Mamelodi Sundowns wako Overrated

Hadi iitwe Champions League?
Hata premier League imeanza 1992 lakini huwezi sema mwaka 1980 kulikuwa hakuna bingwa WA ligi England sio??
Kama haikuitwa Champions league kwa nini umeiita hivyo? Au hujui kwa nini inaitwa champions league?
 
Kama haikuitwa Champions league kwa nini umeiita hivyo? Au hujui kwa nini inaitwa champions league?

Champions league ni neno la kiingereza. Kwa kiswahili maana yake ni ligi ya mabingwa ama ligi ya waliotwaa makombe ndani ya nchi zao.
 
Simba alishafika nusu fainali champions League 1976...na fainali shirikisho 1993
[emoji736]ACHA KUDANGANYWA KATAA UONGO KATAKATA:SIMBA WALICHEZA FAINALI YA MWANASIASA WA NIGERIA SIYO SHIRIKISHO[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Kuna watu wanaeneza uongo kwa kudai kuwa CAF CUP waliyofika fainali Simba ndiyo Shirikisho leo hii Siyo kweli.

Mwaka 1993 barani Afrika kulikuwa na mashindano aina tatu
[emoji2389] Kulikuwa na Champions Cup (Sawa na klabu bingwa leo hii) ambapo Tanzania iliwakilishwa na Malindi kama Bingwa wa Ligi ya Muungano Fainali ilicheza ASANTE KOTOKO na ZAMALEK, ZAMALEK wakachukua kwa penalt

chanzo

1993 African Cup of Champions Clubs - Wikipedia

οΏΌ en.wikipedia.org

[emoji2390] Kulikuwa na Kombe la washindi barani afrika (Sawa na shirikisho hivi sasa) Tanzania iliwakilishwa na Pamba ya mwanza kama bingwa wa FA cup kipindi hicho liitwa Nyerere cup fainali walicheza African Sports na Al Ahly ambapo Al Ahly ya Misri walichukuwa kombe kwa goli 2-1

chanzo

οΏΌ

African Cup Winners' Cup - Wikipedia

οΏΌ en.wikipedia.org

[emoji2392] Halafu sasa ndo kukawa na kijikombe kilichoitwa CAF CUP kilichotolewa na mwanasiasa Mashoud Abiola hiki sasa ndo Simba walicheza Fainali na Stella.Kwanza hili kombe lilishirikisha Wale wabovu wanaoshika nafasi ya 3 au 4 kwenye ligi(kwa sababu Namba1 na 2 walishiriki Klabu Bingwa ~MALINDI~Tanzania bingwa alipatikana baada ya Ligi ya muungano enzi hizo,Bingwa Wa FA PAMBA alishiriki Shirikisho.PILI michuano ilifanyika mara moja tu yule bilionea akakosa Urais akashindwa kuidhamin CAF wakaiua)

chanzo

1993 CAF Cup - Wikipedia

οΏΌ en.wikipedia.org

Kukuonesha tu kwamba kombe hili halina hadhi ya shirikisho baada ya CAF mashindano kwisha Bingwa wa Champions Cup yaani Zamalek alicheza na Bingwa wa Kombe la washindi barani afrika kombe maalum lililoitwa Super Cup mwaka 1994 (Zamalek Vs Al Ahly)

chanzo

1994 CAF Super Cup - Wikipedia

οΏΌ en.wikipedia.org

οΏΌ
 
Kuweka rekod sawa kwa manufaa ya wengi

Kombe la shirikisho halikutokana na winner's cup pekee bali lilitokana na kuunganishwa kwa mashindano yote mawili, yaani winner's cup na hilo uliloita wewe kijikombe cha CAF
 
Kuweka rekod sawa kwa manufaa ya wengi

Kombe la shirikisho halikutokana na winner's cup pekee bali lilitokana na kuunganishwa kwa mashindano yote mawili, yaani winner's cup na hilo uliloita wewe kijikombe cha CAF
U are right man.
 
Kama nimewahi kuwakosea heshima Mamelodi kwa namna yoyote ile, nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa,, hawa jamaa wana uwasha!
 
hapa jamaa walikua pungufu .....

wao wana on target 4 Kwa 1
wao wana yellow card 2 Kwa 3
Wao wana red card 2 ila wameongoza possession wao.(53%)
wao wamepiga corner 1 tu Kwa 7 walizopigiwa.
Wao wamepiga mashuti off target ma 3 vs 4 waliyopigiwa wao.
wao golikipa kasave shuti Moja tu golini kwake ambayo ndo the only shuti on target la wydad Kwa dakika 90 pamoja na kuwa na watu 09 wa mamelody πŸ˜ƒπŸ™Œ vs wydad golikipa wao kasave mashuti ma4 golini kwakeπŸ˜ƒ

Jamaa wana goalkick 12 vs 4 za wydad .....

Hapo jamaa wapo kwao jumlisha na vibe la mashabiki wao wale na vitochi juu πŸ˜ƒπŸ™Œ
 

Attachments

  • Screenshot_20230514-083051.png
    45.7 KB · Views: 2
Asante kwa kuliweka sawa,, wana jitahidi sana kuifunika hii record yetu
Rekodi ya Enzi za WW2 hata Southampton ana rekodi kabambe za huko ujamaa age Ila watu sa hv wanaitazama Man city
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…