Dah aisee ukute shemeji mwenyewe ka mimi Mzee Wa tungi,nikipiga makonyagi yangu nasimamia show hatari,kesho asubuhi sijui mtaangaliana Vipi na dadako.
Kwa shemeji sio sehemu salama kuishi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pamoja na hayo mkuu kama unaishi kwa mume wa dada yako inabidi uende mbali zaidi. Mfano ukisikia wanagombana usiku wewe inabidi uzame kwenye maombi kumuombea dada yako Mungu ampe moyo wa uvumilivu maana mfano ndio umuone anaanza kutoa mabegi sijui wewe utakua katika hali gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo ndo yalinikela pale nilipoishi kwa dadangu so Kila siku bwana shemj anaamka amejifunga taulo najua tu hapa Dada kashugulikiwa kweli[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tusiende mbali kwanza unaanzaje kuishi ukweni... Seriously!!!!Habari wanajamvi..!
Leo nimeamua kuja na mada inayowahusu watu wanaoishi kwa ndugu, shemeji au ukweni.
Ndugu asikwambie mtu kuishi kwa ndugu baadhi kunaitaji huwe na kiwango cha hali ya juu cha hekima na busara la sivyo unatimuliwa haraka tu.
Mambo yanayopelekewa kutimuliwa
1. Tabia mbaya kama uvutaji bangi, sigara, milungi na ulevi wa pombe au madawa ya kulevya.
2. Umalaya yaani tabia ya kuingiza mademu au wanaume wakati unajua hapo sio kwenu, hata kama mtoto wa wa ndugu mwenye hiyo nyumba anaingiza ww unatakiwa usimuige.
3. Kukosa heshima kwa wale uliowakuta awe mkubwa au mdogo unatakiwa umuheshimu ss unakuta lijamaa linavimba linapigana mpk na waliomuita mjini hapa utatimuliwa tu hata kama yeye ndio mwenye makosa.
4. Unatakiwa ujiongeze kama ukipiga hela kidogo unatakiwa uchangie msosi au vitu vidogo vidogo huwe unamaliza mwenyewe sio mradi upo kwa baba mdogo au mama mdogo au shemeji unakuwa tegemezi kwa kila kitu hata ukifanya kibarua ukipiga hela unataka chako kiwe chako tu.
5. Kama unakaa ukweni kwa baba mkwe inabidi uwe mpole sana utoe support ya chakula, pesa ndogo ndogo na matatizo madogo unamaliza tu, hakikisha humpigi mkeo wala kumsema sema hata kama anatoka na madanga mengne.
5. Ukiwa unaishi kwa ndugu usipende sifa sana jaribu kuwa mpole.
Hahahahaaa mkuu upo sahihiBora kuishi mwituni lakini sio ukweni aisee
Huyo atakuwa super mariooo....
Unaanzaje kwenda kuishi katika mji wa mkeo?!Mnaenda kuishi kwa wazazi wa mkeo ,haujaelewa nini boss mbona vitu vya kawaida sana hvyo
Kuna pindi mtu inamlazimu aishi tu wajati anajipanga ajitegemee.Yaani huko ni kuolewa pamoja na dada yako bora nilale stendi
hayaja kukuta bado tuulize sie tunaekaa ukweni mwaka wa tano huu sasa tunadunda tu kwa baba mkwe msosi wa draft show kali[emoji23][emoji23][emoji23]
Safi mkuu,hapa naona wanaongelewa wale wanaolikita kwa Shem kwa.maana ya kwenda kuishi hapo.Niseme ukweli mi nimewahi kuishi kwa shemeji yangu kama mwezi hivi. Ni kwamba nilikua nimepata kazi mkoa ambao wao wanaishi na sikua na pa kufikia. Aisee niliishi pale kwa huzuni sana. Mshahara wa kwanza nikanunua godoro tu, na kulipa kodi ya chumba nikahama!
Mwanao wa kike akiomba kuishi na mumewe kidharula kwako utamkatalia?Unaanzaje kwenda kuishi katika mji wa mkeo?!
Hivi mwanaume mzima na makend yake kweli anaweza kukaa ukweni na kuishi huko kabisa?Habari wanajamvi..!
Leo nimeamua kuja na mada inayowahusu watu wanaoishi kwa ndugu, shemeji au ukweni.
Ndugu asikwambie mtu kuishi kwa ndugu baadhi kunaitaji huwe na kiwango cha hali ya juu cha hekima na busara la sivyo unatimuliwa haraka tu.
Mambo yanayopelekewa kutimuliwa
1. Tabia mbaya kama uvutaji bangi, sigara, milungi na ulevi wa pombe au madawa ya kulevya.
2. Umalaya yaani tabia ya kuingiza mademu au wanaume wakati unajua hapo sio kwenu, hata kama mtoto wa wa ndugu mwenye hiyo nyumba anaingiza ww unatakiwa usimuige.
3. Kukosa heshima kwa wale uliowakuta awe mkubwa au mdogo unatakiwa umuheshimu ss unakuta lijamaa linavimba linapigana mpk na waliomuita mjini hapa utatimuliwa tu hata kama yeye ndio mwenye makosa.
4. Unatakiwa ujiongeze kama ukipiga hela kidogo unatakiwa uchangie msosi au vitu vidogo vidogo huwe unamaliza mwenyewe sio mradi upo kwa baba mdogo au mama mdogo au shemeji unakuwa tegemezi kwa kila kitu hata ukifanya kibarua ukipiga hela unataka chako kiwe chako tu.
5. Kama unakaa ukweni kwa baba mkwe inabidi uwe mpole sana utoe support ya chakula, pesa ndogo ndogo na matatizo madogo unamaliza tu, hakikisha humpigi mkeo wala kumsema sema hata kama anatoka na madanga mengne.
5. Ukiwa unaishi kwa ndugu usipende sifa sana jaribu kuwa mpole.
Kmmk [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shemeji ni kama ndugu taratibu za kufuata ni zile zile amka mapema osha vyombo,fua nguo za shemeji yaani kuwa mpole na mwenye heshima usitake kuleta ubishi ooh siwezi fua nguo za shemeji itaku cost bro!
Mkuu kwani ni lazima mpaka upande dirishani?Mimi bwana kwakuwa huwa napenda uhuru, ninaepuka sana kukaa kwa watu. Ninapenda kuwa huru, nirudi home muda ninaotaka,nile ninachotaka, niamke muda ninaotaka, nidinye demu wangu kwa mastaili na muda ninaoutaka n.k. Sasa ukiwa kwa mtu hasa majumba yetu ya uswazi, mastaili kama popo kanyea mbingu, kupanda dirishani na kuiangukia si balaa hilo? Utasababisha hata chabo.
Ilikjwaje mkuu?Niseme ukweli mi nimewahi kuishi kwa shemeji yangu kama mwezi hivi. Ni kwamba nilikua nimepata kazi mkoa ambao wao wanaishi na sikua na pa kufikia. Aisee niliishi pale kwa huzuni sana. Mshahara wa kwanza nikanunua godoro tu, na kulipa kodi ya chumba nikahama!