Mambo yanayopelekea watu wengi kushindwa kuishi kwa ndugu au ukweni na baadaye kutimuliwa

Mambo yanayopelekea watu wengi kushindwa kuishi kwa ndugu au ukweni na baadaye kutimuliwa

Shemeji ni kama ndugu taratibu za kufuata ni zile zile amka mapema osha vyombo,fua nguo za shemeji yaani kuwa mpole na mwenye heshima usitake kuleta ubishi ooh siwezi fua nguo za shemeji itaku cost bro!

Pamoja na hayo mkuu kama unaishi kwa mume wa dada yako inabidi uende mbali zaidi. Mfano ukisikia wanagombana usiku wewe inabidi uzame kwenye maombi kumuombea dada yako Mungu ampe moyo wa uvumilivu maana mfano ndio umuone anaanza kutoa mabegi sijui wewe utakua katika hali gani?
 
Kuishi sehemu tofauti na kwenu(kwa wazazi wako) ama kwako ni mateso sana japo watu wa nje hawawezi tambua
 
Habari wanajamvi..!

Leo nimeamua kuja na mada inayowahusu watu wanaoishi kwa ndugu, shemeji au ukweni.

Ndugu asikwambie mtu kuishi kwa ndugu baadhi kunaitaji huwe na kiwango cha hali ya juu cha hekima na busara la sivyo unatimuliwa haraka tu.

Mambo yanayopelekewa kutimuliwa

1. Tabia mbaya kama uvutaji bangi, sigara, milungi

2. Umalaya yaani tabia ya kuingiza mademu au wanaume wakati unajua hapo sio kwenu, hata kama mtoto wa wa ndugu mwenye hiyo nyumba anaingiza ww unatakiwa usimuige.

3. Kukosa heshima kwa wale uliowakuta awe mkubwa au mdogo unatakiwa umuheshimu ss unakuta lijamaa linavimba linapigana mpk na waliomuita mjini hapa utatimuliwa tu hata kama yeye ndio mwenye makosa.

4. Unatakiwa ujiongeze kama ukipiga hela kidogo unatakiwa uchangie msosi au vitu vidogo vidogo huwe unamaliza mwenyewe sio mradi upo kwa baba mdogo au mama mdogo au shemeji unakuwa tegemezi kwa kila kitu hata ukifanya kibarua ukipiga hela unataka chako kiwe chako tu.

5. Kama unakaa ukweni kwa baba mkwe inabidi uwe mpole sana utoe support ya chakula, pesa ndogo ndogo na matatizo madogo unamaliza tu, hakikisha humpigi mkeo wala kumsema sema hata kama anatoka na madanga mengne.

5. Ukiwa unaishi kwa ndugu usipende sifa sana jaribu kuwa mpole.
Mimi bwana kwakuwa huwa napenda uhuru, ninaepuka sana kukaa kwa watu. Ninapenda kuwa huru, nirudi home muda ninaotaka,nile ninachotaka, niamke muda ninaotaka, nidinye demu wangu kwa mastaili na muda ninaoutaka n.k. Sasa ukiwa kwa mtu hasa majumba yetu ya uswazi, mastaili kama popo kanyea mbingu, kupanda dirishani na kuiangukia si balaa hilo? Utasababisha hata chabo.
 
Pamoja na hayo mkuu kama unaishi kwa mume wa dada yako inabidi uende mbali zaidi. Mfano ukisikia wanagombana usiku wewe inabidi uzame kwenye maombi kumuombea dada yako Mungu ampe moyo wa uvumilivu maana mfano ndio umuone anaanza kutoa mabegi sijui wewe utakua katika hali gani?
Dah aisee ukute shemeji mwenyewe ka mimi Mzee Wa tungi,nikipiga makonyagi yangu nasimamia show hatari,kesho asubuhi sijui mtaangaliana Vipi na dadako.

Kwa shemeji sio sehemu salama kuishi.
 
Back
Top Bottom