Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Nikajua uko USA bhana, kumbe USA River? ππ€£π€£Huku USA mvua ipo ya kawaida
vipi kijenge juu sanawari Safina huku USA river mambo bul bul
Wee muongo Lizaboni ya songea ipii? Hakuna mvua town yotee hii.Nikajua uko USA bhana, kumbe USA River? [emoji38][emoji1787][emoji1787]
Anyway, hapa Lizaboni (Lizbon), Songea mvua inapiga si mchezo jombaaa.
Hapa Lizaboni (Lizbon),jirani na Londoni (London) mbona kuna mvua ya maana hasa? Hujaiona?Wee muongo Lizaboni ya songea ipii? Hakuna mvua town yotee hii.
Ushashiba tende Ostaz HalfUmenishtua imesomeka kama somalia kwa kina Ally msomali.
Mazembe kafutiwa goli hukoMasandawana watapata goli
Mamelodi wanatokaMasandawana watapata goli
Limekataliwa, mchezaji wa Tp Mazembe aliunawa mpira eti.Tayari Waarabu wamelambwa kimoja
Yupo MashujaaWee muongo Lizaboni ya songea ipii? Hakuna mvua town yotee hii.