Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo sasa alipaswa kusema "maneno yaliyosemwa na Mkuu ya nchi si ya kupuuzwa bali yanapasa kitutafakarisha kama kuna sehemu tumekosea au tulikosea tujisahihishe".
Ni kweli. Kilangila.Siku hazifanani mkuu
HahahhahaTaarifa kama hii nani ataelewa ?
View attachment 1039532
Halafu kwanini alikimbia chai ya rangi nyumbani kwake na kuamua kudowea chai ya maziwa kwa mtu aliyetekwa , hata huruma hana ?
Hawa wanatuchezea akili, bado Wanaendelea kutuona sisi wajinga. Hii movie yenu mliicheza kishamba sana na huyo Jiwe wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaongea sahihi lakini pia kwa upande mwingine inawezekana Mambosasa anajua kua yeye anashushiwa tu lawama. Ndo mana anasukumia mpira kwa viongozi wa juu. Mana inawezekana anajua vizr mchezo ulivyokua ila yeye alipewa tu asimamie. Ndo mana amejaribu kuyakwepa maswali kwa kuwatuma kwa mabosi wakeKwetu sisi wataalam wa Lugha na itifaki za Kiserikali, kauli ya mambo sasa ni utovu wa nidhamu si tu kwa Mkuu wa nchi Bali kwa Amiri Jeshi Mkuu.
Mambo sasa alipaswa kusema "maneno yaliyosemwa na Mkuu ya nchi si ya kupuuzwa bali yanapasa kitutafakarisha kama kuna sehemu tumekosea au tulikosea tujisahihishe". Hiyo ingekuwa kauli ya Afisa wa Jeshi kwa amiri Jeshi Mkuu.
Otherwise Mambosasa anapaswa kuchukuliwa hatua stahiki, tusubiri tuone!
Sent using Jamii Forums mobile app
KabisaKwani kunywa chai na Mo ni kosa? Acha ukuda basi!