[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wapo mashem mafedhuli yenye tabia hiyo, hata bila ya ugomv na dada mtu, yanatongoza shem wake wa kiume, tena mkavu hat hajanywa hiyo K vant lol.
Sasa mkuu we unaona kuvuta sigara ni jambo zuri...? Nafuu kuvuta ukiwa kwako hatakuuliza mtu. Mbaya zaidi kuvuta sigara ukiwa kwa nyumba za watu wengine au ukweni ni balaa...