Mambo yanayonikasirisha Kanisani

Ibada zinaingiliwa na mambo ya kipuuzi ndiyo maana wanashindwa kufuata ratiba. Ukifuatilia ni matangazo na siasa za walei, ujinga mwingi sana
 
Kule kwetu usweken ndaani ndani huko Rukwa, Kuna matangazo hata yasiyo husu kanisa. Kama ulikunywa Lisute hukulipa ujue watakuumbua kwenye matangazo kanisani.

Halafu watu wa kule wanajifanya waumini saana lkn wachawi ndio hao hao na wapenda wasimbe ndio hao hao.

Msimbe ndio single mother huku mjini.
 
All the best mkuu.

Ni mtizamo wako siwezi kuwa against na wewe,Mungu akuongoze.
 
Kila swali ni la msingi. Sasa utatumia vigezo gani kujua maswali ya msingi na utatumia mbinu gani kichagua wauliza maswali. Vipi kuhusu wale ambao hawapata nafasi ya kuuliza.
3 questions to be picked randomly
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Muda standard kwa ibada usizidi 90 mins.

Zaidi ya hapo ni kupoteza muda.
Hii habari wafikishie maaskofu, wachungaji na wainjilisti wa KKKT.

Hawa watu sijui Kama wanavaa saa. Hasa wainjilisti. Yani muinjilisti Kama ndio mtoa neno siku hiyo utakuta nusu ya watu wanakoroma na kinamama wanene wanene Hadi udenda.
 
Hii habari wafikishie maaskofu, wachungaji na wainjilisti wa KKKT.
Hawa watu sijui Kama wanavaa saa. Hasa wainjilisti. Yani muinjilisti Kama ndio mtoa neno siku hiyo utakuta nusu ya watu wanakoroma na kinamama wanene wanene Hadi udenda.
Wana watwisha watu mizigo mizito ya lawama.
 
Mimi nachukia kunyimwa ekaristi takatifu kisa dhambi zangu lakini hapo hapo sadaka zangu wanazipokea au hata kunidai nisipotoa.
ukumbuke kabla hujaitoa ikiwa mfukoni mwako ile ni hela utoapo tu mfukoni na kuiweka kwenye vilevikapo inabadilika kua sadaka ,inaombewa

Ile ile pesayako uliyotoa hata Kama umeipata kwakuua haina madhara katika kanisa ikishaingia

Damu ya yesu ili ule vizuri lazima utubu dhambi zooote usikike
 
Kanisani Wana himiza kutoa kutoa na kutoa.

Wanasahau kuwaeleza waumini pesa hiyo wanayotoa inatumikaje.

Mchungaji wa KKKT anapata mshahara Ila akiumwa achangiwe pesa ya matibabu.

Mishahara Yao ni ya nini?

Kazi yake ni kuhubiri neno ili watu waache dhambi lakini akisimama pale mbele na kutoa neno akimaliza tu anapewa posho.

Posho kwa kufanya kazi yake?
 
Hata wakukere kiasi gani utaendelea kwenda tu. Kuna minyonyoro wanaitumia kuwafungia watu ili wawe waumini wao wa kudumu.

Utalalamika wee lakini utaenda tu.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…