Mambo yanayopelekea watu wengi kushindwa kuishi kwa ndugu au ukweni na baadaye kutimuliwa

Mambo yanayopelekea watu wengi kushindwa kuishi kwa ndugu au ukweni na baadaye kutimuliwa

Pamoja na hayo mkuu kama unaishi kwa mume wa dada yako inabidi uende mbali zaidi. Mfano ukisikia wanagombana usiku wewe inabidi uzame kwenye maombi kumuombea dada yako Mungu ampe moyo wa uvumilivu maana mfano ndio umuone anaanza kutoa mabegi sijui wewe utakua katika hali gani?

Utabaki unauliza "sasa dada ndio unaondokaa!?" [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hao wakwe nao wanaozeshaje mtu mwenye tabia kama hizo dah.

Labda jamaa alijificha tabia kabla ya kuoa itsokei
Kuna mambo mengi yanayopelekea mtu akajikuta anaishi ukweni,unaweza ukawa na kazi harafu ghafla ukafukuzwa au biashara ikafilisika na upo mji wa watu .

Unaweza kuta baba mkwe ana uwezo baada ya kuoa familia zingine kama za kihindi hazipendi binti yao akaishi mbali na wao wanakwambia sababu bado hauna nyumba na hawataki binti yao atange tange kwenye nyumba za kupanga mzee anakuita uje kuishi kwenye nyumba yake na binti yake
 
Wamejipatia house boy wa dezo
ukiwa na akili hizo hauwezi kuishi kwa ndugu ,maisha kusaidiana kama nyumba nzima wanaenda kazini ww tu ndio unabaki nyumbani kwa nn usipige deki na kuosha vyombo maana wao wakirudi wanakuwa wamechoka😀😀
 
Kwann nijibane bane na kujinyima Uhuru wakat dunia ni pana ...

Nikae bila Uhuru khaaaa
Dunia pana sana, usikae kwa mtu! Kajiachie porini huko, ufanye utakalo, ila sio kwa mtu!
 
Mwanaume wa kweli ni yule ambae unakaa kwa shemeji, dada ako na mumewe wanagombana na dada anabeba virago na kuamua kuondoka, HALAFU WEWE UNABAKI! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanaume wa kweli ni yule ambae unakaa kwa shemeji, dada ako na mumewe wanagombana na dada anabeba virago na kuamua kuondoka, HALAFU WEWE UNABAKI! 🤣🤣🤣

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] analinda maslahi ya dada yake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si unajua tena undugu kufaana [emoji23]
 
Hayo ndo yalinikela pale nilipoishi kwa dadangu so Kila siku bwana shemj anaamka amejifunga taulo najua tu hapa Dada kashugulikiwa kweli[emoji1787][emoji1787]
Unataka kusema siku zote hizo, hujawahisikia sauti ya dadako wakati anadinywaaa? Na je baaada ya kusikia mzee asumani kichwa wazi huwa anasimama au?

Pumbavu, nenda kwenu. Ndezi wewe
 
Kuna mambo mengi yanayopelekea mtu akajikuta anaishi ukweni,unaweza ukawa na kazi harafu ghafla ukafukuzwa au biashara ikafilisika na upo mji wa watu .

Unaweza kuta baba mkwe ana uwezo baada ya kuoa familia zingine kama za kihindi hazipendi binti yao akaishi mbali na wao wanakwambia sababu bado hauna nyumba na hawataki binti yao atange tange kwenye nyumba za kupanga mzee anakuita uje kuishi kwenye nyumba yake na binti yake
Lazima utakuwa unajizungumzia wewe.

Pole na HONGERA KWA KUPEWA MAKAZI NA BABA MKWE
 
Sijui ni kwanini ni rahisi sana kwa mtoto wa kike kuishi kwa kaka yako na mkewe, ila ni ngumu mno kwa mtoto wa kiume kuishi kwa dada na mumewe [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa kijana wa kiume anaishi kwa shemeji ili aweje? Mbna matus haya tena ya nguoni,

Ila sie kwetu hatuwez kuish kwa ndugu zaid ya 1 week,

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
ALAFU SIKU SHEM AKINYWA K - VANTYAKE, ANAKUFATA UMPE MZIGO
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wapo mashem mafedhuli yenye tabia hiyo, hata bila ya ugomv na dada mtu, yanatongoza shem wake wa kiume, tena mkavu hat hajanywa hiyo K vant lol.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom