ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kama RageManara aheshimiwe aliona mbali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama RageManara aheshimiwe aliona mbali sana
1976 kulikuwa na champions league?Simba alishafika nusu fainali champions League 1976...na fainali shirikisho 1993
KumbeMwarab kabylie ni mwarab mnyonge hana tofauti na us monastir
Hadi iitwe Champions League?1976 kulikuwa na champions league?
Kama haikuitwa Champions league kwa nini umeiita hivyo? Au hujui kwa nini inaitwa champions league?Hadi iitwe Champions League?
Hata premier League imeanza 1992 lakini huwezi sema mwaka 1980 kulikuwa hakuna bingwa WA ligi England sio??
Kama haikuitwa Champions league kwa nini umeiita hivyo? Au hujui kwa nini inaitwa champions league?
Kama haikuitwa Champions league kwa nini umeiita hivyo? Au hujui kwa nini inaitwa champions league?
[emoji736]ACHA KUDANGANYWA KATAA UONGO KATAKATA:SIMBA WALICHEZA FAINALI YA MWANASIASA WA NIGERIA SIYO SHIRIKISHO[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Simba alishafika nusu fainali champions League 1976...na fainali shirikisho 1993
U are right man.Kuweka rekod sawa kwa manufaa ya wengi
Kombe la shirikisho halikutokana na winner's cup pekee bali lilitokana na kuunganishwa kwa mashindano yote mawili, yaani winner's cup na hilo uliloita wewe kijikombe cha CAF
Vitendo dhidi ya manenoHuu uzi si utaendelea kuwepo?
Hua mnawaza nini au mhemko?Kama nimewahi kuwakosea heshima Mamelodi kwa namna yoyote ile, nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa,, hawa jamaa wana uwasha!
Naaaaaaaaam huo ndo uungwana [emoji1666]Kama nimewahi kuwakosea heshima Mamelodi kwa namna yoyote ile, nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa,, hawa jamaa wana uwasha!
Rekodi ya Enzi za WW2 hata Southampton ana rekodi kabambe za huko ujamaa age Ila watu sa hv wanaitazama Man cityAsante kwa kuliweka sawa,, wana jitahidi sana kuifunika hii record yetu