Mambo yanayothibitisha ushamba wa Mwanaume mwenye miaka 30-45

Mambo yanayothibitisha ushamba wa Mwanaume mwenye miaka 30-45

Kwani Hii Dunia ni yako??(In Majanaba Voisi)
 
Kuna vitu ukivifanya au ukawa unaviongelea huwa vina proove ushamba wako na ulimbukeni, na kumbuka kila rika na umri una vitu vinavyopendwa kwa wakati huo, so ukifanya kinyume na hapo jua tu wanaokuzunguka wanakuona mshamba.

1. Kujisifu elimu au kazi yako, tunakula bia tumekaa tupumzishe vichwa unanza kuleta stori za degree yako au kazi yako ilivyo nzuri, katika umri huu kila mtu ana elimu na kazi yake.

2. Mavazi, hapa huwa tunatambuana sana zipo nguo za kuvaa kulingana na mazingira, hapa unaweza chomekea vizuri na ukapita mahali wasikushangae, unaweza vaa njisi, boot nk wata wakakuelewa, ila sijui umevaa suruali la kitambaa tena rangi zile wasukuma wanapenda mara suruali au shati vina rangi ya dhambarau jua watu wanakuona mshamba tu( dress code muhimu na kiatu kinamua kila kitu kuhusu wewe)

3. Kujisifia mkeo au mchumba wako mzuri, umri huu watu waisha ona mengi relax hawako na interest ya sura ya mkeo.

4. Kujifanya msomi, kutuchanganyia lugha (code switching) watu lazima wakuone wewe fala flani hivi.

5. Kujisifia pesa, magari au nyumba, tukikaa wahuni sio stori za kusema sijui IST yangu inakimbia hiyo, hizi stori za magari nyumba au nina pess wanapenda kuzungumza wale wenzangu wajiriwa wa TAMISEMI hawa wanapenda kuzungumza kwa sababu ya kipato chao duni so anapomililki ist , spacio na kibanda huwa anaona ametoboa so anataka awe mtu wa mfano.

6. Kutuletea stori za wasanii wasanii Mboso sijui anapiga Wema Sepetu, ukiona hizi ni stori zako jua tunakuona wewe fala sana na mshamba. 7. kujisifu kuwa wewe umepiga demu flani ,aisee umri huu hatuoneani wivu eti umepiga ngare flani , umri huu kila mtu ana nafasi ya kuchukua yoyote , sema ni umri ambao wanawake wapo wengi ila wanaume hatuna muda 8. leta mengine watanzania wapunguze ushamba , stori hizi zinakufanya uonekane mwenzetu 1. zungumza mpira,ngumi , 2. zungumza ibada na njisi gani unapambana na shwetani 3.tuambie kuhusu deal za biashara 4. sema changamoto za malezi ya watoto,ndoa na migogoro ya familia na wewe unashinda vip hizo changamoto 5. leta stori za njisi ya kuishi vizuri kwenye vipato vyetu, wengi tuna vipato ila hatujui tutumie vip
Ajabu kabisa ktk maelezo yako nimegundua wewe ndiyo mshamba
 
Namba 7 ndo ushamba wa kiwango ...Kuvaa sidhani maana kila watu Wana mfumo wa maisha yao .

Ila kujisifu Kwa namna yeyote ile kujiona upo juu ni ushamba
 
Kuna vitu ukivifanya au ukawa unaviongelea huwa vina proove ushamba wako na ulimbukeni, na kumbuka kila rika na umri una vitu vinavyopendwa kwa wakati huo, so ukifanya kinyume na hapo jua tu wanaokuzunguka wanakuona mshamba.

1. Kujisifu elimu au kazi yako, tunakula bia tumekaa tupumzishe vichwa unanza kuleta stori za degree yako au kazi yako ilivyo nzuri, katika umri huu kila mtu ana elimu na kazi yake.

2. Mavazi, hapa huwa tunatambuana sana zipo nguo za kuvaa kulingana na mazingira, hapa unaweza chomekea vizuri na ukapita mahali wasikushangae, unaweza vaa njisi, boot nk wata wakakuelewa, ila sijui umevaa suruali la kitambaa tena rangi zile wasukuma wanapenda mara suruali au shati vina rangi ya dhambarau jua watu wanakuona mshamba tu( dress code muhimu na kiatu kinamua kila kitu kuhusu wewe)

3. Kujisifia mkeo au mchumba wako mzuri, umri huu watu waisha ona mengi relax hawako na interest ya sura ya mkeo.

4. Kujifanya msomi, kutuchanganyia lugha (code switching) watu lazima wakuone wewe fala flani hivi.

5. Kujisifia pesa, magari au nyumba, tukikaa wahuni sio stori za kusema sijui IST yangu inakimbia hiyo, hizi stori za magari nyumba au nina pess wanapenda kuzungumza wale wenzangu wajiriwa wa TAMISEMI hawa wanapenda kuzungumza kwa sababu ya kipato chao duni so anapomililki ist , spacio na kibanda huwa anaona ametoboa so anataka awe mtu wa mfano.

6. Kutuletea stori za wasanii wasanii Mboso sijui anapiga Wema Sepetu, ukiona hizi ni stori zako jua tunakuona wewe fala sana na mshamba. 7. kujisifu kuwa wewe umepiga demu flani ,aisee umri huu hatuoneani wivu eti umepiga ngare flani , umri huu kila mtu ana nafasi ya kuchukua yoyote , sema ni umri ambao wanawake wapo wengi ila wanaume hatuna muda 8. leta mengine watanzania wapunguze ushamba , stori hizi zinakufanya uonekane mwenzetu 1. zungumza mpira,ngumi , 2. zungumza ibada na njisi gani unapambana na shwetani 3.tuambie kuhusu deal za biashara 4. sema changamoto za malezi ya watoto,ndoa na migogoro ya familia na wewe unashinda vip hizo changamoto 5. leta stori za njisi ya kuishi vizuri kwenye vipato vyetu, wengi tuna vipato ila hatujui tutumie vip
Hapa utakuwa unamsema Lemutuz
 
Kila kona makatazo. Nyumba za ibada makatazo, Serikalini makatazo, mitandaoni makatazo. Ni mwendo wa usifanye hili ni dhambi, usifanye lile ni ushamba, makatazo tu.
 
Kaa na watu wa rika lako,Mwanaume usikae mezani na wavulana,utawaona wa ajabu watakuona wa ajabu.
 
Mwanaume kukaa unaongelea mipira na ngumi sio Jambo la kujisifia.
 
Back
Top Bottom