cotyledon
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 2,260
- 1,629
Kila mtu akiwa na maswali matatu ya msingi muda utapatikana wapimaswali matatu ya msingi hayawezi kuumiza muda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu akiwa na maswali matatu ya msingi muda utapatikana wapimaswali matatu ya msingi hayawezi kuumiza muda
Kila swali ni la msingi. Sasa utatumia vigezo gani kujua maswali ya msingi na utatumia mbinu gani kichagua wauliza maswali. Vipi kuhusu wale ambao hawapata nafasi ya kuuliza.Maswali matatu ya msingi hayawezi kuumiza muda
Ibada zinaingiliwa na mambo ya kipuuzi ndiyo maana wanashindwa kufuata ratiba. Ukifuatilia ni matangazo na siasa za walei, ujinga mwingi sanaMkuu nina imani unao utashi wa kuelewa kitu kinaitwa ratiba na kitu kinaitwa dharura.
Usually maisha ya binadamu lazima awe na ratiba,Kikanisa na zaidi kiimani ratiba zimewekwa ili watu wapate muda wa kufanya yale yaliyo nje ya kumuabudu Mungu ktk ile siku maalumu (na siyo kwenda kufanya zile kazi ngumu ni kipindi hiki tu waamini tumekuwa viburi au sijui ndo ugumu wa maisha)
Lakini tukija kiimani hasa inapotokea dharura lazima tuelewe kwamba ratiba zetu na Mungu ni vitu viwili tofauti,let's say siku hiyo imepangwa kutolewa mahubiri na padre mwenye karama ya kitu fulani na lazima kwa sababu ni mara chache atakuja parokiani kwenu itabidi atumie muda mrefu kuhubiri ili kiu ya waamini iishe ktk situation kama hii kipi muhimu?utoke kanisani kwa sababu ratiba mliyojiwekea imevunjwa uache kusikiliza neno la Mungu uende ukakae nyumbani au bar huku umefura kwa hasira ukilalamika muda waliokupotezea kwenye Ibada?
All the best mkuu.Dini zimejengwa kwenye kutisha waumini wake ili waipate adhabu huko rohoni siku ya kufa..uzuri ni kwamba yote mazuri na mabaya huwapata wanao sali nawasio sali..hata maandiko yameweka wazi kuwa Mungu huwanyeshea mvua waovu na wasio waovu.
Live your life chamsingi ishi katika haki na utauwa pia dini iliyosafi ni ile inayosidia wahitaji katika uhitaji wao.
Tofauti na hapo endeleeni kulipa kodi ya koloni rome kila jpl mpelekapo sadaka..huku divai wakishindialia mapadri na kutoka vitambi.
#MaendeleoHayanaChama
3 questions to be picked randomlyKila swali ni la msingi. Sasa utatumia vigezo gani kujua maswali ya msingi na utatumia mbinu gani kichagua wauliza maswali. Vipi kuhusu wale ambao hawapata nafasi ya kuuliza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kule kwetu usweken ndaani ndani huko Rukwa, Kuna matangazo hata yasiyo husu kanisa. Kama ulikunywa Lisute hukulipa ujue watakuumbua kwenye matangazo kanisani.
Halafu watu wa kule wanajifanya waumini saana lkn wachawi ndio hao hao na wapenda wasimbe ndio hao hao.
Msimbe ndio single mother huku mjini.
Muda standard kwa ibada usizidi 90 mins.Kuna makanis ya wenzetu yale kiroho wanakaa masaa zaidi ya kumi na wengine wanalala hukohuko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sa wew only 3 hours unalalamika[emoji2218][emoji2218]
Sent using Jamii Forums mobile app
For Muslims.Muda standard kwa ibada usizidi 90 mins.
Zaidi ya hapo ni kupoteza muda.
Hii habari wafikishie maaskofu, wachungaji na wainjilisti wa KKKT.Muda standard kwa ibada usizidi 90 mins.
Zaidi ya hapo ni kupoteza muda.
Wana watwisha watu mizigo mizito ya lawama.Hii habari wafikishie maaskofu, wachungaji na wainjilisti wa KKKT.
Hawa watu sijui Kama wanavaa saa. Hasa wainjilisti. Yani muinjilisti Kama ndio mtoa neno siku hiyo utakuta nusu ya watu wanakoroma na kinamama wanene wanene Hadi udenda.
Hua naumia zaidi kuona padri anakunywa divai pekeyake..hao jamaa sijui wakoje kazi kutulisha mikate tu.
#MaendeleoHayanaChama
ukumbuke kabla hujaitoa ikiwa mfukoni mwako ile ni hela utoapo tu mfukoni na kuiweka kwenye vilevikapo inabadilika kua sadaka ,inaombewaMimi nachukia kunyimwa ekaristi takatifu kisa dhambi zangu lakini hapo hapo sadaka zangu wanazipokea au hata kunidai nisipotoa.
Hii ni muhimu, kuna mhubiri redioni alisema Yesu alipiga simu...Bora wewe, mimi kinachoniuzi ni kutopata nafasi/kutoruhusiwa kumuuliza maswali/ kumkosoa padri juu ya anacho hubiri.
Hata wakukere kiasi gani utaendelea kwenda tu. Kuna minyonyoro wanaitumia kuwafungia watu ili wawe waumini wao wa kudumu.Wasalaam wana JF,
Kesho jamii nzima ya kikristo au sisi wakatoliki tunaanza kwaresma siku 40 za kufunga na kufanya ibada nyingi.
Pamoja na zoezi hilo, naomba niorodheshe mambo yanayonikera kanisani kama yafuatayo:
1. Kwaya kuimba nyimbo ambazo waumini hawazijui. Yaani wanaimba wenyewe tu mavitu ambayo hatuelewi na hatushiriki;
2. Wingi wa matangazo, makanisa yanakua kama platforms za matangazo, yanapoteza muda na kurefusha ibada;
3. Urefu wa mahubiri, mapadre wanaongea sana, waongee kwa kiasi ujumbe utafika tu;
4. Sadaka za kushtukiza, watu wapewe taarifa mapema watatoa tu; na
5. Kushindwa kufuata ratiba za ibada. Hii ni mikoani zaidi, unakaa zaidi ya nusu saa ibada haijatoka tofauti na ilivyoandikwa kwenye time table.
Nawatakia kwaresma njema.
There you are. Wakipewa fursa ya kuhoji watagundua jinsi wanavyochezewa akili.Dini haziwapi waumini nafasi ya kuhoji na kunoa bongo..dini zipo kutengeneza misukule ya ndio mzee.
#MaendeleoHayanaChama
Unadhani ni rahisi hivyo?. Hao wameshakuwa programmed. Hawawezi kufanya kitu nje ya program.Hili lazima lifanyiwe kazi, mapadre waache ubabaishaji, wajiandae na watoe nondo zenye akili
Ataambiwa kwa ukali "kaa chini,usitupotezee muda na maswali yako ya kilokole"Hebu jilipue siku moja nyoosha kidole uliza swali...then uje kutupa mrejesho