Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tuweke na rekodi za Yanga tuonekila msimu mamelodi huwa anatolewaga . hizi ndio records zake mfululizo
View attachment 2949855
zamu ya yanga kumtoa imeshafika
tuweke na rekodi za Yanga tuone
Yanga ni mzuka mpya mkuu, imezuka ghafla kusumbua vigogo wa soka Afrika😂tuweke na rekodi za Yanga tuone
kwani izo rekodi za mamelod ulizoweka apo ni za shirikisho au Champions leauge tunataka rekodi za yanga kwenye Champions leauge kama izo za mamelodYanga mshindi wa pili wa Caf confederations cup mwaka 2023. ana medali bado ya motoooo haijapoaaa
Jana tungekuwa na Pacome na Aucho, mbona tungeondoka na ushindi hata wa goli 2 au 3.
Kama ni medali ndizo zinashindaniwa basi Al Ahly, TP Mazembe zingekuwa zinajivunia. Ukisoma historia ya Al Ahly au TP Mazembe hautaona sehemu wamechukua medali mara ngapiYanga mshindi wa pili wa Caf confederations cup mwaka 2023. ana medali bado ya motoooo haijapoaaa
Kama ni medali ndizo zinashindaniwa basi Al Ahly, TP Mazembe zingekuwa zinajivunia. Ukisoma historia ya Al Ahly au TP Mazembe hautaona sehemu wamechukua medali mara ngapiYanga mshindi wa pili wa Caf confederations cup mwaka 2023. ana medali bado ya motoooo haijapoaaa
Kama ni medali ndizo zinashindaniwa basi Al Ahly, TP Mazembe zingekuwa zinajivunia. Ukisoma historia ya Al Ahly au TP Mazembe hautaona sehemu wamechukua medali mara ngapi
Huu ujinga wa kujivunia medali kuliko makombe nimeuona kwenye timu ya Utopolo tu😁😁😁😁😁😁😁
Hapo ndipo unafeli na role model wa utopolo ni mikia😁😁😁. Haujaona timu ya kujilinganisha zaidi ya mikia? Medali zenyewe ni za shirikisho na timu zinashindana kuchukua ni makombe.Waambie mikia waoneshe medali yao ya caf kama ni rahisi kuipata medali
Kwakweli Mamelodi walikua overrated sana hawana maajabu yoyote!
Kwakweli Mamelodi walikua overrated sana hawana maajabu yoyote!
Daima mbeleeeee 💚💚💚💪