha ya kujitegemea, na anajua kabisa akinioa mwendo ni huo huo, sasa nitamshangaa akigeukia kwa hg sababu eti hapati hizo huduma toka kwangu.
 
Last edited by a moderator:
Mambo mengine huwezi kuzia ila unaweza kupunguza

1. Kwanini uchukue beki tatu Bomba Mbayaaa! Kisu cha Hatari jishepu kama Agness Masogange afu utegemee Mumeo asisababishe! Aaaaaah wappi! Ukimkabidhi Fisi bucha hata kama kashiba kuonja sunna. Chuku dada pande la mtu, mweusi tiii, Nido saa kumi jioni. Hata Hubby akimuona tu ANAREPEL! automatically.

2. Ndumbaaaaaaa! Mabeki tatu wengi sanaa wanatumia kiringe kuchukua waume za watu, akipika lazima atie black science kidogo. Utatupiwa virago hivi hivi unajiona. Au kila siku ugomvi hauishi mumeo, kitu cha Nuksi hicho ushatupiwa na beki tatu.

3.Mavazi unayomruhusu beki 3 wako. Yaani unamuachia kabisaa beki 3 apige tight, mara pensi, mara mini, inaonesha umesahau seein is believing! Hubby akiona ule mpaja umenona nona lazima abelieve there is more in there! Apige sketi za marindaaaa na tshirt.

4. Mazoea na mumeo! Yaani unaruhusu kabisa wakae wapige story, eti hela ya matumizi amuombe mumeo we mama upo tu, Alaaaaaaaaa! Humo humo kunako mazoea anachakachuaamo!


All in all kikulacho ki nguoni mwako! Na asilimia kubwa sanaa ya wanaume ni n.y.o.k.o (Take it as a compliment) vibayaaa mno, wako rijali kweli kweli! So kumfuga beki tatu bombaaa kakuzidi, afu unamruhusu apige vicataloge, afu ukete maza house gangstar mwenzio full kujicream, udi na nini lazima Mapinduzi bubu yatokee!

Nae pi mwanamke atii, she got same needs as you the wifey!!!!!!!!!!!

All im sayin is dont patronise with the enemy! You better give her prior notice that jst incase you sense she is double crossin you somebody will surely get shot! And it aint your dear husband!
kazi kweli na nyumba utapanga yenye wapangaji wabaya?na ndugu wazuri waliokuzidi utapiga marufuku kwako?majirani?wafanyakazi wenzie? Mume asiyeheshimu ndoa yake aendee tu, tabu yote ya nini?mume halindwi hivyo,maadui ni hao waume zetu na tamaa zao mahousegirl hawana kosa mimi hata ikinitokea nikiamua kudeal na mtu basi ni huyo mume na si housegirl.
 
Chimbuko la yote ni TAMAA wala tusiandike sana.

watu8 topic umeimeza, hakuna kiumbe asiye Na tamaa, Usipokuwa Na tamaa Basi weye SIO kiumbe Wa kawaida , labda ungesema wanaume wanaotembea Na Bint hawa Kwa Sababu mabint wenyewe hujilengesha Na kuwapenda ma mr wao. Na kwasababu wanaume wengi Wa hivi ni wavivu, au jobless, au hawana shughuli tight Basi nao huingia kiulaini mtegoni.. JICHUNGUZE
 
Last edited by a moderator:
Mambo mengine yaliyosababisha best wangu kutembea na house girl ambaye hata si mzuri kama mke wake: Alisema yafuatayo
1. House girl ndiye anayenifungulia geti huku wife akiwa chumbani
2. house girl ndiye anayenipokea laptop na vitu mbalimbali ninavyokuja navyo jioni kwa ajili ya familia
3. House girl huwa wa kwanza kufungua milango yagari kuangalia nimebeba nini ili apeleke ndani.
4. House girl ndiye anaye nipikia na kuandaa chai
5. Jioni nikiwa sebuleni house girl ndiye anaye niandalia chakula na chai ya jioni.
6. house girl ndiye anaye nichemshia maji ya kuoga na kuniwekea mlango wa chumba chetu
7. House girl ndiye anayefua ngua zangu nyingi
8.House girl ndiye anayefungua milango asubuhi na kufunga jioni
9. House girl ndiye anayeleta chakula mezani yeye wife anasema tu KARIBU
10. House girl ndiye anayefanya usafi wa nje na ndani ya nyumba(isipokuwa chumba chetu)
11. House girl ndiye anaye nisaidia ku pasi nguo zangu.

Hivi kwa staili hii huyu mama mwenye nyumba au Mke ana haki gani ya kulalamika pale mumewe anapoamua ku mis behave na huyu house girl wakati yeye ni kama mama.
 
Back
Top Bottom