Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Wamejipatia house boy wa dezohayaja kukuta bado tuulize sie tunaekaa ukweni mwaka wa tano huu sasa tunadunda tu kwa baba mkwe msosi wa draft show kali😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamejipatia house boy wa dezohayaja kukuta bado tuulize sie tunaekaa ukweni mwaka wa tano huu sasa tunadunda tu kwa baba mkwe msosi wa draft show kali😂😂😂
Shemeji ni kama ndugu taratibu za kufuata ni zile zile amka mapema osha vyombo,fua nguo za shemeji yaani kuwa mpole na mwenye heshima usitake kuleta ubishi ooh siwezi fua nguo za shemeji itaku cost bro!
Mbona kama umeandika kwa kujiproud mkuu?hayaja kukuta bado tuulize sie tunaekaa ukweni mwaka wa tano huu sasa tunadunda tu kwa baba mkwe msosi wa draft show kali😂😂😂
Dadaako akipewa kipigo usimshutumu shemeji bali mpe kichapo dada yako hata kama shemejiyo ndio unakosa.Vipi kama unaishi kwa shemeji..?
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wamejipatia house boy wa dezo
Kama kwa shemeji inatakiwa usiwe unachelewa kuamka.Vipi kama unaishi kwa shemeji..?
Yaani huko ni kuolewa pamoja na dada yako bora nilale stendiKama kwa shemeji inatakiwa usiwe unachelewa kuamka.
Msaidie dada yako kazi za ndani, hakika shemeji atakupenda sana.
Mnaenda kuishi kwa wazazi wa mkeo ,haujaelewa nini boss mbona vitu vya kawaida sana hvyo
hayaja kukuta bado tuulize sie tunaekaa ukweni mwaka wa tano huu sasa tunadunda tu kwa baba mkwe msosi wa draft show kali[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi bwana kwakuwa huwa napenda uhuru, ninaepuka sana kukaa kwa watu. Ninapenda kuwa huru, nirudi home muda ninaotaka,nile ninachotaka, niamke muda ninaotaka, nidinye demu wangu kwa mastaili na muda ninaoutaka n.k. Sasa ukiwa kwa mtu hasa majumba yetu ya uswazi, mastaili kama popo kanyea mbingu, kupanda dirishani na kuiangukia si balaa hilo? Utasababisha hata chabo.Habari wanajamvi..!
Leo nimeamua kuja na mada inayowahusu watu wanaoishi kwa ndugu, shemeji au ukweni.
Ndugu asikwambie mtu kuishi kwa ndugu baadhi kunaitaji huwe na kiwango cha hali ya juu cha hekima na busara la sivyo unatimuliwa haraka tu.
Mambo yanayopelekewa kutimuliwa
1. Tabia mbaya kama uvutaji bangi, sigara, milungi
2. Umalaya yaani tabia ya kuingiza mademu au wanaume wakati unajua hapo sio kwenu, hata kama mtoto wa wa ndugu mwenye hiyo nyumba anaingiza ww unatakiwa usimuige.
3. Kukosa heshima kwa wale uliowakuta awe mkubwa au mdogo unatakiwa umuheshimu ss unakuta lijamaa linavimba linapigana mpk na waliomuita mjini hapa utatimuliwa tu hata kama yeye ndio mwenye makosa.
4. Unatakiwa ujiongeze kama ukipiga hela kidogo unatakiwa uchangie msosi au vitu vidogo vidogo huwe unamaliza mwenyewe sio mradi upo kwa baba mdogo au mama mdogo au shemeji unakuwa tegemezi kwa kila kitu hata ukifanya kibarua ukipiga hela unataka chako kiwe chako tu.
5. Kama unakaa ukweni kwa baba mkwe inabidi uwe mpole sana utoe support ya chakula, pesa ndogo ndogo na matatizo madogo unamaliza tu, hakikisha humpigi mkeo wala kumsema sema hata kama anatoka na madanga mengne.
5. Ukiwa unaishi kwa ndugu usipende sifa sana jaribu kuwa mpole.
hizo ni jungle lawBora kuishi mwituni lakini sio ukweni aisee
Kibera Nairobihizo ni jungle law
bora ukaishi kwenye slums
Dah aisee ukute shemeji mwenyewe ka mimi Mzee Wa tungi,nikipiga makonyagi yangu nasimamia show hatari,kesho asubuhi sijui mtaangaliana Vipi na dadako.Pamoja na hayo mkuu kama unaishi kwa mume wa dada yako inabidi uende mbali zaidi. Mfano ukisikia wanagombana usiku wewe inabidi uzame kwenye maombi kumuombea dada yako Mungu ampe moyo wa uvumilivu maana mfano ndio umuone anaanza kutoa mabegi sijui wewe utakua katika hali gani?