Kama Simba atashinda game yake na Raja Casablanca ugenini nita amini huu uzi wakoHakuna cha ku-edit mkuu, ndo uhalisia Mamelodi wako Overrated sana ukilinganisha na wanacho kionesha uwanjani, ni mara 10 ungeniambia Raja CA
Mkuu kama kwa mtazamo wako Mamelodi ni bora zaidi ya Raja, basi unahitaji kukaa chini ujifunze mpiraMimi ni Simba lialia ila kiukweli wale jamaa ukiwaangalia wanajua Kuna mtu anaitwa Maema ,Mailula na Peter wale jamaa ndo injini pale kwa huu mpira wanaocheza labda Raja kidogo msimu huu ndo wako sawa ila jamaa wako far beyond us.
Kama hautaki tuongee history basi usijilete habari ya Mamelodi kuishia robo kila mwaka maana tunarudi kule kule kwenye historyAl ahly ya mwaka huu umeiona au unaongea tu kwa historia ?
A very lame comparison. Hapa tunawalinganisha Mamelodi na Simba, sio Mamelodi na Al Hilal.
Lakini pia hata tukiamua kufanya hivyo unavyotaka, kwani hukuona malalamiko kwamba Mamelodi wanafanya match fixing kwa kuwalegezea Al hilal makusudi ili Al Ahly atoke?
Ikitokea Mamelodi akapangiwa Simba, basi ni do or die kind of a match kwa Mamelodi. Usitegemee wacheze kama walivyocheza na Al Hilal kwenye makundi ambapo wao tayari walikua na uhakika wa kufuzu!
Inahitaji kiwango cha juu sana cha kujitoa fahamu kuwaweka Mamelodi hawa, na Hii simba kwenye level moja!
Hata wewe mwenyewe unapomtaja al ahly ni kama una m-picture Al ahly wa misimu iliyopita, wale jamaa msimu huu wabovu, angekula 7 kwa mkapa kama angepangwa na Simba.Anakuja mtu, anakuambia Mamelodi ni wa kawaida. Ukimuuliza sababu, anakuambia habari za misimu iliyopita. Sijui mnatumia viungo gani kufikiri!
Mamelodi anaeongelewa hapa ni wa msimu huu. Mamelodi ambae yuko kwenye ubora wa hali ya juu. Kabisa mnategemea akina Onyango wawavushe kwa Mamelodi aliemtandika Al Ahly tano? Hamko serious!
Kama Simba atashinda game yake na Raja Casablanca ugenini nita amini huu uzi wako
Hata wewe mwenyewe unapomtaja al ahly ni kama una m-picture Al ahly wa misimu iliyopita, wale jamaa msimu huu wabovu, angekula 7 kwa mkapa kama angepangwa na Simba.
Kwani Simba huo mpira wa matokeo kaanza lini ?Simba angekua anacheza huo mpira unao usema angekua kafika final hata moja kumbuka mara mbili katolewa ni timu za SA (Orlando pirates na Kaizer Chiefs) wala sio Northern huko kabla ya kujigamba kumtoa Mamelodi ungejiuliza kwanini Simba hua anaishia robo?
Hakuna simba anachohitaji kwenye hii game kwani tayari ameshafuzu, hivyo anakwenda kukamilisha ratiba tu, na hata ikitokea simba ameshinda au draw bado mtakuja na vijisababu kuwa Raja amechia kwakuwa hakuna anacho hitajiKama Simba atashinda game yake na Raja Casablanca ugenini nita amini huu uzi wako
Kama ulisoma vizuri uzi wangu, nilisema nimewaona mamelodi kwenye game zao kadhaa za makundi msimu huu,, sijazungumzia miaka fulani iliyopita..Kama hautaki tuongee history basi usijilete habari ya Mamelodi kuishia robo kila mwaka maana tunarudi kule kule kwenye history
Kwanza huo mpira wa matokeo ni wa aina gani? sababu me nnacho fahamu kwenye makundi panahitaji matokeo ili upite kwenda next round sasa hayo matokeo unayosema sijui ni yapiKwani Simba huo mpira wa matokeo kaanza lini ?
Mamelodi wanacheza mpira upi?Ni direct football ambayo tumeanza kucheza msimu huu
Mamelodi wanacheza mpira upi?
Kuhusu kuwa overated Sawa, Ila hayo mengine Baki nayo.
Habari wakuu
Awali ya yote ningependa ku-declare interest kuwa nawataka Masandawana. Twende kwenye mada, imezuka mijadala mingi sana mitandaoni hususani kwa baadhi ya wachambuzi wakisema kuwa Mamelodi sundowns sio timu ya kuomba kukutana nayo. Wengine wakaenda mbali zaidi kusema kuwa ndio timu hatari zaidi.
Binafsi naheshimu ubora wa Mamelodi, nilipata wasaa wa kutizama game zao mbili tatu hususani ile game yao ambayo walimpiga Al ahly hamsa pale Africa kusini. Naomba niseme tu kwamba Mamelodi wako Overrated mno.
Nadhani ni kwa sababu ya kumnyanyapaa Al ahly ndicho kinachofanya watu wamzungumzie kiutofauti, ambapo obviously hajaanza leo toka kitambo al ahly anapotua Johannesburg basi Hamsa zina muhusu.
Lakini ni ukweli usiopingika kuwa al ahly pia msimu huu hayupo vizuri, kinacho mbeba ni uzoefu tu ila hana timu, nisingeshangaa angepigwa nje ndani na mnyama simba kama angepangwa group moja.
Turudi sasa kwenye mada yetu, Mamelodi sundowns pamoja na kuwa Overrated sana bado hana mpira wa kutisha, nachelea kusema kuwa hata Raja CA ni maji marefu kwa Mamelodi. Kingine nilichokiona kwa Mamelodi ni aina yao ya uchezaji ambao uko very identical na uchezaji wa simba yani pira biriani a.k.a Sambaloketo.
Hivyo ikitokea timu hizi mbili zikakutana, basi Africa na Dunia kiujumla itashuhudia mechi ya karne, yani historical match, hivyo niwatoe hofu wanasimba wenzangu ambao mmeanza kutishika na maneno ya waganga njaa kuhusu Mamelodi sundowns.
Binafsi sintoshangaa kabisa kama simba akimtoa Sundowns kwenye hatua ya Robo fainali au hatua yoyote tutakayo kutana nae.
Nguvu moja [emoji881]
Kawaida Kwenye michezo hutokea kama unawaangalia Sundowns unaeza fananisha quality ya wachezaji wako nao past 3 season na hii ya msimu huu?Ilikuwaje wakawa wanaishi robo fainali kwa misimu mitano mfululizo?
Haohao mwaka jana walitolewa na Petroleos, ilikuwaje?
Naona wewe umekua ndo mtoa degree ya Kipimo cha kufahamu mpira si ndio ?Mkuu kama kwa mtazamo wako Mamelodi ni bora zaidi ya Raja, basi unahitaji kukaa chini ujifunze mpira