Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Tupate wadhamini View attachment 2933175
πππππππ
Kaka hutoboi bhana π€£π€£π€£πππππππ
Kaka Hawa nawatupia majini Hawa hawatokiKaka hutoboi bhana π€£π€£π€£
Wasouth na wao si habaKaka Hawa nawatupia majini Hawa hawatoki
Hawatuwezi sisi tuna mtu wetu pale Lubumbashi kashamaliza hii gameWasouth na wao si haba
Jipe moyo kakaπ€£π€£π€£napenda spirit yenuHawatuwezi sisi tuna mtu wetu pale Lubumbashi kashamaliza hii game
Eti ni kweli mnafanya mazoezi ya pasi chini ya maji na kufunga vitambaa usoni pia na wajeda mnaruka nao. ?Team update: mchezaji wetu Thapelo Maseko anaendelea vizuri na kuna uwezekano mkubwa akawepo kwenye mchezo unaofuata dhidi ya Maritzburg united siku ya jumapili.
ndio mkuu, hapa nilipo nimebeba punje za ufuta mkononi namrushia nyanda wetu Ronwen Williams mpaka sasa nimemrushia punje 19,861 na zote amezidaka.Eti ni kweli mnafanya mazoezi ya pasi chini ya maji na kufunga vitambaa usoni pia na wajeda mnaruka nao. ?
Duuuuuh eeeeebbaneee wanaonekana ni nouma ..,kwaiyo kati ya yanga afirika na huyu mamelod yupi nimchaguendio mkuu, hapa nilipo nimebeba punje za ufuta mkononi namrushia nyanda wetu Ronwen Williams mpaka sasa nimemrushia punje 19,861 na zote amezidaka.
mkuu achana na DAH YANGA AFIRIKA mchague MASANDAWANA hutojutia.Duuuuuh eeeeebbaneee wanaonekana ni nouma ..,kwaiyo kati ya yanga afirika na huyu mamelod yupi nimchague
Katika michezo 18 Aliyocheza Yanga ana points 49 amefunga magoli 47 na kufungwa 9, akiwa na cleen sheet 11Katika michezo 18 ya ligi kuu ambayo tumecheza hadi sasa tumefunga goli 33 tumeruhusu goli 5 na CLEEN SHEET 13.
Kwa wananchi The Sun is the limit of success πJina kamili: Mamelodi Sundowns Football Club
Nicknames: Masandawana /The Brazilians.
Nchi: Afrika Kusini.
Ngazi ya ligi: Ligi kuu ya Afrika kusini (PSL/DstvPremiership)
Kuanzishwa: 1970
Mmiliki: Patrice Motsepe.
Mwenyekiti: Tlhopie Motsepe.
Mkufunzi: Rhulani Mokwena.
Nahodha: Themba Zwane.
Uwanja: Loftus Versfeld Stadium unaochukua watazamaji 51,762.
Mataji: Ligi kuu (PSL/Dstv premiership) 13, TotalEnergies CAF Champions League 1, CAF Super Cup 1, African Football League 1, Nedbank Cup 6, MTN8 4, Telkom charity Cup 5, Telkom Knockout 4.
MAMELODI SUNDOWNS THE SKY IS THE LIMIT.
Hakika nimefuatilia mechi zao jamaa wanaubonda ...wasihi jamaa zetu wasipeleke timu siku ikifikamkuu achana na DAH YANGA AFIRIKA mchague MASANDAWANA hutojutia.
Vaa jersy ya njano ya Yanga ina fanana tu na ya Mamenlody.Mwenye jezi za mamelodi anicheck
Tumeamka salama kabisa.Mamelod Masandawana mmeamkaje humu?