MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
- Thread starter
- #21
siku hizi wanavishwa maderaNapenda muda wa kutoa sadaka, muda huo macho yangu huwa kwa warembo na namna walivyopendeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siku hizi wanavishwa maderaNapenda muda wa kutoa sadaka, muda huo macho yangu huwa kwa warembo na namna walivyopendeza
Sasa hawa watu lazima waambiwe ukweli, matangazo ya nafasi za masomo au mikutano inauhusiano gani na ibada? Waweke kwenye mbao za matangazoMi naona kama mtu anaona matangazo mengi, au ibada inachukua mda mwingi heri asiende.. mana hakuna anaelazimisha tusiende tu kwa sababu Mungu asijiskie vibaya/ oh Mungu ananiona /oh nikifa nisizikwe kama mbwa nk
Yani tusiishi kwa mazoea! Ukienda kanisani nenda na moyo wote... ibada ni zaidi ya mahudhurio jamani.... Kama kweli juma2 ni siku ya kupumzika na siku ya ibada , Basi Shika kitakatifu siku ya Mungu.
Halafu inakuwaje.Napenda muda wa kutoa sadaka, muda huo macho yangu huwa kwa warembo na namna walivyopendeza
Maswali mengne huwa yanatokana na kile kilicho hubiriwa. Sasa hapo nimeona upotoshaji kwenye mahubiri ya jumapili nikae nisubiri hadi ijumaa?Kanisa katoliki kila siku ya ijumaa saa kumi jioni ni siku ya mafundisho juu ya yale amabyo yanakutatiza. Unaweza kuuliza swali lolote utakalo tatizo wengi hua hamshiriki hichi kipindi. Ibadani sio sehemu ya kuuliza bali kufafanuliwa na kufundishwa neno kadri ya Litrujia
PS. Mimi kikwazo changu ni kwenda kutoa sadaka mbele ya kanisa au kupokea Eucharist mbele ya kanisa halafu ukirudi macho ya waumini ambao wengi ni wanawake wakuangalia mwanzo mwisho. Kwakweli hili ni kikwazo Kwangu
Jumapili amka mchane adharani. Tena aache uchoyo😄Hua naumia zaidi kuona padri anakunywa divai pekeyake..hao jamaa sijui wakoje kazi kutulisha mikate tu.
#MaendeleoHayanaChama
Hili lazima lifanyiwe kazi, mapadre waache ubabaishaji, wajiandae na watoe nondo zenye akiliMaswali mengne huwa yanatokana na kile kilicho hubiriwa. Sasa hapo nimeona upotoshaji kwenye mahubiri ya jumapili nikae nisubiri hadi ijumaa?
Ulishawahi kutaka kumuuliza ukazuiwa? Ilikuaje? Nyoosha kidoleBora wewe, mimi kinachoniuzi ni kutopata nafasi/kutoruhusiwa kumuuliza maswali/ kumkosoa padri juu ya anacho hubiri.
Me sio mkatolik Kaka me NI wa Luther MartinHivi bro, kati ya amri za Kanisa (Kanisa Katoliki) Amri hii inayosema: Hudhuria Dominika na Sikukuu zilizoamriwa ni ya ngapi vile?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120]daaaaaaaaa!!!!Bora wewe, mimi kinachoniuzi ni kutopata nafasi/kutoruhusiwa kumuuliza maswali/ kumkosoa padri juu ya anacho hubiri.
Naomba nikuulize kidogo kuhusu kikwazo chako: Wewe uliwezaje kuona kwamba wengi wa wanaokuangalia mwanzo mwisho ni wanawake?Kanisa katoliki kila siku ya ijumaa saa kumi jioni ni siku ya mafundisho juu ya yale amabyo yanakutatiza. Unaweza kuuliza swali lolote utakalo tatizo wengi hua hamshiriki hichi kipindi. Ibadani sio sehemu ya kuuliza bali kufafanuliwa na kufundishwa neno kadri ya Litrujia
PS. Mimi kikwazo changu ni kwenda kutoa sadaka mbele ya kanisa au kupokea Eucharist mbele ya kanisa halafu ukirudi macho ya waumini ambao wengi ni wanawake wakuangalia mwanzo mwisho. Kwakweli hili ni kikwazo Kwangu
Sijawai ata mm nafata utaratibu wa walionirithisha hizo iman nilikuta hawaulizi na mm nikaufyata mdomoUlishawahi kutaka kumuuliza ukazuiwa? Ilikuaje? Nyoosha kidole
Hebu jilipue siku moja nyoosha kidole uliza swali...then uje kutupa mrejeshoSijawai ata mm nafata utaratibu wa walionirithisha hizo iman nilikuta hawaulizi na mm nikaufyata mdomo
Basi Bro, niwie radhi. Hiyo amri ipo kwa wakatoliki.Me sio mkatolik Kaka me NI wa Luther Martin
Halafu inakuwaje.
Sijui siku hiyo itakuweje tu.Hebu jilipue siku moja nyoosha kidole uliza swali...then uje kutupa mrejesho
Acha kwenda kanisani. Hujalazimisgwa bosi.Wasalaam wana JF,
Kesho jamii nzima ya kikristo au sisi wakatoliki tunaanza kwaresma siku 40 za kufunga na kufanya ibada nyingi.
Pamoja na zoezi hilo, naomba niorodheshe mambo yanayonikera kanisani kama yafuatayo:
1. Kwaya kuimba nyimbo ambazo waumini hawazijui. Yaani wanaimba wenyewe tu mavitu ambayo hatuelewi na hatushiriki;
2. Wingi wa matangazo, makanisa yanakua kama platforms za matangazo, yanapoteza muda na kurefusha ibada;
3. Urefu wa mahubiri, mapadre wanaongea sana, waongee kwa kiasi ujumbe utafika tu;
4. Sadaka za kushtukiza, watu wapewe taarifa mapema watatoa tu; na
5. Kushindwa kufuata ratiba za ibada. Hii ni mikoani zaidi, unakaa zaidi ya nusu saa ibada haijatoka tofauti na ilivyoandikwa kwenye time table.
Nawatakia kwaresma njema.
Watakutoa kuna wale wanavaaga mikanda wakuda sanaHebu jilipue siku moja nyoosha kidole uliza swali...then uje kutupa mrejesho
Kanisa naposali muundo wake ni kama tumejigawa wanaume na wanawake upande tofauti. So ukigeuka unakutana na sura zao wote wanakuangalia. And 60% ya waumini kanisani lolote lile hua ni wanawake. That's The reason!Naomba nikuulize kidogo kuhusu kikwazo chako: Wewe uliwezaje kuona kwamba wengi wa wanaokuangalia mwanzo mwisho ni wanawake?