Mambo yanayonikasirisha Kanisani

Mambo yanayonikasirisha Kanisani

Mi naona kama mtu anaona matangazo mengi, au ibada inachukua mda mwingi heri asiende.. mana hakuna anaelazimisha tusiende tu kwa sababu Mungu asijiskie vibaya/ oh Mungu ananiona /oh nikifa nisizikwe kama mbwa nk

Yani tusiishi kwa mazoea! Ukienda kanisani nenda na moyo wote... ibada ni zaidi ya mahudhurio jamani.... Kama kweli juma2 ni siku ya kupumzika na siku ya ibada , Basi Shika kitakatifu siku ya Mungu.
 
Mi naona kama mtu anaona matangazo mengi, au ibada inachukua mda mwingi heri asiende.. mana hakuna anaelazimisha tusiende tu kwa sababu Mungu asijiskie vibaya/ oh Mungu ananiona /oh nikifa nisizikwe kama mbwa nk

Yani tusiishi kwa mazoea! Ukienda kanisani nenda na moyo wote... ibada ni zaidi ya mahudhurio jamani.... Kama kweli juma2 ni siku ya kupumzika na siku ya ibada , Basi Shika kitakatifu siku ya Mungu.
Sasa hawa watu lazima waambiwe ukweli, matangazo ya nafasi za masomo au mikutano inauhusiano gani na ibada? Waweke kwenye mbao za matangazo
 
Kanisa katoliki kila siku ya ijumaa saa kumi jioni ni siku ya mafundisho juu ya yale amabyo yanakutatiza. Unaweza kuuliza swali lolote utakalo tatizo wengi hua hamshiriki hichi kipindi. Ibadani sio sehemu ya kuuliza bali kufafanuliwa na kufundishwa neno kadri ya Litrujia

PS. Mimi kikwazo changu ni kwenda kutoa sadaka mbele ya kanisa au kupokea Eucharist mbele ya kanisa halafu ukirudi macho ya waumini ambao wengi ni wanawake wakuangalia mwanzo mwisho. Kwakweli hili ni kikwazo Kwangu
Maswali mengne huwa yanatokana na kile kilicho hubiriwa. Sasa hapo nimeona upotoshaji kwenye mahubiri ya jumapili nikae nisubiri hadi ijumaa?
 
Maswali mengne huwa yanatokana na kile kilicho hubiriwa. Sasa hapo nimeona upotoshaji kwenye mahubiri ya jumapili nikae nisubiri hadi ijumaa?
Hili lazima lifanyiwe kazi, mapadre waache ubabaishaji, wajiandae na watoe nondo zenye akili
 
Kanisa katoliki kila siku ya ijumaa saa kumi jioni ni siku ya mafundisho juu ya yale amabyo yanakutatiza. Unaweza kuuliza swali lolote utakalo tatizo wengi hua hamshiriki hichi kipindi. Ibadani sio sehemu ya kuuliza bali kufafanuliwa na kufundishwa neno kadri ya Litrujia

PS. Mimi kikwazo changu ni kwenda kutoa sadaka mbele ya kanisa au kupokea Eucharist mbele ya kanisa halafu ukirudi macho ya waumini ambao wengi ni wanawake wakuangalia mwanzo mwisho. Kwakweli hili ni kikwazo Kwangu
Naomba nikuulize kidogo kuhusu kikwazo chako: Wewe uliwezaje kuona kwamba wengi wa wanaokuangalia mwanzo mwisho ni wanawake?
 
Wasalaam wana JF,

Kesho jamii nzima ya kikristo au sisi wakatoliki tunaanza kwaresma siku 40 za kufunga na kufanya ibada nyingi.

Pamoja na zoezi hilo, naomba niorodheshe mambo yanayonikera kanisani kama yafuatayo:

1. Kwaya kuimba nyimbo ambazo waumini hawazijui. Yaani wanaimba wenyewe tu mavitu ambayo hatuelewi na hatushiriki;

2. Wingi wa matangazo, makanisa yanakua kama platforms za matangazo, yanapoteza muda na kurefusha ibada;

3. Urefu wa mahubiri, mapadre wanaongea sana, waongee kwa kiasi ujumbe utafika tu;

4. Sadaka za kushtukiza, watu wapewe taarifa mapema watatoa tu; na

5. Kushindwa kufuata ratiba za ibada. Hii ni mikoani zaidi, unakaa zaidi ya nusu saa ibada haijatoka tofauti na ilivyoandikwa kwenye time table.

Nawatakia kwaresma njema.
Acha kwenda kanisani. Hujalazimisgwa bosi.
 
Naomba nikuulize kidogo kuhusu kikwazo chako: Wewe uliwezaje kuona kwamba wengi wa wanaokuangalia mwanzo mwisho ni wanawake?
Kanisa naposali muundo wake ni kama tumejigawa wanaume na wanawake upande tofauti. So ukigeuka unakutana na sura zao wote wanakuangalia. And 60% ya waumini kanisani lolote lile hua ni wanawake. That's The reason!
Siku moja sali kanisa hili, utaelewa nachosema
Roho mtakatifu Ngarenaro.
2021-06-26.jpg

Au hili la bikira maria mshindaji
images (97).jpeg
 
Back
Top Bottom