Kama la Jana la Luis Konde boyIlikuwa bonge la Chuma
Huyo Mshahara wake unawezakuta USD 50k kwa mwezi,hamna mwenye ubavu wakumnunua Tz.Unafikiri Injinia alienda Sauzi kufanyaje?
Hayupo mwenye uwezo wakumlipa tz,achana na story za vijiweni njoo kwenye reality, huyo signing fee yake tu inaweza ikawa inakaribia USD 1mil.Unamjua GSM wewe?