Mambo yasiyoacha watu salama

Kumpa mimba mwanafunzi
Kudharau wazazi
Kunywa pombe nyingi jumapli
Bangi
Kulazimisha penzi kwa changu
Kupanda juu ya mzambarau
N.k
Hayo hayawezi kukuacha salama.
 
Ukileta uzembe kwenye issue za IPTL, amin amin nakuambia hutaamka jumapili ukiwa salama!
 
Mambo ya kichoko
 
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] everywhere anywhere
hahaha
 
Kuoa mke mwenye mtoto afu hujui kama baba yupo au ashakufa hakujawa kumwacha mtu salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…