Mamelodi Sundowns wako Overrated

Hakuna cha ku-edit mkuu, ndo uhalisia Mamelodi wako Overrated sana ukilinganisha na wanacho kionesha uwanjani, ni mara 10 ungeniambia Raja CA
Kama Simba atashinda game yake na Raja Casablanca ugenini nita amini huu uzi wako
 
Mimi ni Simba lialia ila kiukweli wale jamaa ukiwaangalia wanajua Kuna mtu anaitwa Maema ,Mailula na Peter wale jamaa ndo injini pale kwa huu mpira wanaocheza labda Raja kidogo msimu huu ndo wako sawa ila jamaa wako far beyond us.
Mkuu kama kwa mtazamo wako Mamelodi ni bora zaidi ya Raja, basi unahitaji kukaa chini ujifunze mpira
 
Al ahly ya mwaka huu umeiona au unaongea tu kwa historia ?
Kama hautaki tuongee history basi usijilete habari ya Mamelodi kuishia robo kila mwaka maana tunarudi kule kule kwenye history
 

Mechi ya kwanza ya Mamelodi vs Al Hilal kule south africa nayo ilikuwa mechi fixing ili Al Ahly atoke ? Ndio ilikuwa mechi ya kwanza ya group kwa timu zote zina 0 point.

Kumbe unalijua hilo kuhusu comparison haitakiwi

Why useme simba atafungwa nyingi na mamelodi ?

Huku hujawai kuona simba na mamelodi wakicheza hata siku moja ?
 
Itoshe kusema waarabu wataendelea kubeba sana ubingwa wa champions league. Simba na huyo Mamelodi ni wasindikizi tu. Mabingwa wanajulikana.

Tatizo kubwa la Simba ni jinsi ya kucheza ama kushinda au kuzuia kufungwa michezo ya ugenini kwa margin kubwa ya magoli kwenye mechi za mtoano. Siku tiba ikipatikana tutafika mbali.
 
Hata wewe mwenyewe unapomtaja al ahly ni kama una m-picture Al ahly wa misimu iliyopita, wale jamaa msimu huu wabovu, angekula 7 kwa mkapa kama angepangwa na Simba.
 
Kama Simba atashinda game yake na Raja Casablanca ugenini nita amini huu uzi wako
Hata wewe mwenyewe unapomtaja al ahly ni kama una m-picture Al ahly wa misimu iliyopita, wale jamaa msimu huu wabovu, angekula 7 kwa mkapa kama angepangwa na Simba.

Pia Mamelodi vs Al ahly south africa mechi imeanza kuchezwa saa 9. Jua bado kali. AL Ahly na jua wapi na wapi.

Hizo 5 angekuwa amemfungia misri ingekuwa na nguvu. Ama angemfunga muda wa usiku.

Hata Simba angecheza na Raja casablanca saa 9 kwa jua la dar. Raja casablanca hasingeshinda mbele ya mnyama kwa mkapa
 
Kwani Simba huo mpira wa matokeo kaanza lini ?
 
Kama Simba atashinda game yake na Raja Casablanca ugenini nita amini huu uzi wako
Hakuna simba anachohitaji kwenye hii game kwani tayari ameshafuzu, hivyo anakwenda kukamilisha ratiba tu, na hata ikitokea simba ameshinda au draw bado mtakuja na vijisababu kuwa Raja amechia kwakuwa hakuna anacho hitaji
 
Kama hautaki tuongee history basi usijilete habari ya Mamelodi kuishia robo kila mwaka maana tunarudi kule kule kwenye history
Kama ulisoma vizuri uzi wangu, nilisema nimewaona mamelodi kwenye game zao kadhaa za makundi msimu huu,, sijazungumzia miaka fulani iliyopita..
 
Kwani Simba huo mpira wa matokeo kaanza lini ?
Kwanza huo mpira wa matokeo ni wa aina gani? sababu me nnacho fahamu kwenye makundi panahitaji matokeo ili upite kwenda next round sasa hayo matokeo unayosema sijui ni yapi
 
Kwanza huo mpira wa matokeo ni wa aina gani? sababu me nnacho fahamu kwenye makundi panahitaji matokeo ili upite kwenda next round sasa hayo matokeo unayosema sijui ni yapi
Ni direct football ambayo tumeanza kucheza msimu huu
 
Kuhusu kuwa overated Sawa, Ila hayo mengine Baki nayo.
 
Ilikuwaje wakawa wanaishi robo fainali kwa misimu mitano mfululizo?

Haohao mwaka jana walitolewa na Petroleos, ilikuwaje?
Kawaida Kwenye michezo hutokea kama unawaangalia Sundowns unaeza fananisha quality ya wachezaji wako nao past 3 season na hii ya msimu huu?
 
Mkuu kama kwa mtazamo wako Mamelodi ni bora zaidi ya Raja, basi unahitaji kukaa chini ujifunze mpira
Naona wewe umekua ndo mtoa degree ya Kipimo cha kufahamu mpira si ndio ?
Soma vizuri nilichoandika ,nimekwambia kwa msimu huu team yenye quality ya kuperform zaidi ya Mamelodi ni Raja..
Halafu huyu Raja ndio huyu aliecheza na Horoya ,vipers na Hii simba ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…