Mamelody Sundown vs Al Ahaly je, leo tutaona mwarabu akiaibishwa?

Mamelody Sundown vs Al Ahaly je, leo tutaona mwarabu akiaibishwa?

Msijekushangaa Al Ahly akashinda leo na kwenye kundi akajakupita wale ni wanyama wengine japo wana hali ngumu sana.
 
Habari za mda huu wakubwa

Leo itakuwa mechi ya ki historia apo BONDENI

ALAHALY CAIRO watakuwa wageni wa mamelody sundown MASANDAWANA
ikimbukwe mechi ya kwanza al ahaly alilazimisha sare akiwa kweke je leo kipi kitampata?

Wapenzi wa simba na yanga kaeni kitako muangalie mpira safi kutoka vijana wa MAMELODY

MAIULA uyu ata Manchester United anaaza winger ya Antony

PETER SHALULILR anacheza number 9 ya nunez Liverpool

NEO MAEMA ukimuangalia kwa umakini unaweza mkataa Martin odergard wa arsenal

View attachment 2545799

Sio kwa mbwembwe hzo za wachezaji
Sema Mamelody kwenye makundi wanakuwaga poa sana….. ishu ni ikifika kwenye mechi za mtoano sijui wanafeligi vp
 
Imagine al ahly anaanza kuvunja vidole kwaajili ya kufuzu kwenda robo 😁😁
Ndio mpira ulivyo.Wavimba macho wanaamini katika kushinda tu.Football haipo hivyo.Timu nzuri pia inafungwa.
 
Sio kwa mbwembwe hzo za wachezaji
Sema Mamelody kwenye makundi wanakuwaga poa sana….. ishu ni ikifika kwenye mechi za mtoano sijui wanafeligi vp
Thibitisha hilo mkuu kuwa Mamelodi min wanna pezulu huwa wana struggle kwenye mtoano, hii team ni well oiled machine
 
Sio kwa mbwembwe hzo za wachezaji
Sema Mamelody kwenye makundi wanakuwaga poa sana….. ishu ni ikifika kwenye mechi za mtoano sijui wanafeligi vp
Mara ngapi wakifikaga mbona washagakuwa moto na wakabeba ubingwa vizuri tu
 
Kumbe anatokea Namibia tu hapo!

Sijui timu zetu za kariakoo zinafeli wapi kupata wachezaji kama huyu hadi kwenda kuparamia akina Chikwende
Ndiyo moja kati ya wageni wawili tu wanaoanza mamelody
 
Thibitisha hilo mkuu kuwa Mamelodi min wanna pezulu huwa wana struggle kwenye mtoano, hii team ni well oiled machine

Mimi namsaidia kuthibitisha

Msimu uliopita Mamelodi alitolewa robo fainali na timu kutoka Angola anayochezea Carlos Carrinhos yule dogo aliyewai kucheza yanga
 
Mimi namsaidia kuthibitisha

Msimu uliopita Mamelodi alitolewa robo fainali na timu kutoka Angola anayochezea Carlos Carrinhos yule dogo aliyewai kucheza yanga
Asa kutolewa msimu mmoja ndiyo kila siku?
 
Mara ngapi wakifikaga mbona washagakuwa moto na wakabeba ubingwa vizuri tu

Mamelodi ubingwa amewai kubeba mara moja tu. Ilikuwa mwaka 2016.

Toka hapo mamelodi amekuwa anatolewa kwenye mitoano hasa robo fainali
 
[emoji16]
IMG_20230311_160337.jpg
 
Mamelodi ubingwa amewai kubeba mara moja tu. Ilikuwa mwaka 2016.

Toka hapo mamelodi amekuwa anayolewa kwenye mitoano hasa robo fainali
Safari hii ndiyo bingwa
 
Back
Top Bottom