Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fainali ipi?Fainali ni Yanga vs Al ahly
Kwa kuliona hilo tukaamua kujitokeza kutoa sapoti.Hawana mashabiki? Kila ninapoangalia mechi zao naona ziko tupu tu
Mwachibuuu, hujakoma Tu?Nimeota Utopolo kapigwa goli 12 hapa
Mamelod sijui tumejiandaaje na ushirikina. Hawa wenzetu wanaweza hata kutoa kafara ya kutoa mtuMwachibuuu, hujakoma Tu?
Wakati Yanga inafanya maandalizi Simba mko bize na Yanga, subirini mtavuna mnachopanda.Mamelod sijui tumejiandaaje na ushirikina. Hawa wenzetu wanaweza hata kutoa kafara ya kutoa mtu
Salama kabisa 👆👆👆👆👆Mamelod Masandawana mmeamkaje humu?
Kuna clip nimeona tunafanya mazoez tukiwa tumefunga vitambaa machoni🤣🤣Mamelod sijui tumejiandaaje na ushirikina. Hawa wenzetu wanaweza hata kutoa kafara ya kutoa mtu
Tulio busy na Uto ni mashabiki Mkuu😃Wakati Yanga inafanya maandalizi Simba mko bize na Yanga, subirini mtavuna mnachopanda.
Azam wanaitaka nafasi ya Pili, sasa nyinyi wekezeni kwenye ujinga msimu ujao hamchezi club bingwa.
Bingwa Yanga nafasi ya Pili wanachukuwa Azam.
Mafanikio ya timu yanachangiwa na mashabiki pia, ndio kitu kinawagharimu Azam Wana pesa lakini hawana watu.Tulio busy na Uto ni mashabiki Mkuu😃
Mamelod ni Azam ya South maana kule wenye nchi ni Kaizer chiefs na Orlando...Mafanikio ya timu yanachangiwa na mashabiki pia, ndio kitu kinawagharimu Azam Wana pesa lakini hawana watu.
Sasa nyinyi endeleeni kuwekeza kwenye ujinga wakati Waarabu wanawanywea Alkasusu mujarabu, ndio mtajuwa hamjuwi.
Hatimae chama letu limepata uzi rasmi🔥🔥🔥Fainali ni Yanga vs Al ahly
Mtaukimbia.. ni suala la muda tuHatimae chama letu limepata uzi rasmi🔥🔥🔥
Kunjani [emoji444]Habari zenu the Brazilians wenzangu.
Kunjaniiiiii 😂Habari zenu the Brazilians wenzangu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tupate wadhamini View attachment 2933175
Dooh the sky is above all mkuuKwa wananchi The Sun is the limit of success [emoji28]