Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Kwanini tunafikiria hivyo? Wajitokeze watu wajaribu ilitupate jibu la uhakika.Watakutoa kuna wale wanavaaga mikanda wakuda sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini tunafikiria hivyo? Wajitokeze watu wajaribu ilitupate jibu la uhakika.Watakutoa kuna wale wanavaaga mikanda wakuda sana
Huwezi kuacha kwenda kanisani kwa sababu kama hizo. Lazima tuziseme, wazijue, wabadilikeAcha kwenda kanisani. Hujalazimisgwa bosi.
Mkuu, makanisa yana siasa sana.Kwanini tunafikiria hivyo? Wajitokeze watu wajaribu ilitupate jibu la uhakika.
Mi nimeachana na kwenda kanisani na nina amani utafikili nimetolewa mashetani kichwaniWasalaam wana JF,
Kesho jamii nzima ya kikristo au sisi wakatoliki tunaanza kwaresma siku 40 za kufunga na kufanya ibada nyingi.
Pamoja na zoezi hilo, naomba niorodheshe mambo yanayonikera kanisani kama yafuatayo:
1. Kwaya kuimba nyimbo ambazo waumini hawazijui. Yaani wanaimba wenyewe tu mavitu ambayo hatuelewi na hatushiriki;
2. Wingi wa matangazo, makanisa yanakua kama platforms za matangazo, yanapoteza muda na kurefusha ibada;
3. Urefu wa mahubiri, mapadre wanaongea sana, waongee kwa kiasi ujumbe utafika tu;
4. Sadaka za kushtukiza, watu wapewe taarifa mapema watatoa tu; na
5. Kushindwa kufuata ratiba za ibada. Hii ni mikoani zaidi, unakaa zaidi ya nusu saa ibada haijatoka tofauti na ilivyoandikwa kwenye time table.
Nawatakia kwaresma njema.
Kesho jumatano ya majivu, ibuka upate upakoMi nimeachana na kwenda kanisani na nina amani utafikili nimetolewa mashetani kichwani
Tujaribu ili tuhakikishe hiloMkuu, makanisa yana siasa sana.
I secondMe kero yangu ni kuona mtu amefunga Safari kutoka kwao kwenda kanisani na nguo zinazobana makalio hatari, mwishowe kutufanya wanaume kutenda dhambi kwa kuwaza.
Wito wangu, kanisani watu wavae kwa heshima ikiwa ni ishara wamehudhuria sehemu takatifu.
Pengine hauna utulivu ukiwa ndani ya kanisaWatakutoa kuna wale wanavaaga mikanda wakuda sana
Yesu alikua anaulizwa maswali na anajibu, hawa mapadre wanaogopa, shida ni nini?Tujaribu ili tuhakikishe hilo
Kuna box la maoni.. au fuata utaratibu umuone katekista au mwenyekiti umueleze kero zakoHuwezi kuacha kwenda kanisani kwa sababu kama hizo. Lazima tuziseme, wazijue, wabadilike
Anayeenda kanisani anajua anachokitafuta
Pole sana Mkuu. Jaribu kuzingatia ushauri huu. Unapokuwa mbele ya kadamnasi (audience) usiwatazame watu usoni/machoni. Lengesha macho yako mbele kupita juu ya vichwa vyao. Hakika hutatetereka, kuudhika au kubabaika/shida katika mwondoko wa miguu yako.Kanisa naposali muundo wake ni kama tumejigawa wanaume na wanawake upande tofauti. So ukigeuka unakutana na sura zao wote wanakuangalia. And 60% ya waumini kanisani lolote lile hua ni wanawake. That's The reason!
Siku moja sali kanisa hili, utaelewa nachosema
Roho mtakatifu Ngarenaro.
View attachment 2135642
Au hili la bikira maria mshindaji
View attachment 2135648
Kanisa naposali muundo wake ni kama tumejigawa wanaume na wanawake upande tofauti. So ukigeuka unakutana na sura zao wote wanakuangalia. And 60% ya waumini kanisani lolote lile hua ni wanawake. That's The reason!
Siku moja sali kanisa hili, utaelewa nachosema
Roho mtakatifu Ngarenaro.
View attachment 2135642
Au hili la bikira maria mshindaji
View attachment 2135648
Bado nahoji umejuaje wanaogopa wakati hujawahi wauliza? Ni kama unadhani tu na huna uhakikaYesu alikua anaulizwa maswali na anajibu, hawa mapadre wanaogopa, shida ni nini?
Fuata liturgia then go back hom utafakari mafundisho, naamin Roho Mtakatifu atakuoonya na hyo sintofahamuAnayeenda kanisani anajua anachokitafuta
Box la maoni, katekista na mwenyekiti wanashughulika na local problems, hizi ni cross cutting issuesKuna box la maoni.. au fuata utaratibu umuone katekista au mwenyekiti umueleze kero zako
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejawa na hofu na hauamini kama huyo roho anatenda kazi kwangu ili kuondoa ubabaishajiFuata liturgia then go back hom utafakari mafundisho, naamin Roho Mtakatifu atakuoonya na hyo sintofahamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa utaratibu upi huo[emoji848]Box la maoni, katekista na mwenyekiti wanashughulika na local problems, hizi ni cross cutting issues