Mambo yanayonikasirisha Kanisani

Mambo yanayonikasirisha Kanisani

Wasalaam wana JF,

Kesho jamii nzima ya kikristo au sisi wakatoliki tunaanza kwaresma siku 40 za kufunga na kufanya ibada nyingi.

Pamoja na zoezi hilo, naomba niorodheshe mambo yanayonikera kanisani kama yafuatayo:

1. Kwaya kuimba nyimbo ambazo waumini hawazijui. Yaani wanaimba wenyewe tu mavitu ambayo hatuelewi na hatushiriki;

2. Wingi wa matangazo, makanisa yanakua kama platforms za matangazo, yanapoteza muda na kurefusha ibada;

3. Urefu wa mahubiri, mapadre wanaongea sana, waongee kwa kiasi ujumbe utafika tu;

4. Sadaka za kushtukiza, watu wapewe taarifa mapema watatoa tu; na

5. Kushindwa kufuata ratiba za ibada. Hii ni mikoani zaidi, unakaa zaidi ya nusu saa ibada haijatoka tofauti na ilivyoandikwa kwenye time table.

Nawatakia kwaresma njema.
Mi nimeachana na kwenda kanisani na nina amani utafikili nimetolewa mashetani kichwani
 
Me kero yangu ni kuona mtu amefunga Safari kutoka kwao kwenda kanisani na nguo zinazobana makalio hatari, mwishowe kutufanya wanaume kutenda dhambi kwa kuwaza.

Wito wangu, kanisani watu wavae kwa heshima ikiwa ni ishara wamehudhuria sehemu takatifu.
 
Me kero yangu ni kuona mtu amefunga Safari kutoka kwao kwenda kanisani na nguo zinazobana makalio hatari, mwishowe kutufanya wanaume kutenda dhambi kwa kuwaza.

Wito wangu, kanisani watu wavae kwa heshima ikiwa ni ishara wamehudhuria sehemu takatifu.
I second
 
Kanisa naposali muundo wake ni kama tumejigawa wanaume na wanawake upande tofauti. So ukigeuka unakutana na sura zao wote wanakuangalia. And 60% ya waumini kanisani lolote lile hua ni wanawake. That's The reason!
Siku moja sali kanisa hili, utaelewa nachosema
Roho mtakatifu Ngarenaro.
View attachment 2135642
Au hili la bikira maria mshindaji
View attachment 2135648
Pole sana Mkuu. Jaribu kuzingatia ushauri huu. Unapokuwa mbele ya kadamnasi (audience) usiwatazame watu usoni/machoni. Lengesha macho yako mbele kupita juu ya vichwa vyao. Hakika hutatetereka, kuudhika au kubabaika/shida katika mwondoko wa miguu yako.
Kanisa naposali muundo wake ni kama tumejigawa wanaume na wanawake upande tofauti. So ukigeuka unakutana na sura zao wote wanakuangalia. And 60% ya waumini kanisani lolote lile hua ni wanawake. That's The reason!
Siku moja sali kanisa hili, utaelewa nachosema
Roho mtakatifu Ngarenaro.
View attachment 2135642
Au hili la bikira maria mshindaji
View attachment 2135648
 
Back
Top Bottom