Ninahamu kuliwa kinyeo
Kama mechi ume angalia unalo jibuTutajie hao wachezaji watano waliopumzishwa na Raja
Watanzania huwa tuna tabia ya kutishana na kutiana unyonge lakini Mamelodi Sundowns kwa aina ya mpira wake anaocheza ni rahisi zaidi kwa Simba kumdhibiti kwani anatabirika zaidi. Simba wakiwa na tahadhari na nidhamu ya hali ya juu wanaweza kuwatoa.Muhimu ni kujipanga tu.
Habari wakuu
Awali ya yote ningependa ku-declare interest kuwa nawataka Masandawana. Twende kwenye mada, imezuka mijadala mingi sana mitandaoni hususani kwa baadhi ya wachambuzi wakisema kuwa Mamelodi sundowns sio timu ya kuomba kukutana nayo. Wengine wakaenda mbali zaidi kusema kuwa ndio timu hatari zaidi.
Binafsi naheshimu ubora wa Mamelodi, nilipata wasaa wa kutizama game zao mbili tatu hususani ile game yao ambayo walimpiga Al ahly hamsa pale Africa kusini. Naomba niseme tu kwamba Mamelodi wako Overrated mno.
Nadhani ni kwa sababu ya kumnyanyapaa Al ahly ndicho kinachofanya watu wamzungumzie kiutofauti, ambapo obviously hajaanza leo toka kitambo al ahly anapotua Johannesburg basi Hamsa zina muhusu.
Lakini ni ukweli usiopingika kuwa al ahly pia msimu huu hayupo vizuri, kinacho mbeba ni uzoefu tu ila hana timu, nisingeshangaa angepigwa nje ndani na mnyama simba kama angepangwa group moja.
Turudi sasa kwenye mada yetu, Mamelodi sundowns pamoja na kuwa Overrated sana bado hana mpira wa kutisha, nachelea kusema kuwa hata Raja CA ni maji marefu kwa Mamelodi. Kingine nilichokiona kwa Mamelodi ni aina yao ya uchezaji ambao uko very identical na uchezaji wa simba yani pira biriani a.k.a Sambaloketo.
Hivyo ikitokea timu hizi mbili zikakutana, basi Africa na Dunia kiujumla itashuhudia mechi ya karne, yani historical match, hivyo niwatoe hofu wanasimba wenzangu ambao mmeanza kutishika na maneno ya waganga njaa kuhusu Mamelodi sundowns.
Binafsi sintoshangaa kabisa kama simba akimtoa Sundowns kwenye hatua ya Robo fainali au hatua yoyote tutakayo kutana nae.
Nguvu moja [emoji881]
Kongole mkuu, umemaliza kila kitu [emoji122]Watanzania huwa tuna tabia ya kutishana na kutiana unyonge lakini Mamelodi Sundowns kwa aina ya mpira wake anaocheza ni rahisi zaidi kwa Simba kumdhibiti kwani anatabirika zaidi. Simba wakiwa na tahadhari na nidhamu ya hali ya juu wanaweza kuwatoa.Muhimu ni kujipanga tu.
Waarabu huwa wanampatia kwenye hatua za mtoano kwa kumchezea compact football.Aina hii ya mpira humsumbua sana na mara zote ameangukia pua kwa aina hii ya mpira alipokutana na waarabu kuanzia msimu wa 2016/2017 hadi 2020/2021 na msimu wa 2021/2022 wale Waangola walimtoa kwa aina hii ya mpira.
Kumbuka katika misimu yote hii, ni msimu wa 2018/2019 pekee ndiyo aliweza kufanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali na msimu wa 2017/2018 hakuweza kuvuka hatua ya makundi. Katika misimu yote hii walikuwa na wanaendelea kuwa na kiwango bora.
Waarabu kwenye hatua za mtoano hucheza kwa nidhamu na tahadhari ya hali ya juu na wana uzoefu wa hatua hizi.Iwe nyumbani ama ugenini. Sisi timu zetu huwa tunapungukiwa vitu hivi. Tp Mazembe kwenye ubora wao alikuwa navyo hivi vitu na alifanikiwa kuwamudu haswa hawa waarabu.!!!!!!!!!!
Nb 1 : Aina yao ya mpira haipishani sana na Simba.
Nb 2: Mamelody wanafanana kwa mbali na Manchester city kwa aina yao ya uchezaji.
Nb 3: Compact ndiyo njia nzuri kwa aina ya hii ya mpira.Pep Guardiola ameweza kuja na suluhisho kwa kuweka watu ambao wanaweza kuivunja compact, hao watu Mamelodi hana.!!!!!!!!!!!!
Nb 4: Mpira ni sayansi na umeenea karibu maeneo yote, zama za kutishana zimepitwa na wakati.
Nb 5 : Hatua za mtoano zina aina ya uchezaji wake na hazifanani na hatua za makundi.
Nb 6 : Timu za kiarabu ndiyo wapinzani halisi wa hili kombe. Naamini mojawapo zitafanikiwa kuchukua ubingwa, ingawaje mpira una maajabu yake na ni sehemu yake.
Ni mtazamo tu!!!!!!!!!!!!!
Well said mkuuWatanzania huwa tuna tabia ya kutishana na kutiana unyonge lakini Mamelodi Sundowns kwa aina ya mpira wake anaocheza ni rahisi zaidi kwa Simba kumdhibiti kwani anatabirika zaidi. Simba wakiwa na tahadhari na nidhamu ya hali ya juu wanaweza kuwatoa.Muhimu ni kujipanga tu.
Waarabu huwa wanampatia kwenye hatua za mtoano kwa kumchezea compact football.Aina hii ya mpira humsumbua sana na mara zote ameangukia pua kwa aina hii ya mpira alipokutana na waarabu kuanzia msimu wa 2016/2017 hadi 2020/2021 na msimu wa 2021/2022 wale Waangola walimtoa kwa aina hii ya mpira.
Kumbuka katika misimu yote hii, ni msimu wa 2018/2019 pekee ndiyo aliweza kufanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali na msimu wa 2017/2018 hakuweza kuvuka hatua ya makundi. Katika misimu yote hii walikuwa na wanaendelea kuwa na kiwango bora.
Waarabu kwenye hatua za mtoano hucheza kwa nidhamu na tahadhari ya hali ya juu na wana uzoefu wa hatua hizi.Iwe nyumbani ama ugenini. Sisi timu zetu huwa tunapungukiwa vitu hivi. Tp Mazembe kwenye ubora wao alikuwa navyo hivi vitu na alifanikiwa kuwamudu haswa hawa waarabu.!!!!!!!!!!
Nb 1 : Aina yao ya mpira haipishani sana na Simba.
Nb 2: Mamelody wanafanana kwa mbali na Manchester city kwa aina yao ya uchezaji.
Nb 3: Compact ndiyo njia nzuri kwa aina ya hii ya mpira.Pep Guardiola ameweza kuja na suluhisho kwa kuweka watu ambao wanaweza kuivunja compact, hao watu Mamelodi hana.!!!!!!!!!!!!
Nb 4: Mpira ni sayansi na umeenea karibu maeneo yote, zama za kutishana zimepitwa na wakati.
Nb 5 : Hatua za mtoano zina aina ya uchezaji wake na hazifanani na hatua za makundi.
Nb 6 : Timu za kiarabu ndiyo wapinzani halisi wa hili kombe. Naamini mojawapo zitafanikiwa kuchukua ubingwa, ingawaje mpira una maajabu yake na ni sehemu yake.
Ni mtazamo tu!!!!!!!!!!!!!
Mamelodi kampiga mwarabu 4 kwaoWatanzania huwa tuna tabia ya kutishana na kutiana unyonge lakini Mamelodi Sundowns kwa aina ya mpira wake anaocheza ni rahisi zaidi kwa Simba kumdhibiti kwani anatabirika zaidi. Simba wakiwa na tahadhari na nidhamu ya hali ya juu wanaweza kuwatoa.Muhimu ni kujipanga tu.
Waarabu huwa wanampatia kwenye hatua za mtoano kwa kumchezea compact football.Aina hii ya mpira humsumbua sana na mara zote ameangukia pua kwa aina hii ya mpira alipokutana na waarabu kuanzia msimu wa 2016/2017 hadi 2020/2021 na msimu wa 2021/2022 wale Waangola walimtoa kwa aina hii ya mpira.
Kumbuka katika misimu yote hii, ni msimu wa 2018/2019 pekee ndiyo aliweza kufanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali na msimu wa 2017/2018 hakuweza kuvuka hatua ya makundi. Katika misimu yote hii walikuwa na wanaendelea kuwa na kiwango bora.
Waarabu kwenye hatua za mtoano hucheza kwa nidhamu na tahadhari ya hali ya juu na wana uzoefu wa hatua hizi.Iwe nyumbani ama ugenini. Sisi timu zetu huwa tunapungukiwa vitu hivi. Tp Mazembe kwenye ubora wao alikuwa navyo hivi vitu na alifanikiwa kuwamudu haswa hawa waarabu.!!!!!!!!!!
Nb 1 : Aina yao ya mpira haipishani sana na Simba.
Nb 2: Mamelody wanafanana kwa mbali na Manchester city kwa aina yao ya uchezaji.
Nb 3: Compact ndiyo njia nzuri kwa aina ya hii ya mpira.Pep Guardiola ameweza kuja na suluhisho kwa kuweka watu ambao wanaweza kuivunja compact, hao watu Mamelodi hana.!!!!!!!!!!!!
Nb 4: Mpira ni sayansi na umeenea karibu maeneo yote, zama za kutishana zimepitwa na wakati.
Nb 5 : Hatua za mtoano zina aina ya uchezaji wake na hazifanani na hatua za makundi.
Nb 6 : Timu za kiarabu ndiyo wapinzani halisi wa hili kombe. Naamini mojawapo zitafanikiwa kuchukua ubingwa, ingawaje mpira una maajabu yake na ni sehemu yake.
Ni mtazamo tu!!!!!!!!!!!!!
Mamelodi kampiga mwarabu 4 kwao
Halafu sio sio js kabyle ni CR BELOUIZDADMwarab kabylie ni mwarab mnyonge hana tofauti na us monastir
Na hua upo Makini na hizi nyuzi zao [emoji16][emoji16][emoji16]Hizi nyuzi mnazianzishaga kwa hisia zitakuja kuwapoteza